I am in dire need to get clarification before making decision where to join
Niko kwenye dilema huyu kijana anakwenda kusoma nini na applicability yake kwa Tanzania.
Inahusu nini hasa maana siyo pure engineering classical one .
Anapata utaalamu gani na position yake katika employment industry ikoje kwa hapa kwetu.
Anakuwa na utaalamu gani?
Niko kwenye dilema huyu kijana anakwenda kusoma nini na applicability yake kwa Tanzania.
Inahusu nini hasa maana siyo pure engineering classical one .
Anapata utaalamu gani na position yake katika employment industry ikoje kwa hapa kwetu.
Anakuwa na utaalamu gani?