sindesunde
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 358
- 346
Wajuzi nisiwachoshe nina tatizo limejitokeza toka mwezi wa 12 kwa siku naweza kula chakula ata mara 5-6 na bado ndani ya muda mfupi njaa inarudia! hili tatizo nahisi linataka kuniyumbisha kiuchumi maana maisha yenyewe ya kubaingaza sasa pesa inakatikia katika milo isio na idadi.
Naomba ushauri nifanye nini kuepukana na hii hali na kuna tiba ya kunisaidia
Naomba ushauri nifanye nini kuepukana na hii hali na kuna tiba ya kunisaidia