Msaada wenu tafadhali kama una stress don't comment. Nahitaji ushauri

Msaada wenu tafadhali kama una stress don't comment. Nahitaji ushauri

Kisesetusese

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
536
Reaction score
877
Habarini wakubwa ninawasalimia.

Mimi Nina mke na watoto 03. Huyu kwa kwanza ni mkubwa ana miaka 23 ameumuka kama kama mamaake anaumbile kubwa na amefanana na mamaake, ni mnene na anakila kitu alichomacho mamamaake.

Umetomea ugonvi baina yangu na mamaake. Kwa kimaumbile mamamaake ana maungo makubwa Sasa mtoto amerithi kila kitu.

Mke wangu anahisi natoka na mtoto wangu. Sio kweli. Msaada jamani
 
Habarini wakubwa ninawasalimia.

Mimi Nina mke na watoto 03. Huyu kwa kwanza ni mkubwa ana miaka 23 ameumuka kama kama mamaake anaumbile kubwa na amefanana na mamaake, ni mnene na anakila kitu alichomacho mamamaake.

Umetomea ugonvi baina yangu na mamaake. Kwa kimaumbile mamamaake ana maungo makubwa Sasa mtoto amerithi kila kitu.

Mke wangu anahisi natoka na mtoto wangu. Umekuwa ugomvi mkubwa na kwa sababu mtoto anashida ya kiafya ya akili akiulizwa anadai anakutana naye kimeapenziz anasema baba. Japo sio kweli. Nili.pata hisia kuna muda alikuja chumbani kwetu akakuta tunasex na mama ake. So akiulizwa unafanya na nani anasema baba. Msaada jamani
Baba dish limeyumba au limeyumbishwa?
 
Habarini wakubwa ninawasalimia.

Mimi Nina mke na watoto 03. Huyu kwa kwanza ni mkubwa ana miaka 23 ameumuka kama kama mamaake anaumbile kubwa na amefanana na mamaake, ni mnene na anakila kitu alichomacho mamamaake.

Umetomea ugonvi baina yangu na mamaake. Kwa kimaumbile mamamaake ana maungo makubwa Sasa mtoto amerithi kila kitu.

Mke wangu anahisi natoka na mtoto wangu. Umekuwa ugomvi mkubwa na kwa sababu mtoto anashida ya kiafya ya akili akiulizwa anadai anakutana naye kimeapenziz anasema baba. Japo sio kweli. Nili.pata hisia kuna muda alikuja chumbani kwetu akakuta tunasex na mama ake. So akiulizwa unafanya na nani anasema baba. Msaada jamani
pole sana,
 
Back
Top Bottom