A life of a "really man" is incomplete without a really "woman" who has merits of being a "wife".
Not every man has a merits of being husband, similarly not every woman has a merits to become a wife.
Mimi natafuta mwanamke ambaye toka ndani ya moyo wake anatamani kuwa na "Mume" na sio mwanaume...
Wanajamvi natumai mko salama.kama nilivyodokeza hapo juu.
Nahitaji mtu wa saloon,awe wa kike au wa kiume,kikubwa awe anajua kazi zote za saloon kama
Kuosha wateja
Kuweka Dawa
Kusuka Misuko Tofauti
Make Up kwa wateja
Kubana styles tofauti.
Saloon ni mpya,naifungua leo,
Saloon ipo MKURANGA BUS...
Habar wakuu!
Natafuta kazi ya ulinzi
umri; 28yrs old
Elimu; kidato cha 6, chuo but #dropout kwa sababu za kifedha lakn sio ishu
Mafunzo; JKT, Op; makao makuu Dodoma
Uzoefu; 3yrs of experience
Napatikana; Kimara-DSM
uwezo wa kutumia silaha; rungu,Smg,pump action s/machine gun
#niko...
Habari za humu JF, natumai mko salama na mnaendeleza mapambano.
Niende Moja kwa Moja kwenye ombi langu, naomba mwenye kazi ya usimamizi wa shamba lake, au kama Kuna mtu humu ndani anafahamiana na mtu mwenye shamba anayehitaji msimamizi naomba anisaidie kuniunganisha.
Kazi ikipatikana Kanda za...
Wakuu, naomba kwa mwenye connection ya wamiliki au wafanyakazi katika maduka ya Jumla ya Mtaa wa Liberty au popote jijini Mwanza anisaidie.
Lengo kuu nataka kufanya nao mawasiliano wanipe mwongozo wa Kuwa naagiza bidhaa za dukani kutoka mwanza kuja Kisiwani Ukerewe.
Natanguliza shukrani wakuu
Dah ngoja nijalibu tena kuomba labda ipo siku mungu ataniona.
Habari ndugu zangu poleni na uvumilivu wa kungojea muujiza wa mungu..usijali jua aupo peke yako wengine tunakalibia mwaka wa pili sasa atujaona cha muujiza wala cha nn na kama kuomba tunaomba sana..kuna mda unaweza ukakufuru anyway...
Sifa za mke:
1. Awe muslim
2. Umri chini ya miaka 30
3. Mweupe na urefu wa katikat
4. Umbo la kuvutia
5. Awe tayari kuwa msimamizi wa biashara za familia na sio zake binafsi
6. Asiwe mkali na hasira hasira
7. Awe tayari kupima afya
8. Awe msikivu kwa mmewe, na kauli yangu ndo mwisho
9. Awe...
UPDATE: Ameshapatikana mdada mbarikiwe.
Anahitajika mdada wa kazi
Kazi ni Dar. Nyumba ya watu 2.
Anapewa kipaumbele anayetokea mazingira magumu au ambaye anaishi kwa manyanyaso kwa bosi wake wa sasa. Kwenye hii familia ataishi vizuri kwa uhuru na ushirikiano bila manyanyaso huku akisaidizana...
Namshukuru Mungu kwa neema zake nimehamia kwangu.
Changamoto ni ka usafiri kangu kanalazwa nje!
Nilikuwa naomba mwenye kujua bei ya "alarm system" ya kupiga makelele kwa saana mtu akiigusa anijuze!
Tutafanya biashara na commission juu!
Natafuta rafiki wakike awe mstaharabu na mpole pia sichagui dini wala Umri kwa upande wangu Umri wangu ni miaka 27 kama uko tayari nifuate pm tuongee zaidi
Habari wakuu.. Natafuta Toyota landcruiser station wagon au pickup kwa ajili ya kuifanyia conversion kuwa safari car ya kubeba watalii. Tuma picha za nje, ndani na engine pamoja na details za gari kwa whatsapp 0656388678. Iwe model ya kuanzia mwaka 2000 na kuendelea. Bei isizidi milioni 40...
Poleni na majukumu wana fj, Ninashamba ekali 3 za hiyo miti ina umri wa mika 11 natafuta wateja wa bidhaaa hiyo shamba lipo maeneo ya mbeya kiwila kilometer 20 kutoka kiwila idadi ya miti ni zaidi ya miti 1000 karibuni wote wenye uitaji kwa mawasiliano nipigie namba 0629097093
Natafuta chumba au nyumba iwe master, eneo la Makongo Juu karibu na sheli ya Oryx au iwe mbali kidogo na sheli hiyo lakin upatikanaji wa usafiri uwe ni wa huakika kwenye barabara inayopita katka sheli hiyo.
Namba zangu 0713342243
Natafuta vijana wa kuniuzia juice fresh za matunda za kutembeza kwenye madumu
-wa kike /kiume
-Dumu la lita 5 akimaliza tatu kwa siku
-Mshahara 150,000/=
-Nauli natoa ya kwenda anapotembeza.
Alie tayari weka namba ntakupigia.
-Nipo Dar es salaam temeke
Habari wakuu,
Mimi ni kijana wa kiume niliesoma Diploma ya Laboratory technician kutoka chuo cha DIT napatika Dar-es-salaam, natafuta kazi kwenye shule au viwanda mkoa wa wowote nchini.
Asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.