natafuta

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. SuperHb

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania NATAFUTA RAFIKI WA KIKE

    Mimi ni kijana mtanashati,,,Sina mambo mengi,,mpole,muelewa,mcheshi... Nahitaji RAFIKI WA kike umri wowote,,,KARIBU PM...tuyajenge
  2. Miss Natafuta

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta MTU mzima wa kunifariji

    Moyo wangu umeumia Sana jamani Niko down Sana Natafuta faraja tu Hata pm ,email . Karibuni
  3. noel oga

    JamiiForums Tanzania Natafuta mswaki wa engine 1zz

    Habar ndugu zangu natafuta chimbo zuri kwa hapa dar ambalo naweza kupata mswaki mzuri wa 1zz bajet yangu 1.7mil.ahsante
  4. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta boyfriend umri kuanzia miaka 25 hadi 30

    Habari, mimi ni binti nina miaka 23, nimekuwa mpweke sana nahitaji rafiki wa kiume wa kubadilishana naye mawazo, kupeana kampani n.k Sifa zangu. Najishughulisha Mpole Siyo muongeaji sana Mkweli na muwazi Kimo cha kawaida Rangi maji ya kunde Mwili wa kawaida Sifa za rafiki...
  5. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mwanamke wa kuzaa nae mtoto

    Natafuta mwanamke wa kuzaa nae mtoto. Sifa zake Dini yoyote. Umri 25-35 Kabila lolote Rangi mweupe Elimu at least secondary education. Kazi yoyote descent Awe anaishi DSM Awe tayari kupima afya Sifa zangu Umri 41 Rangi black Elimu postgraduate degree Napatikana Dar Kazi kibarua kwa...
  6. NYOLODO

    JamiiForums Tanzania Natafuta mtaalam wa kuchora hyperealistic sketch. Nani anajua hizo codes humu?

    Wakuu kwema? Naamin mko vizuri, nina skills za uchoraj wa graphite pencil. Ninategemea kuunda kitu flani hiv kinachoshabihiana kabisa na hyperealistic drawing styles ili niweze kufanya biashara safi hapa Unguja. Ninatafuta mtaalam wa sketch mitindo hii ya hperalism. Nina ujuzi pia na uchoraji...
  7. Powell Gonzalez

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naungana rasmi na Zemanda na Natafuta Ajira kwenye operation tokomeza simping

    Rasmi najiunga na Zemanda na Natafuta Ajira kwenye operation tokomeza simping! kwanzia sasa wakurugenzi wa hii operation naomba mnitag popote mtakapokuwa mnazungumzia hili swala. We gotta save this generation! Na kwa kuanza natoa some point on how to stop simping! Daily moves to kill...
  8. Chura

    JamiiForums Tanzania NATAFUTA MBEGU ZA MLONGE NIPO MWANZA

    kama inavyosomeka kwenye kichwa, Natafuta Mbegu za mlonge zikiwa kwenye tunda lake (drumstick) nanunua kwa gunia kama una magunia kuanzia 50 ama unaweza kupata magunia 50 nicheki 0692594263
  9. K

    JamiiForums Tanzania Natafuta ajira ya kibarua

    Habari za wakati huu wanajamii wenzangu, Naomba kuchukua nafasi hii kuwasalimia na kuwaomba msaada wenu. Mimi ni kijana mchapakazi, mwenye ari na nguvu za kufanya kazi mbalimbali ili niweze kujipatia riziki halali ya kila siku. Kwa sasa ninatafuta kibarua chochote halali, iwe ni kazi ya muda...
  10. kihongwe11

    JamiiForums Tanzania Natafuta Majagi ya Brenda

    Habari Natafuta majagi ya brenda kama haya kwenye picha ambayo anayo tutafutane nitanunua maana ya kwangu yamepasuka naambatanisha na mashine zenyewe ili iwe rahisi kufahamu.
  11. Analogia Malenga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mke wa mtandaoni

    Natafuta mke wa mtandaoni hasa JF. Mke wa mtandaoni ni mke ambaye tutakuwa tunaandikiana mambo mazuri mtandaoni na kuoneshana mahaba mtandaoni ila hakuna kukutana na mtu wala kubadilishana namba za simu. Kila kitu kinabaki mtandaoni hakuna hata kutumiana picha. Suala la umri nk sio vigezo haya...
  12. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mchumba mwanamke Mkristo

    Habari, Mimi ni mwanaume mwenye sifa zifuatazo 1. Mrefu mweusi, am very focused 2. Umri wangu 30 3. Graduate, Christian 4. Muajiriwa 5. Ninaishi Kilimanjaro Sifa za mwanamke nimtakaye 1. Uwe mkristo na usiwe na mtoto 2. Umri lazima uwe na 18 hadi 26 3. Msafi wa mwili na roho 4. Uwe na elimu...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta epoxy resin kwa mwanza na hata dar es salaam

    kama kichwa kinavyojieleza natafuta epoxy resin nipo mkoani ila karibu na jiji la mwanza kwa huu mkoa nimetafuta bila mafanikio. Sasa nauliza kama naweza kupata mwanza na hata dar es saam ikiwezekana ni vizuri kama nikajulishwa na bei yake ahsante
  14. BumbleBeeBot

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mwanamke Mbeya mjini

    Mi ni mgeni huku, nimekuja kuanza maisha. Nahitaji mwanamke wa huku mbeya mjini kwa mahusiano endelevu. Nimekuja huku JF coz mi sio mtembeaji sana wala muongeaji. Muda mwingi nipo ndani mwenyewe. Awe sehemu za mbeya mjini, mi nipo pembeni kidogo ya mji. Kama utakuwa interested nicheki kwa...
  15. R

    JamiiForums Tanzania NATAFUTA USB SWITCH

    Habar wadau Nimezurula kariakoo mpaka nimechoka natafita usb switch sio usb hub usb switch ipo hv nina pc 3 na nina zitumia mara kwa mara kwa kaz mbalimbali sasq nikawa natafuta mfumo utakao niwezesha kushare vifaa vya usb nfano mouse keyboard pri ter etc via 2 pv ili nijiepushw na chomoa...
  16. K

    JamiiForums Tanzania Natafuta mfanyakazi wa Dry Cleaner-Mwanza

    Awe msichana Ujuzi wa kutumia mitandao ya kijamii kwa ajili ya kuitangaza biashara Atapewa smartphone Mwezi mmoja kwa ajili ya kujifunza, atapewa nauli na pesa ya kula tu kwa siku. Mwezi unaifuata ndo ataanza kulipwa Biashara ipo Nyasaka
  17. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mdada ambaye jimbo lipo wazi mwenye lifestyle kama hii yangu

    Habari wakuu, About Umri wangu 25, location dar maeneo ya airport, nipo single sina mtoto, mrefu kiasi, mwembamba kiasi, sio mweupe au mweusi, na najitambua. mimi nime jiajiri kwenye masuala ya programming developer. Sio mlevii na situmii vitu kama bangi, mimi ni mkristo lakini sina kanisa...
  18. U

    JamiiForums Tanzania Natafuta sehemu ya kujitolea, nimesoma clinical medicine

    Nimesoma clinical medicine. Nimemaliza mwaka huu, hivyo ninahitaji kupata sehemu ya kujitolea kupata kujifunza zaidi na kupata uzoefu. Nimesoma chuo cha private, na changamoto kubwa wa hivi vyuo vya private ni kupata muda mchache wa kufanya mafunzo ya wodini maana chuo chetu hakina hospitali...
  19. S

    JamiiForums Tanzania Natafuta vijana wa kutembeza viatu grade one vya mtumba pamoja na mashati ya kiume

    Kama kichwa Cha habari kinavojieleza ukiwa ni kijana njoo tufanyie kazi. Mimi napoint viatu karume na mashati ya kiume na Sasa natafuta mtu ambaye anachukua mzigo kwangu anauza faida tunagawana nusu kwa nusu. Ishu hapa huhitaji mtaji ila inahitaji uaminifu na moyo wa kufanya kazi kutafuta...
  20. K

    JamiiForums Tanzania Natafuta mwekezaji tufanye biashara

    Wadau mimi ni mwl nipo jiji la mwanza. Nimwajiriwa lkn najihusisha ktkt biashara za kilimo. Ninaeneo la hekari km mbili na nusu. Nimejenga nyumba ya kawaida kwaajili ya kijana wa kazi pamoja na mabanda ya kuku na nguruwe. Lkn km mnavyojua biashara yeyote inataka mtaji bila mtaji hakuna kitu...
Back
Top Bottom