Msanii Mkubwa Bongo Fleva atabiriwa kifo na Wachungaji kutoka Kenya na Zimbambwe
Sasa shughuli inabaki kwetu kama sio Ally bhasi ni Nasibu, maana ndiyo sifa walizotajwa nazo.
Nawatakiwa Asubuhi Njema
Hizi hapa njia za kuwa mtumishi wa mungu na kuukwaa utajiri
1. Jifunze kusema uwongo
2. Jifunze jinsi ya kuchezea akili za watu
3. Jifunze kuvaa suti au gauni jeupe
4. Craim biblia yote juu ya kichwa chako.
6. Tafta kamganga gwiji kakusaidie kufanya mazingaombwe kidogo.
7. Pata...
Lipa kwa Simu kwa mujibu wa Watu wa Makampuni ya Simu na kwa Maagizo ya Serikali ni Maalum tu kwa Wafanyabiashara na siyo Watu Wengine.
Hivyo basi GENTAMYCINE nauliza hii LIPA KWA SIMU ya Tigo Pesa namba 5135393 yenye Jina la Boniface Mwamposa amepewa kama Mtumishi wa Mungu au Mtumishi wa Mungu...
Wanabodi,
Manabii wa Uongo na Tutawatambuaje?
Kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo, tunayemwamini Bwana wetu Yesu Kristo, kabla hajapaa mbinguni, alituhusia kuwa "kutajitokeza manabii wa uongo, ambao watahubiri neno na kutoa mapepo kwa jina langu lakini sii wangu". Wanafunzi wake wakamuuliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.