masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,167
Jamani tuache utani, Miss Tanzania wangu nimempata.
Huyu dada nimempenda kwa jinsi alivyo.
Smile nzuri, kasuka vizuri, na ni mzuri.
Miondoko ya madaha, na anonekana binti wa heshima.
Aliyemwibua huko alikokuwa hajulikani namshukuru.
Mwenye contacts zake naomba anipatie.
Serious nimeitazama hii picha mara kadhaa nimeipenda, nimempenda