natafuta

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Natafuta battery ya dell computer

    Ni kikompyuta cha zamani dell xps 10.Mwenye kujua wapi naweza kupata battery yake anijuze.Natanguliza shukrani
  2. R

    JamiiForums Tanzania Msaada, natafuta professional microphones za shure original hapa dar

    Habari zenu wakuu, ninatafuta professional wireless microphone za shure original kabisa kariakoo sijaona anaeuza wengi wanauza shure za kichina, kuna yeyote anaeziuza hapa tanzania? na kwa wazoefu wa hizi mic ni frequency zipi ni nzuri kwa bongo mana kuna h9(512-542Mhz) h10(542-572Mhz)...
  3. Irikenyi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mke

    Umri wangu ni miaka 45 Kazi biashara ndogondogo Dini mkristo Makazi Dar Sifa za mke kuanzia miaka 30-42 Dini yoyote Karibu
  4. B

    JamiiForums Tanzania Natafuta business partner kwenye uwakala wa benk , mimi na uwakala wa mitandao ya simu , eneo chamwino ikulu

    Natafuta business partner kwenye uwakala wa benk , mimi na uwakala wa mitandao ya simu , eneo chamwino ikulu
  5. R

    JamiiForums Tanzania Msaada, natafuta mic original za shure hapa dar

    Habari zenu wakuu, ninatafuta professional wireless microphone za shure original kabisa kariakoo sijaona anaeuza wengi wanauza shure za kichina, kuna yeyote anaeziuza hapa tanzania? na kwa wazoefu wa hizi mic ni frequency zipi ni nzuri kwa bongo mana kuna h9(512-542Mhz) h10(542-572Mhz)...
  6. B

    JamiiForums Tanzania Natafuta mtaalam wa kilimo mkoa wa Kilimanjaro

    Habari ,natafuta kijana mwenye elimu na uzoefu wa kilimo na ufugaji anaeishi Mkoa wa Kilimanjaro,,Shamba lipo Makanya Wilaya ya Same ,Shamba tumechimba maji na kuna kilimo cha mkonge kinaendelea tunataka kulima Mazao mengine ,mwenye interest kwa maongezi zaidi ani DM na my Whatsapp...
  7. Mind stone

    JamiiForums Tanzania Wakuu bado natafuta kazi, na maelezo yangu ni hayo kwenye tangazo hapo chini

    Natafuta kazi na qualifications zangu zipo hapo kwenye picha ya Tangazo.
  8. kingphisher

    JamiiForums Tanzania Natafuta chuo cha kufundisha

    Wakuu, nimejikuta kuwa na passion ya kufundisha kuliko kitu chochote kile yaani. Ipo hivi, nimesomea IT bachelor pale UDSM nimehitimu mwaka jana. ilivyofika mwezi wa pili mwaka huu, katika harakati ya kutafuta hela za kunibakisha hapa mjini (Dar), nikapata kampuni moja hivi maeneo ya posta...
  9. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta Mke / Ndoa 2026

    Habari za hapa wana jukwaaa!! nimeingia JF kwa lengo la kutafuta mwenza wa maisha, mimi naamini popote inawezekana kwa uwezo wa Mungu. Mimi ni mwanaume wa miaka 36 Mrefu - maji ya kunde Sio mnene sio mwembamba Naishi dar es salaam Nafanya kazi na biashara Mkristo / Lutheran Mke nayemtafuta...
  10. S

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi za kwenye idara ya procurement, lakini pia nina ujuzi kwenye ulimwengu wa social media na naongea kiingereza vizuri

    Habari wakuu Nimekuja kwenu kuomba yeyote mwenye kazi au connection ya kazi anisaidie. Sifa zangu Jinsia: Me Umri: 28 Eneo: Dar es salaam Elimu: Bachelor’s Degree in Procurement and Logistics Management Naonngea kiingereza vizuri sana Kazi ninazoweza kufanya kutokana na taaluma yangu ni idara...
  11. majebsmafuru

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mchumba wa kike

    Awe kuanzia 25 mpaka 50. Mwenye biashara zake au kaajirawa. Dini yoyote, kabila yoyote. Mimi mfanyabiashara. Niko 50+ Karibuni warembo
  12. KAHIMERIA

    JamiiForums Tanzania Natafuta Guta la Sinoray

    Wakuu habari zenu Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosema Nina uhitaji wa ile chuma ya kazi iliyotumika kwa sababu bajeti yangu haitoshi kununua mpya. Natafuta Senoray cc 300 used akiwa kwenye hali nzuri
  13. WIMICKY

    JamiiForums Tanzania Natafuta kioo cha sony 10iii

    Habari wakuu nina sony 10iii ilianza kuonyesha arama kam kotone ka wino kwenye kioo kadri nilivozidi kutumia na yenyewe ikawa inazidi kujaa wino kwenye kioo saa hizi hata siwezi kutumia tena na nipo mara nahitaji kioo chake
  14. mamy cute

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta rafiki wa kiume

    Umri wangu :33 Location:Dar Jinsia ke Umri wa nimtafutae :25-38 Awe dar No strings attached,sio kwa ajili ya kuoana,just marafiki Karibu pm
  15. lizy22

    JamiiForums Tanzania Natafuta tiba za kuasili Tanzania, nimepatwa na makubwa huku

    Natafuta tiba za mganga wa kiasili Tanzania. Sina nguvu tena mwilini, ya kuenda chooni haja kubwa na ndogo. Nguvu za hedhi pia zimetolewa mwilini. Akili nasumbuka sana. Usiku hua nalala na nyoka. Jirani wangu anahusika pakubwa sana. Hata nguvu ya roho walitoa kabisa, hua inavutwa na kitovu...
  16. Avith almachius

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi

    Nipo Dar es salaam natafuta KAZI yoyote ukiachana na professional yangu Nina Degree ya sociology and social work but nahitaji kazi yyte niweze kukidhi Mahitaji yangu unaweza kunipigia kwa namba 0777838901 NB NI SERIOUS ISSUE
  17. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta mtu wa kukata Miti

    Nimefuta maana nimeshapata mtu
  18. Izy_Name

    JamiiForums Tanzania (Need for Acrylic sheets) Natafuta acrylic sheet maalum kwa utengenezaji herufi za 3D

    kama kichwa kinavyojieleza je ni wapi naweza kupata sheets za acrylic zitumikazo kwa utengenezaji wa 3D texts na bei zake zipoje? Hasa kwa Dar na Mwanza wapi naweza kuzipata
  19. nodetz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta marafiki waislamu

    Wakubwa najua haiwahusu ila jana nimebadili dini rasimi na kua mwisilamu so nahisi naitaji marafiki wapya wanao elewa uislamu pls kama uko tiyali njoo inbox
  20. SuperHb

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania NATAFUTA RAFIKI WA KIKE

    Mimi ni kijana mtanashati,,,Sina mambo mengi,,mpole,muelewa,mcheshi... Nahitaji RAFIKI WA kike umri wowote,,,KARIBU PM...tuyajenge
Back
Top Bottom