Natafuta Kijana wa Insurance

Natafuta Kijana wa Insurance

Developer

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2011
Posts
581
Reaction score
1,018
Habarini wakuu,

Natafuta kijana au mtu yeyote aliyesomea Insurance (level yoyote), ambaye kwa sasa hana kazi lakini ana motivation, nidhamu, na utayari wa kufanya kazi kwa juhudi.

Nina mpango wa kusajili Insurance Agency, hivyo nahitaji mtu sahihi atakayenisaidia kuanzisha na kuendesha shughuli zake kuanzia hatua za mwanzo.

Kwa kuanzia:
Nitatoa support ya nauli na mahitaji ya msingi.

Hii ni nafasi kwa mtu anayetaka kujifunza, kukua, na kupata uzoefu wa moja kwa moja kwenye biashara.

Kadri biashara itakavyokua na kuanza kuhimili gharama zake, mshahara rasmi utaanza kulipwa.

NB: Hii nafasi inafaa kwa mtu mwenye uvumilivu, kujituma, na anayeelewa changamoto za kuanza kitu kutoka chini. Kama unatafuta kitu kilicho tayari kimekaa sawa, hii inaweza isiwe nafasi sahihi kwako.

Kama unaona unafaa, niPM.
Karibu.
 
Habarini wakuu,

Natafuta kijana au mtu yeyote aliyesomea Insurance (level yoyote), ambaye kwa sasa hana kazi lakini ana motivation, nidhamu, na utayari wa kufanya kazi kwa juhudi.

Nina mpango wa kusajili Insurance Agency, hivyo nahitaji mtu sahihi atakayenisaidia kuanzisha na kuendesha shughuli zake kuanzia hatua za mwanzo.

Kwa kuanzia:
Nitatoa support ya nauli na mahitaji ya msingi.

Hii ni nafasi kwa mtu anayetaka kujifunza, kukua, na kupata uzoefu wa moja kwa moja kwenye biashara.

Kadri biashara itakavyokua na kuanza kuhimili gharama zake, mshahara rasmi utaanza kulipwa.

NB: Hii nafasi inafaa kwa mtu mwenye uvumilivu, kujituma, na anayeelewa changamoto za kuanza kitu kutoka chini. Kama unatafuta kitu kilicho tayari kimekaa sawa, hii inaweza isiwe nafasi sahihi kwako.

Kama unaona unafaa, niPM.
Karibu.
Uko wapi mkuu
 
nenda pm toa cv yako subiri majibu, kila la khery
Habari. Nimejaribu kukutumia CV lakini PM inakataa. Nawezaje kuituma?
Habarini wakuu,

Natafuta kijana au mtu yeyote aliyesomea Insurance (level yoyote), ambaye kwa sasa hana kazi lakini ana motivation, nidhamu, na utayari wa kufanya kazi kwa juhudi.

Nina mpango wa kusajili Insurance Agency, hivyo nahitaji mtu sahihi atakayenisaidia kuanzisha na kuendesha shughuli zake kuanzia hatua za mwanzo.

Kwa kuanzia:
Nitatoa support ya nauli na mahitaji ya msingi.

Hii ni nafasi kwa mtu anayetaka kujifunza, kukua, na kupata uzoefu wa moja kwa moja kwenye biashara.

Kadri biashara itakavyokua na kuanza kuhimili gharama zake, mshahara rasmi utaanza kulipwa.

NB: Hii nafasi inafaa kwa mtu mwenye uvumilivu, kujituma, na anayeelewa changamoto za kuanza kitu kutoka chini. Kama unatafuta kitu kilicho tayari kimekaa sawa, hii inaweza isiwe nafasi sahihi kwako.

Kama unaona unafaa, niPM.
Karibu.
Habari. Nimejaribu kukutumia CV lakini PM inakataa. Nawezaje kuituma?
 
Habari. Nimejaribu kukutumia CV lakini PM inakataa. Nawezaje kuituma?

Habari. Nimejaribu kukutumia CV lakini PM inakataa. Nawezaje kuituma?
Nime ku PM unaweza kunitumia kwenye reply ya hiyo PM
 
Habarini wakuu,

Natafuta kijana au mtu yeyote aliyesomea Insurance (level yoyote), ambaye kwa sasa hana kazi lakini ana motivation, nidhamu, na utayari wa kufanya kazi kwa juhudi.

Nina mpango wa kusajili Insurance Agency, hivyo nahitaji mtu sahihi atakayenisaidia kuanzisha na kuendesha shughuli zake kuanzia hatua za mwanzo.

Kwa kuanzia:
Nitatoa support ya nauli na mahitaji ya msingi.

Hii ni nafasi kwa mtu anayetaka kujifunza, kukua, na kupata uzoefu wa moja kwa moja kwenye biashara.

Kadri biashara itakavyokua na kuanza kuhimili gharama zake, mshahara rasmi utaanza kulipwa.

NB: Hii nafasi inafaa kwa mtu mwenye uvumilivu, kujituma, na anayeelewa changamoto za kuanza kitu kutoka chini. Kama unatafuta kitu kilicho tayari kimekaa sawa, hii inaweza isiwe nafasi sahihi kwako.

Kama unaona unafaa, niPM.
Karibu.
 

Attachments

Similar Discussions

Back
Top Bottom