Aliyewahi kufanya mchakato wa talaka msaada

Nahisi nitadondoka muda wowote
Namuwazia tu mwanangu ndo maana napata nguv ya kuamka asubuh
Pole tena mkuu, na kwakuwa maisha yako tayari umetambua kwamba yapo mikononi mwako, basi sidhani kama nivyema kuvumilia hata unapo ona roho inakutoka just because of human being.

Uhai wako una thamani sana kwaajili ya mwanao mwenye uhitaji wako, na hata ndugu zako bado wanakupenda zaidi.

Sina la kukushauri, lakini niwajibu wangu kuku kumbusha kwamba maisha/pumzi yako ina thamani kubwa kuliko mtesi wako. Hapa namaanisha usilazimishe kuvumilia mtu/kitu ambacho unaona kabisa kwamba kinaweza kikakukatisha uhai wako.

Na kumbuka ningumu kukibadilisha kile unachoweza kukivumilia. Uvumilivu hatimaye hukupa ganzi na usugu. Uvumilivu usipite kiasi. Uvumilivu unaopita kiasi ni unyonge.
 
kabla ya kwenda mahakamani lazima mpitie kwenye mabaraza ya usuluhishi yanayopatikana makanisani, misikitini, au ustawi wa jamii.

Huko mtapewa cheti konesha kuwa usuluhishi umeshindikana.

Mtaenda mahakamani kuvunja ndoa, kugawana mali na malezi ya mtoto/watoto.

Sababu za kuvunja ndoa.

1. Ukatili.
2. Zinaa.
3. Kushindwa kutoa tendo la ndoa.
4. Kutengwa kwa muda mrefu.
ect.

Mahakama haitavunja ndoa bila kwanza kupitia hatua za usuluhishi.

Ndoa ikishavunjwa mtapata hati rasmi ambayo mtasajili Rita.

Tafuta wakili akuongoze.
 
Pole tena mkuu, na kwakuwa maisha yako tayari umetambua kwamba yapo mikononi mwako, basi sidhani kama nivyema kuvumilia hata unapo ona roho inakutoka just because of human being.
Uhai wako una thamani sana kwaajili ya mwanao mwenye ujitaji wako, na hata ndugu zako bado wanakupenda zaidi.
Sina la kukushauri, lakini niwajibu wangu kuku kumbusha kwamba maisha/pumzi yako ina thamani kubwa kuliko mtesi wako. Hapa namaanisha usilzimishe kuvumilia mtu/kitu ambacho unaona kabisa kwamba kinaweza kikakukatisha uhai wako.
Mkuu umeandika point kubwa sana hapa. Huwezi kuishi huna amani kwa ajili ya kuvumilia jambo flani. Hakuna kitu muhimu kama kuishi ukiwa na peace of mind.
 
kabla ya kwenda mahakamani lazima mpitie kwenye mabaraza ya usuluhishi yanayopatikana makanisani, misikitini, au ustawi wa jamii.

Huko mtapewa cheti konesha kuwa usuluhishi umeshindikana.

Mtaenda mahakamani kuvunja ndoa, kugawana mali na malezi ya mtoto/watoto.

Sababu za kuvunja ndoa.

1. Ukatili.
2. Zinaa.
3. Kushindwa kutoa tendo la ndoa.
4. Kutengwa kwa muda mrefu.
ect.

Mahakama haitavunja ndoa bila kwanza kupitia hatua za usuluhishi.

Ndoa ikishavunjwa mtapata hati rasmi ambayo mtasajili Rita.

Tafuta wakili akuongoze.
Fuata ushauri huu...wakati huo ukiwa umeshaondoka hapo na umejihakikishia usalama wako.
 
Back
Top Bottom