naomba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wa mama mijengo sometimes muwe na huruma

    copied but ni real life story
  2. lee Vladimir cleef

    JamiiForums Tanzania Msaada naomba kujua duka la Spanish tiles hapa DSM

    Salaam wadau wa ujenzi, Naomba kufahamu maduka ya Spanish tiles kwa hapa Dsm. Of course najua lililopo Victoria, Lakini ngependa kujua zaidi ili niwwze kufanya ulinganifu wa Bei,na aina tofauti tofauti ili niweze kuchagua. Pia kama Kuna mtu anafahamu zaidi kuhusu aina nyingine na ubora za tiles...
  3. Slowly

    JamiiForums Tanzania KIFO NA NDOA: Naomba nichukue nafasi hii kuisifu misingi ya dini ya Kiislamu

    Nikiri wazi Mimi ni mkristo kidanki ndaki, ni mafungu machache ya kwenye biblia yanaweza nipiga chenga. Dini zote mbili za kikristo na kiislamu zilitokea eneo moja , mashariki ya Kati , kile ambacho Biblia inasema na kile ambacho Qur'an inasema ni copyright for more than 80% , waislamu...
  4. Lanlady

    JamiiForums Tanzania Naomba kupata ufafanuzi kuhusu ufundishaji wa wanafunzi wenye mahitaji maalumu (VI, HI, II) pamoja na wale wa kawaida katika darasa moja

    Kumekuwepo na sera ya ufundishaji wa wanafunzi kwa kujuimuisha wenye mahitaji maalum na wale wa kawaida katika shule/ darasa moja. Wanafunzi hawa katika baadhi ya shule wanafundishwa na walimu waliosomea ualimu wa kawaida. Tatizo linakuwa ni namna ya kuwasiliana na wanafunzi hao hasa wenye...
  5. Mbeya Girl

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Nahisi mdogo wangu ana matatizo

    Habari zenu Nina mdogo wangu wakike umri ni early 20s, amemaliza chuo mwaka jana mpaka sasa yupo tu home Ana tabia yakupenda sana kuandika (vitu mbalimbali kwenye notebook zake) na kusoma vitabu na articles mbalimbali pia anaangalia sana movies, kinacho nifanya niulize ni kwasababu amezidi...
  6. Peril22

    JamiiForums Tanzania Naomba kusaidiwa tafsiri ya ndoto

    Habari za usiku huu wakubwa. Aisee mpaka naamua kuandika uzi usiku huu ni kwamba mambo yamenifika shingoni. Nina kipindi cha kama wiki mbili au tatu mfululizo kila nikilala naota ndoto nikipambana either na mnyama mkubwa(tembo, nyati au simba), binadamu mmoja mwenye weledi wa juu kabisa, watu...
  7. ANT DRUGS

    JamiiForums Tanzania Naomba kueleweshwa machache kuhusu TAKUKURU

    Habari zenu wakuu! Hii idara ni pana sana ila naomba kujua kama mtu anaweza kuajiriwa huko bila kupitia jeshi?Vp utaratibu wao wa kuajiri upoje? Wana vitengo kama ilivyo jeshini au ni vipi ndugu zangu? Shukrani sana
  8. IKUNGURU IJIRU CHUKU

    JamiiForums Tanzania Je, kesi ikifutwa, Vielekezo navidhibiti vyote vinarudishwa Kwa wenyewe?

    Naomba nifahamishwe hili la KESI ya MBOWE kufutwa, au DPP kutokuwa interest na KESI, Swali langu ni Je Vielelezo navidhibiti vyote vitarudishwa Kwa wenyewe? Kama vitarudishwa. Je AKINA Bwire watarudishiwa Madawa Yao ya kulevia na Bastola Yao? Kisheria limekaaje hili.
  9. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa juu ya ugonjwa huu

    Habari za asubuhi waungwana wote hapa, Yupo ndugu yangu ameanza kuwa mweupe katika sehemu mbalimbali za mwili wake, weupe unaofanania kama wa zeruzeru vidoleni na miguuni. Je, huu ni ugonjwa gani na husababishwa na kitu gani au ukosefu wa madini gani na tiba kamili ni ipi? #Thanks you.
  10. Gotze Giyani

    JamiiForums Tanzania Kwanini wasomi wengi ni masikini tena waliopo sekta za umma

    Wadau habari za mida naomba mchango wenu wa mawazo kwanini wafanyakazi wengi wa umma ni masikini unakuta mtuu ana bachelors degree ila unakuta anaishia kumiliki nyumba na gari moja tuu ambapo ukiangalia ni vitu vya kawaida sana yani hata hakuna maajabu wanauofanya kama wenzetu ukichukulia...
  11. Evelyn Salt

    JamiiForums Tanzania Wauzaji wa bidhaa za forever living mnaboa sana!

    Habari za weekend..... Wauzaji wa bidhaa za forever living, kwanza hongereni kwa kufanya hiyo biashara inayohitaji kipaji cha hali ya juu kuweza kuongea sana na kumshawishi mteja, ni kipaji kwakweli. Back to topic, mmekua mnatumia mbinu za uongo na kulazimisha sana mteja ili mtangaze...
  12. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Naomba kuelimishwa kuhusu metaverse, faida na hasara zake

    Wakuu nasikia na kuona tu Facebook metaverse lakini sijui ni kitu gani hasa. Naona kama watu wana ishi online kama kwenye ile movie Ready player one au Free guy. Ipo hivyo hasa? Ni nini faida na hasara za hii kitu?
  13. Jack HD

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri wa biashara ya malori

    Wakuu nawasalimu kwa Jina la JMT. Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza. Nimekuja humu ndani kupata ushauri wa Biashara ya Malori haya ya kubeba mizigo iwe ya Local ama Transit. Kutokana na Connection nilizonazo nadhani suala zima la kupata Mizigo ya Kusafirisha halitokuwa la kuumiza kichwa...
  14. Aliko Musa

    JamiiForums Tanzania Naomba utushirikishe mbinu wanazoweza kutumia waliojiriwa kumiliki nyumba ya kwanza

    Habari, Naitwa Aliko Musa. Ninaishi mkoani Mbeya. Mimi ni mwandishi na mshauri mbobezi kuhusu uwekezaji katika ardhi na majengo. Mejesho kutoka kwa wasomaji wa makala zangu kwenye mtandao wa UWEKEZAJI MAJENGO BLOG umeonyesha wengi hushindwa kumiliki ya kwanza kutokana na sababu mbalimbali...
  15. M.COLLINS

    JamiiForums Tanzania Kuku wangu wanakohoa na kukoroma, naombeni msaada

    Wakuu mimi kuku wangu wanakohoa na ukiwasikiliza ni kama wanakoroma umri ni wa Mbezi miwili na vifaranga wa week moja na siku 6. Hii issue imedumu kiasi maana niliwapa Fluban siku 5 ikawa bado nilipata kifo kimoja kwa (Watoto), siku 3 mbele nimewaanzishia dose nyingine ya TYDOX EXTRA Wakubwa...
  16. magasi jnr

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua wapi naweza kununua LACTIC ACID NA CITRIC ACID

    Habarini wakuu, naomba msaada ni maduka yapi au maduka ya aina gani ninaweza kununua LACTIC na CITRIC ACID?
  17. W

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wenu

    Salamu zangu kwenu wote Mwaka jana mwezi wa nne nilipata matatizo kazini na nikafukuzwa kazi. Baada ya hapo nikawa nafanya kazi yoyote inayotokea za kusaidia fundi sikuweza kufanya biashara kwakuwa sikuwa na mtaji na akiba ya pesa niliyokuwa nayo ilikuwa kidogo Mwezi wa saba mwaka jana...
  18. F

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri juu ya kununua gari

    Wakuu naomba ushauri wenu. Nataka kununua gari mojawapo na machaguo angu ni kati ya Toyota LC prado ya 2018 diesel engine,Mercedes benz G class ya 2015 au 2016 ya diesel, na Toyota LAND CRUISER GXR ya 2017. Naomba ushauri juu ya ubora wa gari hizo hasa hasa matengenezo pamoja. Chaguo langu la...
  19. Capital

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa kisheria kukomesha uhuni wa Halotel

    Wakuu, Niende kwenye hoja moja kwa moja. Wiki mbili zilizopita nilikosea kutoa muamala wa pesa kwa wakala wa halopesa kutoka kwenye line yangu ya halotel na dakika hiyo hiyo nikawapigia huduma kwa wateja na wakaisimamisha na kisha wakanitumia namba ya uthibitisho. Na maelezo niliyopewa ni...
  20. gfsonwin

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamishwa

    Wanajamvi habari za j2! Ninaomba kujuzwa, hivi inawezekana Kwa wenzetu walioko nje ya nchi yaan wanaoishi ughaibuni mtu akafariki ndg zake huku Tz wasijue? Najua wapo ambao tunawaombeaga michango ya kusafirishwa lakini je wapo ambao hatuambiwagi kabisa habari zao? Kama wapo miili ama maiti zao...
Back
Top Bottom