msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Tanki

    JamiiForums Tanzania MSAADA, Ñahitaji power invetor

    Wakuu habari zeunu. Kijana wenu nahitaji invetor NDOGO kabisa maana nataka kutumia kwa ajili ya laptop tu. Ubavu wangu ni Elfu 30 cash niko nayo hapa. Naweza kuja kuifuata popote kwa hapa Dar. Mawasiliano 0769616581
  2. D

    JamiiForums Tanzania Ni wapi nitapata kibarua cha kuniwezesha kupata angalau Tshs 7000 kwa siku?

    Salam wakuu, Naombeni msaada mimi nina shida ya kama laki 3 ila naomba kulekezwa sehemu ambapo naweza ni kapata kibarua cha kuingiza hata 7000 kwa siku ili ni changamke nifanikishe lengo langu. Ahsanteni.
  3. N

    JamiiForums Tanzania Msaada watu wa Civil Engineering wanaweza kufanya kazi TAZARA

    Habari zenu wadau. Ni hivi nilikuwa nataka kujua kwa mtu aliesomea Civil Engineering anaweza kufanya kazi kwenye Shirika la Reli TAZARA. Msaada wenu tafadhali.
  4. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Naombeni msaada wenu nimepatwa na hili janga

    Leo nimeamka asubuhi koo linawasha. Baada ya muda nikaanza kohoa na kukamatwa na mafua makali sana. Binafsi sipendi mafua na kukohoa. Ila napenda sana kupiga chafya. Ikabidi nianze harakati za kupambana na mafua na kikohozi. Nikachukua Tangawizi nikasaga, nikachukua limao nikakamulia...
  5. B

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisheria

    Kuna rafiki yangu tunaishi nae Kibamba, ni mfanya biashara wa kununua mashamba na kuuza. Hivi karibuni aliingia kwy matatizo baada ya kununua eneo akaamua kulikatakata viwanja, aliuza viwanja kwa wateja Kama watatu hivi, ndipo ilipokuja kubainika eneo Hilo kuwa Lina mgogoro wa kifamilia, ili...
  6. Matope

    JamiiForums Tanzania Msaada Lodge nzuri maeneo ya Makumbusho Dar

    Wakuu msaada naomba kujua lodge nzuri maeneo ya makumbusho isiozidi 25,000 Jina.......... Bei............ Asante
  7. canular

    JamiiForums Tanzania Msaada jinsi ya kurudisha chatting za whatsap

    Wakuu naomba msaada wenu jinsi ya kurudishaa charting za SMS kw
  8. kikoozi

    JamiiForums Tanzania Ndugu wananiita mchawi wakati walilelewa na baba yangu mzazi

    Habari zenu ndugu zangu, Mimi ni kijana wa miaka 37 kwetu tumezaliwa 2 tu, ila kuna ndugu zangu kama wanne (4) walilelewa na baba yangu mzazi katika makuzi yao, baada ya baba yangu kunifukuza nyumbani miezi 5 sasa imepita kisa tu nilimbembeleza kujiunga na chama changu cha mapinduzi, vile vile...
  9. BLUE BALAA

    JamiiForums Tanzania Wachumi naomba msaada kuhusu analysis ya mzee Dewji juu ya deni la Taifa

    Nataka kufanya Analysis ya mzee Dewji alivyokuwa anaongea kuhusu deni letu la Taifa in comparison to USA jana wakati wa kongamano la dini pale Dodoma. Akasema USA inadaiwa mara 2o ya deni letu so nothing should alarm and if need be tukope zaidi. I know there is relation between debt - ratio to...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa tatizo la maumivu makali ya mkono

    Natumai wazima humu ndani, Naomba ushauri, mama ana maumivu makali hasa usiku ya mkono mmoja wa kulia mpaka begani. Tulienda hospitali kupiga xray hakuna tatizo, tulipewa dawa za kuchuwa tu, ila naona hali haibadiliki, tumuone mtaalam wa nini?
  11. M

    JamiiForums Tanzania Naomba Msaada wa Ushauri wenu kuhusu matokeo haya

    Kama Ambavyo kichwa Cha habari hapo juu, Nimehitimu kidato Cha sita mwake huu(2020). Nilisoma PCB na nimepata DDD Nina two ya 12, Je naweza kupata bachelor ya Medical Laboratory pale MUHIMBILI???
  12. Madish Installers

    JamiiForums Tanzania Msaada: Naomba kujuzwa zilipo Ofisi za TAKUKURU

    Habari wanajamii, Msaada mwenye kujua Ofisi za TAKUKURU ama namba ya simu kwa Dar, muhitaji anaishi mbezi ya kimara hivyo kama zipo za karibu na yeye itakuwa vizuri zaidi! Kwa niaba yake natanguliza shukrani!
  13. albab

    JamiiForums Tanzania Msaada majiko yanayotumia pumba za mpunga au maranda ya mbao

    Waungwa nawasalimu. Ningependa kuulizia haya majiko yanayotumia pumba za mpunga/maranda ya mbao ambayo hutumiwa sana na wachoma chips hasa maeneo ya DAR... Niliyaona mwaka 2017 Ila kwa bahati mbaya huku mkoani nilipo sijayaona kabisa na gharama za mkaa ni kubwa kidogo.. Ningependa kujuzwa ...
  14. Mlalamikaji daily

    JamiiForums Tanzania Naombeni msaada wa haraka, NMB wamenikalia kooni

    Wandugu poleni na majukumu, mwaka huu mwezi wa 2 nilienda kuwapelekea deni la loarn board walinunue na kwa kuwa nilikua na mkopo nao hao NMB wakanipigia mahesabu ya jumla kuwa pamoja na kununua hilo deni na kutoa deni lao watanipa jumla ya Tsh 5,660,000 nikasema poa tu kwakuwa nilikua na...
  15. Mockingbird

    JamiiForums Tanzania Wataalamu naomba msaada wenu haraka

    Nina PC HP ina tatizo la kioo pia window yake inasumbua 1) Naweza kutoa HDD (nishaitoa) nikaweka kwenye Pc nyingine halafu nikInstall window kwenye hiyo HDD, baadae nikairudisha kwenye hiyo PC Window ikafanya kazi? if yes, How? 2) Nawezaje kutumia window iliyopo kwenye exteranal bila kuathiri...
  16. N

    JamiiForums Tanzania Msaada kisima changu kimejaa chura

    Wana JF ninapoishi mimi sina access na maji ya bomba ambayo unalipia bili kwahiyo nimeamua kuchimba kisima na maji nimepata tatizo vyura wamegeuza ndio makazi yao wapo wengi hadi kero, sasa kuna madhara yoyote kutumia maji ambayo vyura wanaishi humo? Natumia kuoga, kufulia na kuoshea vyombo...
  17. A

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli flyovers na ndege zetu hazina msaada wowote kwa mwananchi anayeishi Nanyamba au Kyabakari?

    Salamu kwenu, Kumekuwa na kelele nyingi kuwa ndege zetu hazina maana yoyote kwa mwananchi wa kawaida. Watu wanaenda mbali zaidi kuhoji ikiwa flyovers za Dar es Salaam zina umuhimu wowote kwa watanzania waishio vijijini, mikoani huko. Ukiangalia hizi hoja, unapata picha mbili. Ya kwanza ni kuwa...
  18. U

    JamiiForums Tanzania Naomba kuelekezwa kusoma mita za maji

    Ndugu wanaJF, Ninaomba mwenye ujuzi wa kusoma mita za maji anijuze. Yangu imeandika 13 mita za ujazo! Hivi gharama kwa mita moja ya ujazo ni shilingi ngapi? NINAOMBA MSAADA WENU WADAU
  19. Mtini

    JamiiForums Tanzania Msaada, wapi nitapata vifungashio vya mifuko ya plastic vitakavyokuwa na lebo yangu

    Habari wadau, natambua kuwa mifuko ya plastic imepigwa marufuku kisheria ila ya kutumia kwaajili ya vifungashio imeruhusiwa. Naomba msaada wa kujua kiwanda kinachoprint mifuko ya plastic hasa kwa sisi wajasiriamali wadogo. Natanguliuza shukrani kwa michango yenu
  20. B

    JamiiForums Tanzania Msaada tafadhali: Popo wamehamia kwenye nyumba yangu

    Nimejenga kijijini kwangu, kuna vichaka vimenizunguka ambako ni makazi ya ndege na baadhi ya wanyama,wakiwemo popo. Tatizo ni kwamba popo wengi wanaishi juu ya dari ya nyumba. Usiku ni makelele,wanachafua dari kwa vinyesi na mikojo. Nilijaribu kumpandisha kijana darini mchana akiwa amefunga...
Back
Top Bottom