Habarini wanajanvi,
Moja kwa moja kwenye mada, Naomba mawazo yenu lakini yawe ya kujenga.
Mimi ni mfanyakazi wa kuajiliwa kwa miaka mingi na natarajia kustaafu Mwenyezi Mungu akipenda miaka 5 ijayo, nina mke na watoto sita kati yao wanne wamemaliza chuo kikuu,
Kwa miaka yote ya kufanya kazi...