Natafuta mwanamke wa kuzaa nae mtoto.
Sifa zake
Dini yoyote.
Umri 25-35
Kabila lolote
Rangi mweupe
Elimu at least secondary education.
Kazi yoyote descent
Awe anaishi DSM
Awe tayari kupima afya
Sifa zangu
Umri 41
Rangi black
Elimu postgraduate degree
Napatikana Dar
Kazi kibarua kwa...
Wakuu kwema?
Naamin mko vizuri, nina skills za uchoraj wa graphite pencil. Ninategemea kuunda kitu flani hiv kinachoshabihiana kabisa na hyperealistic drawing styles ili niweze kufanya biashara safi hapa Unguja.
Ninatafuta mtaalam wa sketch mitindo hii ya hperalism. Nina ujuzi pia na uchoraji...
Rasmi najiunga na Zemanda na Natafuta Ajira kwenye operation tokomeza simping!
kwanzia sasa wakurugenzi wa hii operation naomba mnitag popote mtakapokuwa mnazungumzia hili swala. We gotta save this generation!
Na kwa kuanza natoa some point on how to stop simping!
Daily moves to kill...
kama inavyosomeka kwenye kichwa, Natafuta Mbegu za mlonge zikiwa kwenye tunda lake (drumstick)
nanunua kwa gunia kama una magunia kuanzia 50 ama unaweza kupata magunia 50 nicheki
0692594263
Habari za wakati huu wanajamii wenzangu,
Naomba kuchukua nafasi hii kuwasalimia na kuwaomba msaada wenu. Mimi ni kijana mchapakazi, mwenye ari na nguvu za kufanya kazi mbalimbali ili niweze kujipatia riziki halali ya kila siku.
Kwa sasa ninatafuta kibarua chochote halali, iwe ni kazi ya muda...
Habari
Natafuta majagi ya brenda kama haya kwenye picha ambayo anayo tutafutane nitanunua maana ya kwangu yamepasuka naambatanisha na mashine zenyewe ili iwe rahisi kufahamu.
Natafuta mke wa mtandaoni hasa JF.
Mke wa mtandaoni ni mke ambaye tutakuwa tunaandikiana mambo mazuri mtandaoni na kuoneshana mahaba mtandaoni ila hakuna kukutana na mtu wala kubadilishana namba za simu.
Kila kitu kinabaki mtandaoni hakuna hata kutumiana picha. Suala la umri nk sio vigezo haya...
Habari,
Mimi ni mwanaume mwenye sifa zifuatazo
1. Mrefu mweusi, am very focused
2. Umri wangu 30
3. Graduate, Christian
4. Muajiriwa
5. Ninaishi Kilimanjaro
Sifa za mwanamke nimtakaye
1. Uwe mkristo na usiwe na mtoto
2. Umri lazima uwe na 18 hadi 26
3. Msafi wa mwili na roho
4. Uwe na elimu...
kama kichwa kinavyojieleza natafuta epoxy resin nipo mkoani ila karibu na jiji la mwanza kwa huu mkoa nimetafuta bila mafanikio.
Sasa nauliza kama naweza kupata mwanza na hata dar es saam ikiwezekana ni vizuri kama nikajulishwa na bei yake ahsante
Mi ni mgeni huku, nimekuja kuanza maisha. Nahitaji mwanamke wa huku mbeya mjini kwa mahusiano endelevu.
Nimekuja huku JF coz mi sio mtembeaji sana wala muongeaji. Muda mwingi nipo ndani mwenyewe.
Awe sehemu za mbeya mjini, mi nipo pembeni kidogo ya mji.
Kama utakuwa interested nicheki kwa...
Habar wadau
Nimezurula kariakoo mpaka nimechoka natafita usb switch sio usb hub usb switch
ipo hv nina pc 3 na nina zitumia mara kwa mara kwa kaz mbalimbali sasq nikawa natafuta mfumo utakao niwezesha kushare vifaa vya usb nfano mouse keyboard pri ter etc via 2 pv ili nijiepushw na chomoa...
Awe msichana
Ujuzi wa kutumia mitandao ya kijamii kwa ajili ya kuitangaza biashara
Atapewa smartphone
Mwezi mmoja kwa ajili ya kujifunza, atapewa nauli na pesa ya kula tu kwa siku. Mwezi unaifuata ndo ataanza kulipwa
Biashara ipo Nyasaka
Habari wakuu,
About
Umri wangu 25, location dar maeneo ya airport, nipo single sina mtoto, mrefu kiasi, mwembamba kiasi, sio mweupe au mweusi, na najitambua.
mimi nime jiajiri kwenye masuala ya programming developer.
Sio mlevii na situmii vitu kama bangi, mimi ni mkristo lakini sina kanisa...
Nimesoma clinical medicine.
Nimemaliza mwaka huu, hivyo ninahitaji kupata sehemu ya kujitolea kupata kujifunza zaidi na kupata uzoefu.
Nimesoma chuo cha private, na changamoto kubwa wa hivi vyuo vya private ni kupata muda mchache wa kufanya mafunzo ya wodini maana chuo chetu hakina hospitali...
Kama kichwa Cha habari kinavojieleza ukiwa ni kijana njoo tufanyie kazi. Mimi napoint viatu karume na mashati ya kiume na Sasa natafuta mtu ambaye anachukua mzigo kwangu anauza faida tunagawana nusu kwa nusu. Ishu hapa huhitaji mtaji ila inahitaji uaminifu na moyo wa kufanya kazi kutafuta...
Wadau mimi ni mwl nipo jiji la mwanza. Nimwajiriwa lkn najihusisha ktkt biashara za kilimo.
Ninaeneo la hekari km mbili na nusu. Nimejenga nyumba ya kawaida kwaajili ya kijana wa kazi pamoja na mabanda ya kuku na nguruwe.
Lkn km mnavyojua biashara yeyote inataka mtaji bila mtaji hakuna kitu...
💃🏻MDADA AWE:
♥️ Awe 18 - 40
♥️Sijali kazi, hata kama akiwa mvivu haina shida nachotaka awe na degree ya mahaba
♥️Alifundwa usichanani
♥️Awe flexible katika tendo yani hadi kuruka kichura aweze
♥️Awe mtu wa mitego ya kihisia hata wakati akiniletea chakula awe na kanga moko
♥️Awe mtu wa kazi yani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.