natafuta

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. F

    Natafuta mpenzi aje kuwa mke

    A life of a "really man" is incomplete without a really "woman" who has merits of being a "wife". Not every man has a merits of being husband, similarly not every woman has a merits to become a wife. Mimi natafuta mwanamke ambaye toka ndani ya moyo wake anatamani kuwa na "Mume" na sio mwanaume...
  2. Class

    Natafuta mfanyakazi wa saloon ya kike

    Wanajamvi natumai mko salama.kama nilivyodokeza hapo juu. Nahitaji mtu wa saloon,awe wa kike au wa kiume,kikubwa awe anajua kazi zote za saloon kama Kuosha wateja Kuweka Dawa Kusuka Misuko Tofauti Make Up kwa wateja Kubana styles tofauti. Saloon ni mpya,naifungua leo, Saloon ipo MKURANGA BUS...
  3. Enter Passcode

    Natafuta kazi ya ulinzi

    Habar wakuu! Natafuta kazi ya ulinzi umri; 28yrs old Elimu; kidato cha 6, chuo but #dropout kwa sababu za kifedha lakn sio ishu Mafunzo; JKT, Op; makao makuu Dodoma Uzoefu; 3yrs of experience Napatikana; Kimara-DSM uwezo wa kutumia silaha; rungu,Smg,pump action s/machine gun #niko...
  4. N

    Natafuta kazi ya usimamizi wa shamba

    Habari za humu JF, natumai mko salama na mnaendeleza mapambano. Niende Moja kwa Moja kwenye ombi langu, naomba mwenye kazi ya usimamizi wa shamba lake, au kama Kuna mtu humu ndani anafahamiana na mtu mwenye shamba anayehitaji msimamizi naomba anisaidie kuniunganisha. Kazi ikipatikana Kanda za...
  5. Orketeemi

    Natafuta Scooter Mwanza

    Habari Naomba kujua Kama pikipik tajwa zinapatikana Mwanza na bei zake zikoje? Hasa hasa Kampun ya Honda au hata TVS JUPITER. Ahsante
  6. Kizibo

    Natafuta connection ya maduka ya jumla ya liberty jijini Mwanza

    Wakuu, naomba kwa mwenye connection ya wamiliki au wafanyakazi katika maduka ya Jumla ya Mtaa wa Liberty au popote jijini Mwanza anisaidie. Lengo kuu nataka kufanya nao mawasiliano wanipe mwongozo wa Kuwa naagiza bidhaa za dukani kutoka mwanza kuja Kisiwani Ukerewe. Natanguliza shukrani wakuu
  7. James_patrick_

    Dereva natafuta kazi.

    Dah ngoja nijalibu tena kuomba labda ipo siku mungu ataniona. Habari ndugu zangu poleni na uvumilivu wa kungojea muujiza wa mungu..usijali jua aupo peke yako wengine tunakalibia mwaka wa pili sasa atujaona cha muujiza wala cha nn na kama kuomba tunaomba sana..kuna mda unaweza ukakufuru anyway...
  8. john issa

    Natafuta mke, uwe tayari kuwa mke muda wowote

    Sifa za mke: 1. Awe muslim 2. Umri chini ya miaka 30 3. Mweupe na urefu wa katikat 4. Umbo la kuvutia 5. Awe tayari kuwa msimamizi wa biashara za familia na sio zake binafsi 6. Asiwe mkali na hasira hasira 7. Awe tayari kupima afya 8. Awe msikivu kwa mmewe, na kauli yangu ndo mwisho 9. Awe...
  9. R

    Natafuta mdada wa kazi ambaye anaishi kwa kunyanyasika alipo kwa sasa

    UPDATE: Ameshapatikana mdada mbarikiwe. Anahitajika mdada wa kazi Kazi ni Dar. Nyumba ya watu 2. Anapewa kipaumbele anayetokea mazingira magumu au ambaye anaishi kwa manyanyaso kwa bosi wake wa sasa. Kwenye hii familia ataishi vizuri kwa uhuru na ushirikiano bila manyanyaso huku akisaidizana...
  10. Atlast nimempata

    Natafuta Alarm system ya gari yenye bei ya kawaida

    Namshukuru Mungu kwa neema zake nimehamia kwangu. Changamoto ni ka usafiri kangu kanalazwa nje! Nilikuwa naomba mwenye kujua bei ya "alarm system" ya kupiga makelele kwa saana mtu akiigusa anijuze! Tutafanya biashara na commission juu!
  11. Jackcharty

    Natafuta marafiki

    Hello dears natafuta marafiki jinsia yoyote kwa ajili ya kubadilishana mawazo,, things about me I'm introvert and extrovert too thank you 😊
  12. Hidden Diamond

    Niko Mbeya natafuta rafiki wa kike

    Natafuta rafiki wakike awe mstaharabu na mpole pia sichagui dini wala Umri kwa upande wangu Umri wangu ni miaka 27 kama uko tayari nifuate pm tuongee zaidi
  13. R

    Natafuta Toyota Landcruiser - Bajeti milioni 40

    Habari wakuu.. Natafuta Toyota landcruiser station wagon au pickup kwa ajili ya kuifanyia conversion kuwa safari car ya kubeba watalii. Tuma picha za nje, ndani na engine pamoja na details za gari kwa whatsapp 0656388678. Iwe model ya kuanzia mwaka 2000 na kuendelea. Bei isizidi milioni 40...
  14. A

    Natafuta wateja wa kununua miti aina ya milingoti na mipine

    Poleni na majukumu wana fj, Ninashamba ekali 3 za hiyo miti ina umri wa mika 11 natafuta wateja wa bidhaaa hiyo shamba lipo maeneo ya mbeya kiwila kilometer 20 kutoka kiwila idadi ya miti ni zaidi ya miti 1000 karibuni wote wenye uitaji kwa mawasiliano nipigie namba 0629097093
  15. Morning_star

    Natafuta softcopy ya notisi za kiswahili kidato cha pili

    Wakuu naomba kama kuna mtu ana notisi za kiswahili (kidato cha pili) au link ambayo naweza kuzipata anisaidie! Nataka kumsaidia kijana wangu
  16. Mechanical

    Natafuta nyumba au chumba kiwe master

    Natafuta chumba au nyumba iwe master, eneo la Makongo Juu karibu na sheli ya Oryx au iwe mbali kidogo na sheli hiyo lakin upatikanaji wa usafiri uwe ni wa huakika kwenye barabara inayopita katka sheli hiyo. Namba zangu 0713342243
  17. O

    Natafuta vijana wa kuniuzia juice

    Natafuta vijana wa kuniuzia juice fresh za matunda za kutembeza kwenye madumu -wa kike /kiume -Dumu la lita 5 akimaliza tatu kwa siku -Mshahara 150,000/= -Nauli natoa ya kwenda anapotembeza. Alie tayari weka namba ntakupigia. -Nipo Dar es salaam temeke
  18. M

    Lab Technician natafuta kazi

    Habari wakuu, Mimi ni kijana wa kiume niliesoma Diploma ya Laboratory technician kutoka chuo cha DIT napatika Dar-es-salaam, natafuta kazi kwenye shule au viwanda mkoa wa wowote nchini. Asanteni.
  19. S

    Natafuta mchumba mwanachuo.

    Mimi ni Me Umri 33 Natafuta mchumba mwanachuo aliyopo darisalamu.
  20. J

    Natafuta salon ya kiume ya kununua hapa Dar

    Habari, Nahitaji salon ya kiume ya kununua hapa Dar. Mwenye anayo anicheki. Ahsante.
Back
Top Bottom