Msaada wa maswali ya written interview TRA nafasi ya ya Customs Officer

Msaada wa maswali ya written interview TRA nafasi ya ya Customs Officer

vee15

Senior Member
Joined
Aug 8, 2016
Posts
118
Reaction score
55
Hello wana JF,

Naomba msaada wa ideas za maswali ya written kwa nafasi ya Customs Officer kwa TRA.

Kwa aliewahi kufanya je utumishi wanauliza nini, na je ni current issues gani za kupitia hasa hasa, na kama ni research ni upande upi zaidi wa kupitia?

Asanteni
 
Hello wana JF,

Naomba msaada wa ideas za maswali ya written kwa nafasi ya Customs Officer kwa TRA.

Kwa aliewahi kufanya je utumishi wanauliza nini, na je ni current issues gani za kupitia hasa hasa, na kama ni research ni upande upi zaidi wa kupitia?

Asanteni
Boss wameshaanza kuita watu kwenye interview?
 
Hello wana JF,

Naomba msaada wa ideas za maswali ya written kwa nafasi ya Customs Officer kwa TRA.

Kwa aliewahi kufanya je utumishi wanauliza nini, na je ni current issues gani za kupitia hasa hasa, na kama ni research ni upande upi zaidi wa kupitia?

Asanteni

Shukran !! Hawataweza Kukuuliza by what means customer officer anatakiwa Kufanya bali utauliza what is TRA na kazi Yake kubwa hasa Nn Nchini Na Customer officer kazi Yake Ni ipi?
 
Maswali ni manne tu na muda ni dakika 40.
Research ni swali moja ila haijulikan utaulizwa vipi, kikubwa ni kuwa makini tu na wanachokitaka.
Maswali matatu yanatoka kwenye kada/field yako husika.
Research hua hawatoi kwa watu waliosoma accounts
 
Shukran !! Hawataweza Kukuuliza by what means customer officer anatakiwa Kufanya bali utauliza what is TRA na kazi Yake kubwa hasa Nn Nchini Na Customer officer kazi Yake Ni ipi?
hayo labda kwenye oral,yani written wawapendelee hivyo haiwezekani ,na kama haujui current issues zinazohusiana na mambo ya uchumi imekula kwako
 
Ninasema hivyo Kwasababu Nimeshawahi fanya Written interview
written ya utumishi au? kama hivyo mlipata bahati sana,mimi nimeshafanya intervw nyingi utumish sijawah kukuta maswali marahisi hivi kwenye written,sana sana nachojua ukienda oral swali la kwanza ni introduce yourself,la pili mention duties za kazi ulioomba baada ya hapo ni maswali mengine ya darasani tu
 
Back
Top Bottom