natafuta

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. WENYELE

    Natafuta Duka la Spare orijino za Mitsubishi Pajero

    Wakuu ni wapi hapa Dar nitapa duka linalouza spare orijino za Mitusbishi? Km unafahamu nipatie mawasiliano wakuu
  2. Wakili wa shetani

    Natafuta mtu anayesomea Kiswahili UDSM anipe muongozo

    Habari. Natafuta mtu anayesomea Shahada ya Kiswahili UDSM anipe msaada wa uchambuzi wa vitabu fulani vya Kiswahili. Ni Muhimu awe mwanafunzi maana kazi tutaifanyia chuoni. Naomba aniDM.
  3. Brigadier Isaac

    Natafuta girlfriend wa kusogeza naye siku

    Bila kuchoshana kama tangazo linavosema hapo juu Natafuta mpenzi wa kuchat nae na kujuliana hali hivo vingine tutapanga baadae kama penzi likinoga Masharti:awe mwanamke basi inatosha
  4. Ndama Jeuri

    Natafuta mchumba wa kike muislamu

    Awe muislamu Umri 20-30 Hajawahi kuolewa kama ana mtoto asizidi mmoja kabila lolote lile. Elimu kuanzia kidato cha nne kuendelea. Sifa zangu Umri 33 Mtumishi serikalini Sijawahi kuoa Mengine mengi tutajuzana PM ALIYE INTERESTED ANICHEK PM,tukimatch tufunge Ndoa before mwezi wa sita mwaka huu...
  5. Newcastle1234

    Natafuta kiwanja Mbweni, budget Mil.70

    Natafuta kiwanja Mbweni. Bajeti yangu Mil.70. Ukubwa at least 900sqm SITAKI MADALALI. Kwa mmiliki au anaemfahamu mmiliki anitumie picha na location kwenye WHATSAPP 0788 893364. Just Whatsapp. NO CALLS
  6. banalunda

    Natafuta kijana wa kuuza chipsi

    Habarini za majukumu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Nahitaji kijana muaminifu na mzoefu wa jiko la kuuza chipsi, mishkaki, samaki n.k, kwa hapa Dar es Salaam. Aliye serious anicheki PM tafadhali.
  7. Jugado

    Natafuta kiwanja Kibaha maili moja

    Kisiwe mbali na lami, yaani isizidi 3km. Ukubwa usipungue 30×35 au around hapo. Kiwe tambarare. Pesa ipo kwenye mfuko wa shati. (Kama bei itakuwa reasonable).
  8. Mtewele isaya

    Natafuta kazi lakini pia nina uzoefu na usimamizi kwenye vifaa vya ujenzi

    Naitwa isaya mtewele elimu yangu ni kidato cha nne natafuta kazi lakini pia nina uzoefu na usimamizi kwenye vifaa vya ujenzi kwa maana nimefanya kazi ya usimamizi kwenye duka la vifaa vya ujenzi miaka mitano hivyo kama kuna kampuni au shirika. Binafsi linalojihusisha na uuzaji wa vifaa vya...
  9. K

    Natafuta Shamba la Kufugia Kigoma(Kasulu DC au TC, Uvinza au Kibondo), Karagwe au Biharamulo au Kahama. Kukodi au Kuuziwa Kabisa.

    Habari wanajamvi. Kama mada tajwa hapo juu. Natafuta shamba lenye ukubwa wa kuanzia hekari 20 hadi 100 kwa ajili ya kufugia. Vigezo! 1. Liwe na miti ya asili au vichaka au maotea/chipukizi za miti 2. Lisiwe na mgogoro wa aina yoyote 3. Muuzaji awe tayari kuonyesha nyaraka halali za umiliki wa...
  10. Newcastle1234

    Natafuta kazi ya Sales au Business Administrator au relevant

    Mimi kijana wa miaka 35. Natafuta kazi, short term au long term. Nina elimu ya chuo kikuu na experience kwenye sales, marketing na project management. Kwa Sasa Sina kazi lakini niko tayari kufanya kazi yeyote nitakayoiweza. Niko flexible sana na open minded
  11. P

    MSAADA: Wapi nitapata mizani ya kidigitali kwaajili ya kupimia mazao mpaka kilo 150?

    Hellow wapendwa, Naomba kuuliza wapi nitapata mizani ya kidigital ya kupimia mazao hadi kilo 150? Inahitajika haraka sana?
  12. mike2k

    Natafuta kazi ya Ualimu

    👨‍🏫👨‍🏫👨‍🏫👨‍🏫👨‍🏫👨‍🏫👨‍🏫👨‍🏫 NATAFUTA KAZI YA UALIMU Mimi ni mwalimu mwenye shahada ya elimu, nina uzoefu wa miaka minne wa kufundisha shule za msingi na sekondari. Ninafundisha masomo ya Kiingereza, Historia ya Tanzania, CME, Kiswahili, Jiografia na Mazingira, na Elimu ya Jamii kwa shule za...
  13. M

    Natafuta shamba la kununua Shinyanga, Singida, Dodoma, Iringa, Tabora, Morogoro

    Habari wakuu, Natafuta shamba kubwa ambalo limeshawai kulimwa au tambarare ambalo litakuwa rahisi kulimwa kwa mikoa niliyo orodhesha hapo juu. Siitaji shamba ambalo lina miti maana kuondoa miti ni gharama sana. Natafuta kwanzia heka 100 kwenda juu. Asante.
  14. M

    Natafuta mwenza

    Wadau hope mko poa, Kama mada inavyosema, natafuta mwenza wa kuanza nae mahusiono then badae tuje kuwa wamoja. Sifa zangu: Mrefu wa wastani, maji ya kunde. Nimeajiriwa Sekta Binafsi( Finacial Institution) Nina umri wa miaka 32. Dini ni mkristo. Kabila Mmasai. Sifa za ninae muhiji: Awe...
  15. Mgaa gaa upwa

    Natafuta pikipiki ya umeme (Electric scooter) used

    Offer. Kwa yeyote mwenyewe pikipiki ya umeme zile ndogo (electric scooter) used anayeiuza au hana uhitaji nayo kwa sasa na anaiuza hebu anicheki hapa nahitaji kwa matumizi ya nyumbani.. Itapendeza zaidi nikiipata dare salaam
  16. Jicholamwewe

    Msaada natafuta kazi

    Wakuu habari? Nahitaji msaada wa kazi.yeyote anayefaham kazi ilipo naomba aniambie.Nina ujuzi wa laboratory ,QC pia kazi yoyote nitafanya.hapo chini ni part ya CV yangu pamoja na certificate training .asanteni sana
  17. Jicholamwewe

    Natafuta kazi

    Habari wakuu hongereni kwa mwaka mpya. Nikienda moja kwa moja kwenye mada. Mimi natafuta kazi yoyote ila nina uzoefu wa miaka 2 laboratory technician pia quality control pia nina uzoefu wa blending operator yaani uwezo wa kublending products zote hasa za spirit mfano konyagi, vodica, value...
  18. P

    Natafuta kazi/nahitaji kazi yeyote ambayo haivunji sheria za mungu na haivunji sheria za nchi

    Hello wapendwa,Mimi ni binti Nina miaka 26 Ninaishi Dar es salaam Natafuta kazi/Nahitaji kazi yeyote ambayo HAIVUNJI SHERIA ZA MUNGU na HAIVUNJI SHERIA ZA NCHI Nina certificate ya (Medical attendant) Hivyo hata Kama ipo ya inayofanana na hiyo fani yangu pia sawa. Naenda mkoa wowote kazi...
  19. Z

    Natafuta mke. Nipo mwanza

    Nna miaka 33 natafuta mke awe miaka 24 mpaka 28. Angalau awe na elimu ya form fourna kuendelea. Dini mkristo. 0759123551
Back
Top Bottom