Habarini wakuu,
Natafuta kijana au mtu yeyote aliyesomea Insurance (level yoyote), ambaye kwa sasa hana kazi lakini ana motivation, nidhamu, na utayari wa kufanya kazi kwa juhudi.
Nina mpango wa kusajili Insurance Agency, hivyo nahitaji mtu sahihi atakayenisaidia kuanzisha na kuendesha shughuli zake kuanzia hatua za mwanzo.
Kwa kuanzia:
Nitatoa support ya nauli na mahitaji ya msingi.
Hii ni nafasi kwa mtu anayetaka kujifunza, kukua, na kupata uzoefu wa moja kwa moja kwenye biashara.
Kadri biashara itakavyokua na kuanza kuhimili gharama zake, mshahara rasmi utaanza kulipwa.
NB: Hii nafasi inafaa kwa mtu mwenye uvumilivu, kujituma, na anayeelewa changamoto za kuanza kitu kutoka chini. Kama unatafuta kitu kilicho tayari kimekaa sawa, hii inaweza isiwe nafasi sahihi kwako.
Kama unaona unafaa, niPM.
Karibu.
Natafuta kijana au mtu yeyote aliyesomea Insurance (level yoyote), ambaye kwa sasa hana kazi lakini ana motivation, nidhamu, na utayari wa kufanya kazi kwa juhudi.
Nina mpango wa kusajili Insurance Agency, hivyo nahitaji mtu sahihi atakayenisaidia kuanzisha na kuendesha shughuli zake kuanzia hatua za mwanzo.
Kwa kuanzia:
Nitatoa support ya nauli na mahitaji ya msingi.
Hii ni nafasi kwa mtu anayetaka kujifunza, kukua, na kupata uzoefu wa moja kwa moja kwenye biashara.
Kadri biashara itakavyokua na kuanza kuhimili gharama zake, mshahara rasmi utaanza kulipwa.
NB: Hii nafasi inafaa kwa mtu mwenye uvumilivu, kujituma, na anayeelewa changamoto za kuanza kitu kutoka chini. Kama unatafuta kitu kilicho tayari kimekaa sawa, hii inaweza isiwe nafasi sahihi kwako.
Kama unaona unafaa, niPM.
Karibu.