loose Nut
JF-Expert Member
- Dec 6, 2025
- 1,455
- 3,213
Mkuu nataka RHD na yenye airbagsView attachment 3582568
Hii, AC na Music Speaker za Bose.
Hivi miezi mitatu vinakua mkweche , trekta ni massey furgason tu🤔View attachment 3582568
Hii, AC na Music Speaker za Bose.
Haa Haa Mkuu Una Mazarau Mno MnoMkuu nataka RHD na yenye airbags
Mkuu mimi nataka ya RHD na yenye airbagsHapo cha kushauri chukua swaraj 744 nyota moja
Kwa sababu kwenye kulima tu naikubali sana hata kama ardhi itakuwa ya mbuga yenyewe inachakata tu (from my experience)
SWARAJ 744 NYOTA 4
Hii nayo ni moja kati ya trekta nzuri sana
Inatumia stering ya upepo(hydrolic) pia kama kuliama ipo vizuri sana lakin haifiki kwenye nyot moja.
Pia kuna NEW HOLLAND and MASSEY pia zipo vizuri sana.
Maoni yangu hayo.
Acha bangi qengeh we!Kwema wanajamvi!
Ebana watu wangu natafuta kununua trekta right hand drive (RHD) na yenye airbags.
Huu msimu wa masika umefanya vizuri sitaki unipite kizembe kwenye kilimo.
Please kama unafahamu nijulishe. Nahitaji sana.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kabisa.
adriz de mbusii
Kwa bei gani we nyumbu.Ndio unaweza dogo my take
Acha ujinga kama huna content usisumbue watu.Hahahahahaaaaa dogo my take. Wee tulia tu hapo kwa shemeji yako mume wa dada yako. Utawezana na treatable wee nyau.
Acha ujinga kama huna content usisumbue watu.
Nataka hiyo tractor used au hata hii hapa ila iwe used na mtaje bei 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DVp4wMfDWcQ/?igsh=Z3h0aTRjcWVvZzdz
Hiyo Lugha siifahamu,Right hand ndio nini?Ninazo tu Right hendi. Unahitaji?
Hiyo Lugha siifahamu,Right hand ndio nini?
Chuma hiki hapa,Kwa hii bei siwezi walau ingekuwa 35-40mln ningejikakamua.
View: https://www.instagram.com/p/DVp4wMfDWcQ/?igsh=Z3h0aTRjcWVvZzdz