Mimi nikijana Nina umri wa miaka 28 natafuta kazi au kabarua nipo songea vijjini,Mimi sio mvivu nilikuwa na biashara nimekata mtaji, kukuaa Tu Ofsini sina pesa na Mali napoteza Muda
Habarini wakuu. Mimi ni quality control lab technician nina bsc chemistry pia Nina uzoefu wa mwaka na miezi minne katika steel industry. Natafuta kazi viwandani,migodini kote nafit. Ukinisaidia kuna pesa ya maji. Asanteni
Wakuu habari,
Nahitaji sehemu kama workshop nikajifunza kutengeneza Furniture za kisasa.
Kama kuna sehemu ama mtu ana ofisi nitafurahi nikajitolea.
Ikiwa kuna malipo kidogo naweza kulipia nifikie lengo.
Asanteni.
Mawasiliano: 0759226857
Nipo Mbezi ya Kimara.
1. mweupe kiasi si michubuko
2. umri kati ya miaka 25 hadi 30
3. Elimu ya kidato cha 4 mwisho cha 6
4. awe tayari kusimamia biashara
5. Asiwe na mtoto
6. utepe ni muhimu(code) wenye D mbili wameelewa
7. Dini( awe na hofu ya mungu)
8. awe anaishi kwao sio gheto
9. mwembamba kidogo
10. urefu 150...
hello ladies and Gentlemen.
nahitaji bakery mzuri wa kuniuzia mikate na andazi, nipo mikoa ya kusini, hivyo preferable awe maeneo ya mbagala ili kurahisisha usafirishaji.
tuwasiliane inbox.
Habari wanajukwaa.
Kama title inavyojieleza, naomba msaada kujua ni wapi hapa Dar es Salaam ninaweza kupata lenzi za taa za nyuma kwa gari aina ya Subaru Impreza ya mwaka 2012.
Kama kuna duka, fundi, au mtu yeyote anayefahamu sehemu sahihi, naomba anishauri.
Natanguliza shukrani. Naamini kupitia...
Natafuta mwanasheria ambaye anaweza kuwa available Jumatatu asubuhi kumsaidia rafiki yangu apate interim order ya jaji ili kumaintain status quo ya umiliki wa ardhi (kuzuia transfer). Application ipo mahakama kuu kitengo cha ardhi Dar es salaam. Application ipo under certificate of extreme...
Kwa elimu nina Bachelor degree of science in taxation kutoka chuo cha usimamizi wa fedha IFM darasa la 2025 nipo na ujuzi kwenye maswala ya kodi sehemu tofauti tofauti hivyo naomba kazi au kibarua
Namba yangu ya simu ni 0778190736
Heri ya mwaka mpya wana JF, kwa mwenye uhitaji wa mtu wa kuuza pharmacy au NURSE anicheki, nina cheti cha ADO na nimesoma Medical Attendant, nina uzoefu mkubwa wa hizo kazi zote zilizomention hapo juu, mawasiliano yangu 0672498183, KITUO CHA KAZI KIWE DAR ES SALAAM, asanteni
Natafuta ndama wa ng’ombe wa kisasa wa maziwa. Itafaa zaidi wakipatikana mkoani Mbeya.
Kitulo siku hizi wameshindwa kabisa kuendana na demand iliyopo. Hivyo hivyo Uyole wameshindwa.
Natumaini hamjambo, nami pia sijambo nimefanya kazi ya security kwa miaka 5 maeneo mbalimbali ikiwemo serena hoteli mwaka 1, viwandani miaka miwili na airport terminal 3 mwaka 1, na nimefanya kazi hayo maeneo kupitia GARDAWORLD hivyo nina uzoefu wa kutosha
kama kuna yeyote anaweza kunisaidia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.