Umejuaje sijui dawa mpaka ukamiambia niache?Acha kujibu mkuu kama hujui dawa
Siku.moka siyo shida! Nilidhani labda wiki...a single day or 2 is normalHabarini wakuu
Nahitaji msaada wa kiafya siku hizi, naweza imaliza siku bila kuingia mwakani kwa maana ya haja kubwa. Je, hilo ni tatizo au ni kawaida