Naomba mnisaidie huu mjadala, hivi mwanajeshi anaweza kupata mamlaka, nguvu na heshima kama anayopewa polisi ?

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,014
Habari yeni wanajamii forums, kuna ubishi hapa wa nani ana nguvu na mamlaka makubwa kati ya polisi na mjeda (mwanajeshi)

kwa maoni yangu naona polisi ndio wana nguvu kubwa zaidi, najua wana uwezo huu (kama nimekosea mnisahishe)

-wao ni law enforcers
-wana kibali cha kumuweka chini ya ulinzi mtu anaevunja sheria
-kupeleleza mawasiliano katika mitandao ya simu
-polisi hata akivunja sheria atakamatwa na wenzake wanaojuana
-polisi ana mamlaka ya kumkata hata mwanajeshi
-polisi wenye vyeo vikubwa wana msafara, n.k.

-kwa polisi wanaojinifaisha kinyume na hii nguvu yao huwa wanapiga hela si mchezo, kuanzia rushwa za matrafki, rushwa za kufuta kesi, n.k
 
Ahaa! Kumbe...Kwa hiyo Akizingua Tunazinguana au?
Wewe ni polisi? Tusije kukataana huko mbela
 
mwana jeshi akizingua uraiani anashikishwa adabu na polisi kihalali kabisa kwa sababu polisi ana hayo mamlaka.

Mwanajeshi hana mamlaka mtaani bali ni polisi.

polisi wenye vyeo vikubwa huwa ana msafara wenye kingora
Hakuna mwenye freeness ya kuzingua huko mtaani NO ONE IS ABOVE THE LAW.hata polisi akizingua raia au police wenyewe wana mamlaka ya kumdaka au kumkamata hata huyo mwanajeshi akizingua anaweza kamatwa na raia na police pia.KWANZA NENO KUZINGUA sijui limesimama badala ya kitenzi kipi?
 
Hakuna mwenye freeness ya kuzingua huko mtaani NO ONE IS ABOVE THE LAW.hata polisi akizingua raia au police wenyewe wana mamlaka ya kumdaka au kumkamata hata huyo mwanajeshi akizingua anaweza kamatwa na raia na police pia.KWANZA NENO KUZINGUA sijui limesimama badala ya kitenzi kipi?
ndio hapo sasa, tunarudi pale pale kwamba polisi na nguvu zaid, polisi akidakwa ana wenzake tayari kituoni ambao ni kama familia
 
Habari yeni wanajamii forums, kuna ubishi hapa wa nani ana nguvu na mamlaka makubwa kati ya polisi na mjeda (mwanajeshi)

kwa maoni yangu naona polisi ndio wana nguvu kubwa zaidi,

-wao ni law enforcers
-wana kibali cha kumuweka chini ya ulinzi mtu anaevunja sheria
-kupeleleza mawasiliano katika mitandao ya simu
-polisi hata akivunja sheria atakamatwa na wenzake wanaojuana
-polisi ana mamlaka ya kumkata hata mwanajeshi
-polisi wenye vyeo vikubwa wana msafara, n.k.

-kwa polisi wanaojinifaisha kinyume na hii nguvu yao huwa wanapiga hela si mchezo, kuanzia rushwa za matrafki, rushwa za kufuta kesi, n.k
Hayo mabishano ni kwa maalumu kwa watoto ambao hawajui hata athari za kupanda kwa bei ya mafuta ya Petrol kwenye maisha yenu ya kila siku hapo Tanzania.

Kwa mtu mzima kaunza kubishana kati ya polisi na mjeshi nani ana nguvu zaidi ni kujivunjia heshima.

#Levels baby
 
Kazi ya Police Ni ulinzi wa raia na haki zao (mali zao) Kazi ya Jeshi Ni kulinda mipaka ya nchi hii dhidi ya external attacks,
-bottom line kozi ya Jeshi Ni ngumu Sana kuliko ya Polisi,
- kozi ya kiafisa ya Jeshi Ni ngumu maradufu ya kozi ya kiafisa ya Police
 
ndio hapo sasa, tunarudi pale pale kwamba polisi na nguvu zaid, polisi akidakwa ana wenzake tayari kituoni ambao ni kama familia
Hapo ni hivi kila mtu ana jukumu lake Huyu RAIA NA MALI ZAKE YULE KULINDA AMANI NA MIPAKA YA MCHI NA VITA kwa hiyo kuna mkanganyiko mkubwa kwa sababu ukija upande mwingine JWTZ NI JESHI SENIOR KULIKO POLISI tena ukifungua vitabu unakuta TZ POLISI ILIANZA ZAMANI KULIKO JWTZ yaani hata haviendani
 
Kazi ya Police Ni ulinzi wa raia na haki zao (mali zao) Kazi ya Jeshi Ni kulinda mipaka ya nchi hii dhidi ya external attacks,
-bottom line kozi ya Jeshi Ni ngumu Sana kuliko ya Polisi,
- kozi ya kiafisa ya Jeshi Ni ngumu maradufu ya kozi ya kiafisa ya Police
kozi kuwa ngumu haimaanishi kazi yake itakupa nguvu na mamlaka makubwa
 
Habari yeni wanajamii forums, kuna ubishi hapa wa nani ana nguvu na mamlaka makubwa kati ya polisi na mjeda (mwanajeshi)

kwa maoni yangu naona polisi ndio wana nguvu kubwa zaidi, najua wana uwezo huu (kama nimekosea mnisahishe)

-wao ni law enforcers
-wana kibali cha kumuweka chini ya ulinzi mtu anaevunja sheria
-kupeleleza mawasiliano katika mitandao ya simu
-polisi hata akivunja sheria atakamatwa na wenzake wanaojuana
-polisi ana mamlaka ya kumkata hata mwanajeshi
-polisi wenye vyeo vikubwa wana msafara, n.k.

-kwa polisi wanaojinifaisha kinyume na hii nguvu yao huwa wanapiga hela si mchezo, kuanzia rushwa za matrafki, rushwa za kufuta kesi, n.k
Kila kundi licheza party yako na hayaingiliani
 
Polisi Hana ubavu wa kumkamata mwanajeshi
Mwanajeshi anaweza kuwekwa kizuizini na mwanajeshi mwenzie military Police (MP)


Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Kama sikosei ktk kumbukumbu zangu ilikuwa kati ya 2001-2003 kuna kesi iliendeshwa mahakama bukoba ya mauaji, mjeda alimuua trafic mchana kweupe barabaran ila hiyo kesi hadi inatolewa hukmu mjeshi hakuwai kukamatwa wala kufika mahaman. Kesi hiyo ilikuwa ikirushwa sana na redio free kama mnakumbuka
 
Hii inatosha kabisa kujua aina ya watu unaoshinda nao katika maisha yako ya kila siku.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom