Natafuta kazi ya saidia fundi

Natafuta kazi ya saidia fundi

Muyabi colors

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2024
Posts
2,685
Reaction score
3,828
Habari wakuu natafuta kazi ya kulipwa iwe kibarua au saidia fundi wa ujenzi, umeme, kuweka VIGAE au kupska rangi na nk, Mimi ni kijana wa kiume.

Nipo Kanda ya ziwa elimu 2 ujuzi nipo nao pia wa kufanya usafi mazingira ya nje na ndani naombeni kazi? Waeshimimwa wakuu🙏
 
Habari wakuu natafuta kazi ya kulipwa iwe kibarua au saidia fundi wa ujenzi, umeme, kuweka VIGAE au kupska rangi na nk, Mimi ni kijana wa kiume.

Nipo Kanda ya ziwa elimu 2 ujuzi nipo nao pia wa kufanya usafi mazingira ya nje na ndani naombeni kazi? Waeshimimwa wakuu🙏
Mkuu, nenda bulungwa kule naona kuna fursa.
 
Habari wakuu natafuta kazi ya kulipwa iwe kibarua au saidia fundi wa ujenzi, umeme, kuweka VIGAE au kupska rangi na nk, Mimi ni kijana wa kiume.

Nipo Kanda ya ziwa elimu 2 ujuzi nipo nao pia wa kufanya usafi mazingira ya nje na ndani naombeni kazi? Waeshimimwa wakuu🙏
Wewe sio mtu wa kazi. Saidia fundi unakuja kuandika uzi JF badala ya kudamka na kwenda kwenye sites za ujenzi? Mtu kama wewe ni mzigo kwa taifa.
 
Huyo yuko Lumumba anapata buku 7 kila siku, ndo maana hajui hayo.
Wewe mbona nimekuwa nikiamini ni mtu mwenye akili timamu kwa miaka mingi sasa? Kuna siku ulinijibu umesoma Mlimani au ni Mlimani Bar ya Magugu na sio UDSM?
 
Habari wakuu natafuta kazi ya kulipwa iwe kibarua au saidia fundi wa ujenzi, umeme, kuweka VIGAE au kupska rangi na nk, Mimi ni kijana wa kiume.

Nipo Kanda ya ziwa elimu 2 ujuzi nipo nao pia wa kufanya usafi mazingira ya nje na ndani naombeni kazi? Waeshimimwa wakuu🙏
Kazi ya saidia fundi ilifanys yule Mhindi akimbie mbio saana.

Maaana nilikuwa nimepandisha majini ya kitanga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom