KatetiMQ
Senior Member
- Sep 25, 2022
- 180
- 311
Hizi hapa njia za kuwa mtumishi wa mungu na kuukwaa utajiri
1. Jifunze kusema uwongo
2. Jifunze jinsi ya kuchezea akili za watu
3. Jifunze kuvaa suti au gauni jeupe
4. Craim biblia yote juu ya kichwa chako.
6. Tafta kamganga gwiji kakusaidie kufanya mazingaombwe kidogo.
7. Pata ukumbi mzuri usiweke fan wala AC (joto ufanya akili ya mtu isifanye kazi vyema)
8. Jifunze jinsi ya kuwapa maskini matumaini bandia
9. Pata sanduku kubwa la sadaka (muhimu sana)
10. Kuandaa mkesha wa usiku kila siku ili kuwachanganya(ukosefu wa usingizi ufanya mtu ashindwe kutumia akili)
11. Jifunze jinsi ya kuzungumza katika lugha zisizojulikana.
12. Jifunze ni nani wa kumfanya uponyaji na muujiza, (kuwa na watu maalumu)
BAADA YA HAPO ENJOY LIFE NA SAFARI MPYA YA MAFANIKIO YAKO ITAANZIA HAPO.
1. Jifunze kusema uwongo
2. Jifunze jinsi ya kuchezea akili za watu
3. Jifunze kuvaa suti au gauni jeupe
4. Craim biblia yote juu ya kichwa chako.
6. Tafta kamganga gwiji kakusaidie kufanya mazingaombwe kidogo.
7. Pata ukumbi mzuri usiweke fan wala AC (joto ufanya akili ya mtu isifanye kazi vyema)
8. Jifunze jinsi ya kuwapa maskini matumaini bandia
9. Pata sanduku kubwa la sadaka (muhimu sana)
10. Kuandaa mkesha wa usiku kila siku ili kuwachanganya(ukosefu wa usingizi ufanya mtu ashindwe kutumia akili)
11. Jifunze jinsi ya kuzungumza katika lugha zisizojulikana.
12. Jifunze ni nani wa kumfanya uponyaji na muujiza, (kuwa na watu maalumu)
BAADA YA HAPO ENJOY LIFE NA SAFARI MPYA YA MAFANIKIO YAKO ITAANZIA HAPO.