CAG kama umo humu naomba unijibu haya maswali

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Jul 7, 2020
6,318
8,229
Mimi maswali yangu ni haya;~

Utawala wa Magufuli unaonekana ulikuwa wa kipigaji sana, je aliwezaje

1. Kununua ndege 11 mpya tena bila mkopo?

2. Kujenga madaraja yote haya?

3. Kujenga Fly over hizi?

4. Kujenga meli kubwa mpya zile na kukarabati meli za zamani?

5. Kuhamishia serikali Dodoma na kuanza ujenzi wa Ikulu kubwa namna ile?

6. Kujenga viwanja vya ndege na kukarabati vya zamani kwa ujumla wake 13?

7. Kujenga Vituo vya Afya takriban 500 na Zahanati 1800?

8. Kujenga Hospitali za Wilaya, za rufaa na za kanda kwa kiwango kile?

9. Kusambaza umeme katika vijiji 7,000?

10. Kujenga masoko ya kimataifa ? Ukianzia Dar es salaam yako masoko kadhaa ya kimataifa, Kisutu, Magomeni, Mwananyamala, Iringa mjini, Dodoma pale soko la Ndungai.

11. Kujenga Mahakama za kisasa karibu kila mkoa?

12. Kujenga barabara za lami kila mahali mijini? Tena barabara za kiwango cha kimataifa na taa za barabarani?

13. Kujenga SGR_ Standard Gauge Railway tena yakutumia umeme?

14. Kujenga Bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere?

15. Kujenga maabara za shule za kata na kuzikarabati shule zote za Sekondari Kongwe?

16. Elimu bure nchi nzima kuanzia shule za msingi mpaka kidato cha nne?

17. Ununuzi na ufungaji wa Rada kuilinda anga ya Tanzania?

18. Kufufua Reli ya Dar es Salaam, Tanga Moshi Arusha iliyosimama kwa miaka 30?

Najiuliza aliwezaje kufanya yote haya kwa muda wa Miaka Mitano na Miezi Mitano tu? Aliwezaje kuimudu Corona na hatukupigwa Lockdown? Kwa muda wote wa uongozi wake.

Haya ndio maswali nahitaji majibu.

Mkuu wangu Zito pia mwanauchumi naomba jitokeze kuokoa hili jahazi.

Bro Lissu pia mwanasheria mkongwe mtaalamu wa sheria haya maswali yanahitaji majibu.

Mzee wangu Mbowe popote ulipo jitokeze katika huu mjadala.

Tujibu hili swali kwa weledi ili tuweze kupata walau elimu. Ni kipi kilichofanyika.

Ahsanteni kwa michango.
 
Magufuli alikopa trilioni 29 kwa miaka 5 tu...Huu ni mkopo mkubwa zaidi kuchukuliwa na Rais wa Tanzania

Na huyu CAG alichaguliwa na Magufuli baada ya kumuona Assad hafai

Swali ni je kwa nini utawala wa Magufuli unagombana na kila CAG?
 
Akijibu mni tag jamani....maana sasa imebaki miayo tu na ngonjera za kuupiga mwingi.
 
Mimi maswali yangu ni haya;~

Utawala wa Magufuli unaonekana ulikuwa wa kipigaji sana, je aliwezaje

1. Kununua ndege 11 mpya tena bila mkopo?

2. Kujenga madaraja yote haya?

3. Kujenga Fly over hizi?

4. Kujenga meli kubwa mpya zile na kukarabati meli za zamani?

5. Kuhamishia serikali Dodoma na kuanza ujenzi wa Ikulu kubwa namna ile?

6. Kujenga viwanja vya ndege na kukarabati vya zamani kwa ujumla wake 13?

7. Kujenga Vituo vya Afya takriban 500 na Zahanati 1800?

8. Kujenga Hospitali za Wilaya, za rufaa na za kanda kwa kiwango kile?

9. Kusambaza umeme katika vijiji 7,000?

10. Kujenga masoko ya kimataifa ? Ukianzia Dar es salaam yako masoko kadhaa ya kimataifa, Kisutu, Magomeni, Mwananyamala, Iringa mjini, Dodoma pale soko la Ndungai.

11. Kujenga Mahakama za kisasa karibu kila mkoa?

12. Kujenga barabara za lami kila mahali mijini? Tena barabara za kiwango cha kimataifa na taa za barabarani?

13. Kujenga SGR_ Standard Gauge Railway tena yakutumia umeme?

14. Kujenga Bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere?

15. Kujenga maabara za shule za kata na kuzikarabati shule zote za Sekondari Kongwe?

16. Elimu bure nchi nzima kuanzia shule za msingi mpaka kidato cha nne?

17. Ununuzi na ufungaji wa Rada kuilinda anga ya Tanzania?

18. Kufufua Reli ya Dar es Salaam, Tanga Moshi Arusha iliyosimama kwa miaka 30?

Najiuliza aliwezaje kufanya yote haya kwa muda wa Miaka Mitano na Miezi Mitano tu? Aliwezaje kuimudu Corona na hatukupigwa Lockdown? Kwa muda wote wa uongozi wake.

Haya ndio maswali nahitaji majibu.

Mkuu wangu Zito pia mwanauchumi naomba jitokeze kuokoa hili jahazi.
Huyu kafanya makubwa sana sema Zito walishindwa kupiga dili
 
Mimi maswali yangu ni haya;~

Utawala wa Magufuli unaonekana ulikuwa wa kipigaji sana, je aliwezaje

1. Kununua ndege 11 mpya tena bila mkopo?

2. Kujenga madaraja yote haya?

3. Kujenga Fly over hizi?

4. Kujenga meli kubwa mpya zile na kukarabati meli za zamani?

5. Kuhamishia serikali Dodoma na kuanza ujenzi wa Ikulu kubwa namna ile?

6. Kujenga viwanja vya ndege na kukarabati vya zamani kwa ujumla wake 13?

7. Kujenga Vituo vya Afya takriban 500 na Zahanati 1800?

8. Kujenga Hospitali za Wilaya, za rufaa na za kanda kwa kiwango kile?

9. Kusambaza umeme katika vijiji 7,000?

10. Kujenga masoko ya kimataifa ? Ukianzia Dar es salaam yako masoko kadhaa ya kimataifa, Kisutu, Magomeni, Mwananyamala, Iringa mjini, Dodoma pale soko la Ndungai.

11. Kujenga Mahakama za kisasa karibu kila mkoa?

12. Kujenga barabara za lami kila mahali mijini? Tena barabara za kiwango cha kimataifa na taa za barabarani?

13. Kujenga SGR_ Standard Gauge Railway tena yakutumia umeme?

14. Kujenga Bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere?

15. Kujenga maabara za shule za kata na kuzikarabati shule zote za Sekondari Kongwe?

16. Elimu bure nchi nzima kuanzia shule za msingi mpaka kidato cha nne?

17. Ununuzi na ufungaji wa Rada kuilinda anga ya Tanzania?

18. Kufufua Reli ya Dar es Salaam, Tanga Moshi Arusha iliyosimama kwa miaka 30?

Najiuliza aliwezaje kufanya yote haya kwa muda wa Miaka Mitano na Miezi Mitano tu? Aliwezaje kuimudu Corona na hatukupigwa Lockdown? Kwa muda wote wa uongozi wake.

Haya ndio maswali nahitaji majibu.

Mkuu wangu Zito pia mwanauchumi naomba jitokeze kuokoa hili jahazi.
Mkuu Mh. CPA Kichere ile ripoti kaipika kwa viungo toka Zanzibar. Yaani ukaguzi wake yeye kaangalia vitu ambavyo vinafanya vionekane ni vibaya tu. Hata ile ripoti baada ya Dkt Magufuli ilikuwa ya kupikwa maana alifumua na kuanza kupika vitu.
 
Mimi namsubiri CAG ashushe nondo hapa.
Una ufahamu na kitu kinachojulikana Kama WHITE ELEPHANT? Ni miradi mikubwa inayobatizwa jina la miradi ya kimkamkati ambayo pesa nyingi hutumbukizwa humo na kuliwa na wajanja! Miradi yote uliyoitaja ni sampuli za white elephant ma ina vinasaba vyote vya white elephant!
So, wanasiasa na viongozi wote wanatia mikono Yao na kuchota fedha zilizoelekezwa humo na kuzitumia na familia zao! Usimlaumu CAG Bali wanasiasa waliobuni miradi hiyo Kwa lengo la kuiba fedha za umma!
 
Mimi maswali yangu ni haya;~

Utawala wa Magufuli unaonekana ulikuwa wa kipigaji sana, je aliwezaje

1. Kununua ndege 11 mpya tena bila mkopo?

2. Kujenga madaraja yote haya?

3. Kujenga Fly over hizi?

4. Kujenga meli kubwa mpya zile na kukarabati meli za zamani?

5. Kuhamishia serikali Dodoma na kuanza ujenzi wa Ikulu kubwa namna ile?

6. Kujenga viwanja vya ndege na kukarabati vya zamani kwa ujumla wake 13?

7. Kujenga Vituo vya Afya takriban 500 na Zahanati 1800?

8. Kujenga Hospitali za Wilaya, za rufaa na za kanda kwa kiwango kile?

9. Kusambaza umeme katika vijiji 7,000?

10. Kujenga masoko ya kimataifa ? Ukianzia Dar es salaam yako masoko kadhaa ya kimataifa, Kisutu, Magomeni, Mwananyamala, Iringa mjini, Dodoma pale soko la Ndungai.

11. Kujenga Mahakama za kisasa karibu kila mkoa?

12. Kujenga barabara za lami kila mahali mijini? Tena barabara za kiwango cha kimataifa na taa za barabarani?

13. Kujenga SGR_ Standard Gauge Railway tena yakutumia umeme?

14. Kujenga Bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere?

15. Kujenga maabara za shule za kata na kuzikarabati shule zote za Sekondari Kongwe?

16. Elimu bure nchi nzima kuanzia shule za msingi mpaka kidato cha nne?

17. Ununuzi na ufungaji wa Rada kuilinda anga ya Tanzania?

18. Kufufua Reli ya Dar es Salaam, Tanga Moshi Arusha iliyosimama kwa miaka 30?

Najiuliza aliwezaje kufanya yote haya kwa muda wa Miaka Mitano na Miezi Mitano tu? Aliwezaje kuimudu Corona na hatukupigwa Lockdown? Kwa muda wote wa uongozi wake.

Haya ndio maswali nahitaji majibu.

Mkuu wangu Zito pia mwanauchumi naomba jitokeze kuokoa hili jahazi.
Wewe ni mpumbavu,huto tumiradi ambayo hata hatukumalizika ndio tunafanya mtu asiwe fisadi?

Kwanza humo humo kwenye miradi ndio walikuwa wanapiga.
 
Tunategemea wasio wapigaji watushushie data hapa siyo kufuga vitambi tu Kama mimba ya kicheche
Sahihi mkuu ajabu sasa hawa wanajiita waadilifu watu wa haki wamekuwa busy kuchafua taswira ya mazuri ya marehemu na kuacha kushughulika na maendeleo ya wananchi. Barabara chini Serikali za Mitaa hazijengwi tena. Miradi ya Kimkakati inasuasua sana.
Bwana mdogo makamba akaja na uzushi kuwa hali mitambo ya umeme ni mbaya kwa sababu haikuwa ikifanyiwa matengenezo ya kawaida kuhofia kuchukuliwa hatua kwa kukata umeme. Ukatangazwa mgawo wa majuma mawili ni zaidi ya mwezi miwili upatikanaji wa umeme si wa uhakika.
Mimi nilitarajia kumwaibisha JPM wangefanya mazuri zaidi yake katika yale yanayogusa wananchi kwa ujumla.
Mnasema JPM hakupandisha mishahara sisi tunaona bora kutopandisha mishahara kuliko kupandisha mshahara na kushindwa kudhibiti mfumuko wa bei. Kuna faida gani kunipandishia mshahara wakati gharama za maisha zimeachwa kuwa juu maradufu. Mfano mafuta ya alizeti tuliyokuwa tunanunua tsh 25000k lita 5 leo tunanunua kwa Tsh 45k.??
 
Back
Top Bottom