Najaf
JF-Expert Member
- Jun 20, 2015
- 1,471
- 2,241
Nina mrembo nimekuwa nae kwenye mahusiano Kwa kipindi fulani. Lakini wakati wakushiriki nae tendo huwa anasema "Nikikaa hivi inachoma choma bwana inachoma". Nikimuuliza unafurahia au unaumia hajibu, anasema we Fanya tu.
Hebu naomba mnisaidie hapo inakua Ina maumivu au Raha maana muda mwingine naona kama anashika maeneo ya karibu na kitovu.
Hebu naomba mnisaidie hapo inakua Ina maumivu au Raha maana muda mwingine naona kama anashika maeneo ya karibu na kitovu.