American nigga
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 890
- 1,511
Kama kichwa kinavyojieleza natafuta kunguru mzima, kama upo dar es salam wasiliana nami. dm ahsanteni.
Wszima auKama kichwa kinavyojieleza natafuta kunguru mzima, kama upo dar es salam wasiliana nami. dm ahsanteni.
Anapeleka kwa mganga haendi kufugakunguru hafugikii
we inakuhusu nini bosi!Anapeleka kwa mganga haendi kufuga
yes boss sio mizogaWszima au
AiseeAnapeleka kwa mganga haendi kufuga
yoyote hata wa kariakoo kikubwa awe mzima kabisaKunguru wa Manzese atafaa?
Unatafuta kunguru jike au dume?Kama kichwa kinavyojieleza natafuta kunguru mzima, kama upo dar es salam wasiliana nami. dm ahsanteni.
lol mimi sio mtu mbaya ni mtu mwema tu ndo maana nawataka wazimaLeo mida ya jioni nilimuona kunguru akiwa amekatwa mguu mmoja.
Sio siri nilijisikia vibaya kwa sababu najua hakutotolewa hivyo.
Ila kuna watu kama mleta mada watakua wamefanya yao.
Hata hivyo sijakujibu weye nilimjibu mtu mwingine kabisaaawe inakuhusu nini bosi!
Hapa nilipo wako kama buku, unanipa shingapi?Kama kichwa kinavyojieleza natafuta kunguru mzima, kama upo dar es salam wasiliana nami. dm ahsanteni.
Umemjbui kama unajua kusudi langu! mimi nimekambia wapi nawapeleka kwa mganga?Hata hivyo sijakujibu weye nilimjibu mtu mwingine kabisaaa
nimeeleza kwenye maelezo boss soma vizuriHapa nilipo wako kama buku, unanipa shingapi?
Punguza kisirani tufanye biashara! Wapo hapa shazi unakuja kukamata mwenyewe au?nimeeleza kwenye maelezo boss soma vizuri