Wapendwa, naomba kusaidiwa.
1. Chuo cha Mafunzo ya Utalii yanakupa ujuzi gani-expertise? Na baada ya kumaliza kazi za mhitimu (in case ameajiriwa) ni zipi? Day to day activities. Mafunzo yanajumuisha acquired skills zipi.
2. Chuo cha Rural Development Planning - DODOMA (Chuo cha Mipango) unapata expertise gani na ya ajira ni idara zipi na kazi za kila siku ni zipi? ie day to day acticities.
1. Chuo cha Mafunzo ya Utalii yanakupa ujuzi gani-expertise? Na baada ya kumaliza kazi za mhitimu (in case ameajiriwa) ni zipi? Day to day activities. Mafunzo yanajumuisha acquired skills zipi.
2. Chuo cha Rural Development Planning - DODOMA (Chuo cha Mipango) unapata expertise gani na ya ajira ni idara zipi na kazi za kila siku ni zipi? ie day to day acticities.