Msaada: Huu ni ugonjwa gani na tiba yake nini?

Mbuvula

New Member
Jan 2, 2020
3
0
Habari zenu wakuu, poleni na majukumu.

huu ni ugonjwa gani umenipata, ilianza kama siku tatu zilizopita, naona mkono unaniwasha na jana na leo ghafla naona pamekuwa hivi na bado panawasha. Tamuona Doctor lakini kwa sasa nipo eneo ambalo hakuna daktari, angalau paache kuwasha tu na kuondoa hivo viuvimbe kwanza.

Natanguliza shukrani.
dawa1.jpg
dawa2.jpg
 
Ni kama mchafuko wa damu
Habari zenu wakuu, poleni na majukumu.

huu ni ugonjwa gani umenipata, ilianza kama siku tatu zilizopita, naona mkono unaniwasha na jana na leo ghafla naona pamekuwa hivi na bado panawasha. Tamuona Doctor lakini kwa sasa nipo eneo ambalo hakuna daktari, angalau paache kuwasha tu na kuondoa hivo viuvimbe kwanza.

Natanguliza shukrani.View attachment 1381678View attachment 1381679

Jr
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom