Naomba msaada nipo serious

Naomba msaada nipo serious

SweetyCandy

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2022
Posts
5,142
Reaction score
9,697
Wadau wa jf naare??
Sasa mimi napenda sana pangani , ila nasikia pangani uwizard umezidi sana,..

Lengo langu la hii post nilikuwa naombeni jamani mtu serious sana tukiacha watani wa humu,,nilikuwa namtafuta mtu mwenyeweji wa kule anipe ushirikiano mzuri wa kuifahamu pangani na sehemu zake.
Siendi kuloga hapana nimeokoka kitamboo.

Asanteni
 
Kwa nto...
Unataka kwenda pangani kutembea au kuwekeza?
Ni ili tujue tunakuunganisha na guide wakukutembeza au mwenyeji wa kukusomea dili la uwekezaji
 
Pangani safi wana beach nzuri sana,kikubwa heshimu kila mtu acha majivuno na waumeza watu.
 
Kwa nto...
Unataka kwenda pangani kutembea au kuwekeza?
Ni ili tujue tunakuunganisha na guide wakukutembeza au mwenyeji wa kukusomea dili la uwekezaji
Wekeza mwaya achana nao hawa eti uchawi kama nataka sintasema tu
 
Jamani msaada JamiiForums naombeni mtu mzuri ambaye ni mwenyeji mwaminifu ambaye anajua maeneo fresh anisome ramani za kule sitaji kwenda kuloga nahitaji tu kwenda kuishi huko
 
Acha masihara tuje kwenye uhasilia hatujuani tunataniaga tu siku ziende nilikuwa napenda sana kampani yako sana why inanisaidia kusonga mbele hata ukiwa na mawazo mengi .
Juzi kati sasa nilipatwa na shida kaka yangu alipata shida . Just imagine ungekuwa mpenzi kweli.

Ulikaa kimya yaani wote humu hawakuwa na msaada hadi nawewe hii ili niuma sana .
Ndioo maana sioni hata umuhimu wakutaniania nawe .

Unaringaga sijui unanini speshoo
 
Back
Top Bottom