msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Doto12

    JamiiForums Tanzania Msaada kuondoa ujumbe huu kwenye mtandao nikiingia kwa kompyuta yangu

    Jamani Nikiingia aidha kwenye mtandao hasa email, app, system yoyote inahitaji password yangu napata ujumbe huu Your token has expired Awali nilifanya yafuatayo kuondoa 1. Nikiingia kwenye dot tatu kulia mwa address ya web nikaenda setting ku delete catches, cookies nk 2. Nili reflesh site...
  2. Kisesetusese

    JamiiForums Tanzania Msaada wenu tafadhali kama una stress don't comment. Nahitaji ushauri

    Habarini wakubwa ninawasalimia. Mimi Nina mke na watoto 03. Huyu kwa kwanza ni mkubwa ana miaka 23 ameumuka kama kama mamaake anaumbile kubwa na amefanana na mamaake, ni mnene na anakila kitu alichomacho mamamaake. Umetomea ugonvi baina yangu na mamaake. Kwa kimaumbile mamamaake ana maungo...
  3. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania Msaada, anataka kwenda chuo Diploma Zenji, bahati mbaya alipoteza vyeti vyake

    Kuna huyo mshikaji, amemaliza form four 2013, sasa alikua anataka kwenda chuo sasa diploma hapa zenji, Kwa bahati mbaya alipoteza vyeti vyake, na mwaka huu anataka anze mwaka wa kwanza diploma in clinical medicine. Kuna watu wanadai atumie index no yake ya form four, ambayo anayo, Kuna wengine...
  4. Labani og

    JamiiForums Tanzania Je Dudu baya amewahi toa msaada Gani/ kumchangia mtu

    Daaah naona mwamba hayuko sawa baada ya kwenda kutibiwa India anamchukia Kila mtu .....Kwa sababu hakuchangiwa ......na saizi anaona Kila mtu aliye mbele yake ni adui 😂😂😂 Je yeye amewahi toa msaada Gani Nb Dudu baya, yu bela wochi yua back😂😂
  5. SweetyCandy

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada nipo serious

    Wadau wa jf naare?? Sasa mimi napenda sana pangani , ila nasikia pangani uwizard umezidi sana,.. Lengo langu la hii post nilikuwa naombeni jamani mtu serious sana tukiacha watani wa humu,,nilikuwa namtafuta mtu mwenyeweji wa kule anipe ushirikiano mzuri wa kuifahamu pangani na sehemu zake...
  6. Romanus js

    JamiiForums Tanzania Wakuu naombeni msaada wenu katika hili

    Nimekuwa nikifanya utafiti wa kina na maandalizi ya bidhaa moja ya kibunifu (innovative product) kwenye sekta ya vinywaji hapa nchini. Bidhaa hii inaleta suluhisho la kipekee sokoni na tayari nimeshaanza hatua za msingi za kisheria na usajili na mamlaka husika (TBS/TRA) ili kuhakikisha kila kitu...
  7. O

    JamiiForums Tanzania Msaada juu ya AVN number

    Naitwa Mr Avn number solutions kwa Tatizo lolote La Avn number unalokutana nalo kama vile kusahau password wakati WA maombi karibu the Mt online stationary Tukuhudumie 0622569980 ✅ Tunafanya maombi ya Avn number ✅ Application za Vyuo ✅ Application za leseni kwa Kozi ya Clinical medicine ✅...
  8. A

    JamiiForums Tanzania KERO Tumelipia viwanja Vikonje 'BM' – Dodoma, kampuni iliyotuuzia imeingia mitini, tunaomba msaada Serikalini hatusaidiwi

    Kero yangu ni kuna kampuni inauza viwanja inaitwa Landmatrix Ltd walikuja ofisini kwetu na kutueleza kuwa wanauza viwanja vilivyopimwa maeneo mbalimbali mnamo mwaka 2024 kwa wakati huo walikuwa na mradi eneo la Vikonje 'BM', Dodoma. Malipo yalikuwa ni kwa awamu ndani ya miezi 24 na makubaliano...
  9. idiomer

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini mtu akitoa msaada lazima apige picha na mpokeaji?

    Au mtaji ni wasiojiwezaa
  10. Gabb_y

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa kufika bungeni

    Habari wana JamiiForums. Nina ombi la dhati. Mimi ni kijana wa miaka 21 kutoka Tanzania, na moja ya ndoto zangu kubwa ni kupata nafasi ya kutembelea Bunge la Tanzania na kushuhudia kikao cha bunge nikiwa kwenye jukwaa la wageni. Nimekuwa nikifuatilia mijadala ya bunge kwa muda mrefu, na nina...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Msaada kwenye mfumo wa idras

    Habari zenu nahitaji msaada ni wapi nitapata mafunzo ya IDRAS Iwe ni sehemu, taasisi, au ofisi itakayonisaidia jinsi ya kujifunza mfumo Kwa vitendo Natanguliza shukrani na pia napokea ushauri wowote unaolenga kunisaidia
  12. suley hazard

    JamiiForums Tanzania Msaada: Rav4 kilitime kuzima ghafla

    Habari wana jukwaa, Naomba msaada wenu kwa wenye uzoefu na Rav4 kilitime (rav4 2nd generation), engine ya gari imekua ikizima ghafla especially wakati wa kupark, wakati ninapunguza mwendo kuhama njia au nikiwa na shift gear kutoka D kwenda R au N. Nimejaribu kusafisha sensor zote muhimu kama...
  13. SACO

    JamiiForums Tanzania Msaada wa ufadhili wa masomo kwa huyu binti

    Amehitimu form four mwaka jana kwa msaada wa mfadhili ambae kwa bahati mbaya alifariki akiwa katikati ya masomo, hivyo kafanikiwa kumaliza kidato cha nne kwa kuungaunga tu lakini alifanikiwa kupata division one na kachaguliwa kwenda kusoma kidato cha tano Arusha. Ana mama yake ambaye hana uwezo...
  14. E

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kozi ya afya ya kusoma kwa ufaulu huu

    Habari ndugu zangu ! Mdogo wetu wa kike amepata ufaulu huu hapa chini na tungependa kupata ushauri kwa next step. GS - S Physics - D Chemistry- C Bio - C Bam - C Anapenda mambo ya afya sana, sasa je ufaulu utamruhusu ? Chuo gani bora kwa kozi hizo hapa Tanzania ? Gharama / mkopo nini kifanyike...
  15. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Dilemma yangu kubwa ni hii: Je ngono ita unlock matatizo zaidi?, msaada!.

    Ndugu zangu wanajf, Hili ni jambo linaloumiza akili yangu sana. Sipo kwenye mahusiano yoyote rasmi ila kuhusu uzinzi kila nikitaka kuita dem gheto najikuta nina dilemma hii kubwa. Je ngono itaongeza nini kwangu, swali hili hunifanya niishie kujichukulia sheria mkononi baada ya kutathamini...
  16. buffalo44

    JamiiForums Tanzania Msaada wa Kusajili Local Content Tume ya Madini Kupitia LCCSR-MIS

    Wakuu wasalaamu. Naomba anayeweza au anayejua anisaidie kwenye kusajili local content Nimejaza taarifa zangu za Register kwa mfumo, ila sijapata hata email ya kuconfirm au kutengeneza log in credentials. Toka maombi yangu yapokelewe zimepita siku 3. Ningeomba anayeweza kusaidia kujua namna...
  17. S

    JamiiForums Tanzania Ni ujinga kwa Watanzania kushangilia msaada wa afya wa USA wa USD 1.3b bila kujua masharti yake yote; Zambia, Ghana, na Zimbabwe wayamekataa!

    Hivi karibuni, kumekuwa na ushabiki wa kipumbavu sana, hasa kutoka kwa wakereketwa wa CCM, pale waliposikia USA wataipatia Tanzania msaada wa huduma za afya wa USD 1.3 ndani ya miaka mitano ijayo. Sasa hawa wenzetu wasio na uwezo wowote wa kufikiri wameshangilia sana kusikia hili, hata wakibeza...
  18. basi sasa

    JamiiForums Tanzania Sipati haja kubwa

    Habarini wakuu Nahitaji msaada wa kiafya siku hizi, naweza imaliza siku bila kuingia mwakani kwa maana ya haja kubwa. Je, hilo ni tatizo au ni kawaida
  19. Its Jensen

    JamiiForums Tanzania Forex imenifilisi, nauza monitor yangu 🙏 naombeni msaada wenu

    ...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Msaada tutani kariakoo sehemu gani ni bigfish wa laptop ?

    Naombeni msaada nataka niwe winga wa laptop ila sijui chimbo naombeni mnielekeze wapi?...kwa kariakoo
Back
Top Bottom