Nina shida na kanuni za uumishi wa wartumishi wa serikali. (STANDING ORDERS FOR THEPUBLIC SERVICE, ). Ya mwisho ilikuwa ya 2009. Kama kuna latest anisaidie
Ndugu zangu naomba tumsaidie huyu mama anayezungushwa na NMB kupewa hati yake aliyoitumia kama dhamana ya mkopo miaka 5 iliyopita.
Naomba msaada wa kisheria kama kuna wakili humu ambaye yuko Sengerema, Mwanza anaweza kusimamia hili suala.
NB: MKOPO UMESHALIPWA MIAKA 5 ILIYOPITA
Pia soma...
Nahitaji kufungua website kwa ajili ya biashara.
Nimepitia baadhi ya nyuzi tofauti tofauti kuhusiana na maswala ya website na aina zake nimepata mwanga angalau kidogo.
Ila bado nina maswali kwa wataalamu, naombeni mnisaidie
a] Nitajuaje kama website niliyotengenezewa na web designer kama ni...
Habari wakubwa? Nina swali kwenye kunufaika na mafao.
Mchangiaji anapofariki mwenza wake anaendelea kupokea mafao kila mwisho wa mwezi?
Anapofariki na mwenza utaratibu wa yale mafao unakuaje ama ndio unakoma?
Watu wa dini, wasioamini Mungu, freemasons kupitia charity zao, wote wanaunganishwa katika jambo moja la kutoa msaada kwa watu wenye shida.
Kutoa kwa kusukumwa na huruma kwa mwanadamu mwenzako ni ibada kamili iliyokamilika. Hii kazi ilipaswa kufanywa na Mungu mwenyewe aliyemuumba huyo mtu, wewe...
Kati ya hizi simu ipi itafaa
Nokia G20_128gb 6 ram
Vivo v20_ 128 GB 6 ram
Redmi pocco X3 _128GB 6 ram
Redmi note 12 5g_ 128gb 6 ram
N.B zote nimeangalia features zake zaidi ipi iko vizuri wataalamu.
Chief-Mkwawa
Kampeni za kuchangishana zimekua nyingi sana, wakiwa wazima mpaka wanajirekodi wakilawitiana, sasahivi ni kutia huruma tuu, watu maarufu wanapenda sana kuchangiwa na walala hoi
Salaam kwenu wabongo wenzangu,
Bila kupoteza muda naomba Kusaidiwa ushauri kama ifuatavyo;
Ninataka cheti cha kuzaliwa cha binti yangu wa nje mwenye miaka 13.
Nilipewa procedures kwamba niombe mtandaoni.
Kwa kuwa nilikuwa bize ilibidi hilo jukumu niwape vijana ktk steshenari fulani...
Dakika kumi zilizopita nilikuwa nimekaa chini ya mti nakula upepo, mara ghafla kamjusi kadogo kakaanguka kutoka mtini na kutua shingoni. Kamening'ata na sasaivi shingo imeanza kuwasha na kuvimba.
Naogopa kufa, bado sijapublish theory yangu ya Everything...naombeni msaada Jf doctor:Floshed:
Wadau naomba mwenye kunisaidia kunipa connection. niweze kwenda Uswiz (Switzerland). Lengo ni kupata mtu atakaye nipokea ili niweze kupata kazi huko iwe unskilled job au semi skilled job. Pia Ni namna gani mchakato wa kwenda huko unafanyika hapa bongo na gharama za nauli zikoje hadi huko...
Habari wakuu nimeitwa kwenye usaili wa kuandika secretariat ya ajira wa kada mkufunzi maendeleo ya jamii, kwa yeyote mwenye kujua ABCD kuhusu kada hii na ukufunzi kwa ujumla unaweza kishare experience, mawazo na ushauri, natanguliza shukran zangu
Wataalamu wa sheria jamaa yangu amedharilishwa Kwa kutukanwa na kuambiwa kuwa ameua mtu Ambae alikufa mwaka Jana Kwa ajali ya kugongwa na gari.
Je, anatakiwa afanye nini ili ashtaki ili aliyemchafua achukuliwe hatua? Aende Polisi au mahalamani?
Kuna yeyote hapa ambaye amekutana na tofauti kati ya taarifa zilizopo kwenye cheti cha kuzaliwa na zile za kwenye NIDA? Hasa sehemu ya kuzaliwa zinatofautiana? Ninauliza kwa sababu nataka kufuatilia upatikanaji wa pasipoti na nina wasiwasi juu ya taarifa sahihi zinazohitajika na uhamiaji."
Katika mambo ambayo yamekuwa yakieleweka vibaya, kukanganya na pia kuzua dhihaka kutoka kwa watu wasioipenda Israel ni pamoja na hili la kupewa misaada wa jeshi/ silaha na Marekani pamoja na kuwa ni nchi tajiri iliyoendelea.
Ni vizuri tujifunze na kuelewa mambo bila ushabiki, kuna sababu kadhaa...
- Ni Kampuni ya Xin Tai Mining Company Limited
- Awataka wafanye utafiti na kuongeza thamani kama walivyoainisha kwenye mkataba
- Serikali kutoa utaratibu mpya juu ya msaada wa kiufundi(technical support)
Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde ameitaka Kampuni ya Xin Tai Mining Company...
Hello mambers,
Naomba sana msaada wenu, niliomba kazi kwenye shirika moja la wa Norway, juzi nikatumiwa email kuwa nimekuwa shortlisted hivyo nitafanya interview via zoom.
Naomba kuuliza maana nilipewa link lakini nki-click ata hai-load. Na je unaweza kufanya zoom Kwa kutumia simu na sio...
KICHWA Cha habari kinajieleza wakuu yaani naeweza kufungu app ya JAMII forum Lakini MB zinatembea vibaya mno katika GB 4 zinakauka fasta.
Wakuu inaweza kuwa shida Nini na nifanye Nini Kama Kuna setting nimejichanganya nisaifieni wakuu.
Nawsasilisa swali
Habari wana JF. Kuna bidhaa nataka ninunue AMAZON ila bado sijaelewa kwa uzuri kuhusu import fees. Kama kuna mdau alishawai kuagiza bidhaa kutoka Amazoni naomba ufafanuzi zaidi.
Mashine yangu aina ya CANON IR 2204 inatoa copy za namna hyo.
Nimejaribu kubadili drum, roller na hata blade lakini hali bado ndo hyo mnaiona hapo chini.
Nifanye nini wadau? Nakufa njaa mwenzenu.
Msaada tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.