sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,014
Habari yeni wanajamii forums, kuna ubishi hapa wa nani ana nguvu na mamlaka makubwa kati ya polisi na mjeda (mwanajeshi)
kwa maoni yangu naona polisi ndio wana nguvu kubwa zaidi, najua wana uwezo huu (kama nimekosea mnisahishe)
-wao ni law enforcers
-wana kibali cha kumuweka chini ya ulinzi mtu anaevunja sheria
-kupeleleza mawasiliano katika mitandao ya simu
-polisi hata akivunja sheria atakamatwa na wenzake wanaojuana
-polisi ana mamlaka ya kumkata hata mwanajeshi
-polisi wenye vyeo vikubwa wana msafara, n.k.
-kwa polisi wanaojinifaisha kinyume na hii nguvu yao huwa wanapiga hela si mchezo, kuanzia rushwa za matrafki, rushwa za kufuta kesi, n.k
kwa maoni yangu naona polisi ndio wana nguvu kubwa zaidi, najua wana uwezo huu (kama nimekosea mnisahishe)
-wao ni law enforcers
-wana kibali cha kumuweka chini ya ulinzi mtu anaevunja sheria
-kupeleleza mawasiliano katika mitandao ya simu
-polisi hata akivunja sheria atakamatwa na wenzake wanaojuana
-polisi ana mamlaka ya kumkata hata mwanajeshi
-polisi wenye vyeo vikubwa wana msafara, n.k.
-kwa polisi wanaojinifaisha kinyume na hii nguvu yao huwa wanapiga hela si mchezo, kuanzia rushwa za matrafki, rushwa za kufuta kesi, n.k