EL ELYON
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 1,563
- 1,886
Nina wazo au proposal ambayo inahusu mradi mkakati mdogo utakaohusu kilimo na ufugaji kwa vijana waliohitimu vyuo nk.
Kama mnavyojua tatizo kwenye jamii ni fursa pia tena kubwa nimeandika proposal ambayo itakuwa inakusanya vijana kuanzia 50-100 kufanya kwa pamoja mradi wa kilimo na ufugaji.
Kilimo kitakuwa cha mazao yanayowahi kuvunwa na mazao biashara pia mboga mboga. Ufugaji ni wa Ndege na wanyama hii itakuwa kama backup wakati vijana wanasubiri kuvuna basi kuwe na ufugaji utakaokuwa unawaingizia kipato na kulipa kama ni mkopo wamechukua.
Mradi kama huu nimefikiria ufanyike kwa kila wilaya kisha kila kata.
Sasa naomba maoni yenu mi nilifikiria kwenda kuzungumza na mkurugenzi na mkuu wa wilaya niliyopo nione kama wanaweza kutoa ushirikiano.
Wilaya niliyopo ipo mkoa wa Kagera niliwahikutana na kiongozi mmoja wa kijiji akasema maeneo yapo unaweza omba ukafanya shughuri zako ukimaliza unarudisha yaani maeneo ya kijiji.
Pia nahitaji maoni je tunaweza kupata wapi connection ya kupata mkopo wa kuanzia na ndo maana nilitaka ends zungumza na mkurugenzi na mkuu wa mkoa si mnajua pia rais alisema kilimo kwa vijana ili kupunguza changamoto ya ajira.
Sasa naomba maoni yenu nianzie wapi.
Pili nataka vijana waliotayari kwa kushirikiana tupambane mpaka tufanikishe mradi wawe wilaya ya Biharamulo au katoro au mureba au bukoba ambao wanaweza pia kuwa na mawazo chanya tunafanyaje.
Tatu ambaye anajua tunaweza pata wapi connection ya kupata mahitaji ya mradi ikiwemo vifaa na pesa hata kama ni mkopo ikiwa mtoaji atakubaliana na proposal.
NB: mradi natamani uwe mfano kwa vijana wote nchini na uigwe.
Piga simu au tuma ujumbe hapa
0715774965.
Kama mnavyojua tatizo kwenye jamii ni fursa pia tena kubwa nimeandika proposal ambayo itakuwa inakusanya vijana kuanzia 50-100 kufanya kwa pamoja mradi wa kilimo na ufugaji.
Kilimo kitakuwa cha mazao yanayowahi kuvunwa na mazao biashara pia mboga mboga. Ufugaji ni wa Ndege na wanyama hii itakuwa kama backup wakati vijana wanasubiri kuvuna basi kuwe na ufugaji utakaokuwa unawaingizia kipato na kulipa kama ni mkopo wamechukua.
Mradi kama huu nimefikiria ufanyike kwa kila wilaya kisha kila kata.
Sasa naomba maoni yenu mi nilifikiria kwenda kuzungumza na mkurugenzi na mkuu wa wilaya niliyopo nione kama wanaweza kutoa ushirikiano.
Wilaya niliyopo ipo mkoa wa Kagera niliwahikutana na kiongozi mmoja wa kijiji akasema maeneo yapo unaweza omba ukafanya shughuri zako ukimaliza unarudisha yaani maeneo ya kijiji.
Pia nahitaji maoni je tunaweza kupata wapi connection ya kupata mkopo wa kuanzia na ndo maana nilitaka ends zungumza na mkurugenzi na mkuu wa mkoa si mnajua pia rais alisema kilimo kwa vijana ili kupunguza changamoto ya ajira.
Sasa naomba maoni yenu nianzie wapi.
Pili nataka vijana waliotayari kwa kushirikiana tupambane mpaka tufanikishe mradi wawe wilaya ya Biharamulo au katoro au mureba au bukoba ambao wanaweza pia kuwa na mawazo chanya tunafanyaje.
Tatu ambaye anajua tunaweza pata wapi connection ya kupata mahitaji ya mradi ikiwemo vifaa na pesa hata kama ni mkopo ikiwa mtoaji atakubaliana na proposal.
NB: mradi natamani uwe mfano kwa vijana wote nchini na uigwe.
Piga simu au tuma ujumbe hapa
0715774965.