Natafuta mke maridadi

Natafuta mke maridadi

Awe na umri wa miaka 19 mpaka 24, awe Christian, asiwe na mtoto.

NB: awe anajua kucheza draft na pool table, hii ni kwa faida ya watoto watakaozaliwa
Binti wa miaka 19-24 kujua kucheza draft maana yake iq yake 50% and above. Kitu ambacho ni impossible

Akijua kucheza draft maana yake age ni 29 and above

Akiwa anajua kucheza pooltable possibility ya kuwa na mtoto ni 95%

Akijua kucheza draft na pooltable maana yake ni miaka 29 and above au ni single mother au both

Akiwa na miaka 19-24 alafu hana mtoto possibility kubwa hana akili ya maisha. Automatically na draft atakua ajui labda uanze kumfundisha
Yan umfundishe tege, nugza, samba aache mambo ya tiktok

Sasa rudi tena usome comment yangu #1
 
Sir God aliumba kila aina ya combination mkuu...

unataka kusema wanawake wote wenye miaka 24 kushuka tayari wana watoto na hawajui draft? haya yatakuwa maajabu

Binti wa miaka 19-24 kujua kucheza draft maana yake iq yake 50% and above. Kitu ambacho ni impossible

Akijua kucheza draft maana yake age ni 29 and above

Akiwa anajua kucheza pooltable possibility ya kuwa na mtoto ni 95%

Akijua kucheza draft na pooltable maana yake ni miaka 29 and above au ni single mother au both

Akiwa na miaka 19-24 alafu hana mtoto possibility kubwa hana akili ya maisha. Automatically na draft atakua ajui labda uanze kumfundisha
Yan umfundishe tege, nugza, samba aache mambo ya tiktok

Sasa rudi tena usome comment yangu #1
dah kweli mkuu ina make sense, solution hapa ni kusubiri nifike hata miaka 36 hivi ili nimpate wa 29 anayejua vyote, wa kumfundisha sitaki nataka anayejua tuchanganye mitego watoto wazaliwe wakiwa mafundi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom