Wanajamvi, nimehamasika sana ktk uchaguzi huu. Kikubwa ni uhakika wa anguko kubwa la CCM ktk uchaguzi huu.
Kwahiyo nataka niwe sehemu ya historia inayokwenda kuandikwa.
"Tundu Lisu the rescuer. From the edge of the grave to the state house"
Nimeamua toka moyoni kujitolea kuwakusanya wapiga kura bure, kuwapeleka vituo vya kupigia kura bure na kuwarudisha majumbani mwao bure.
Niko tayari kulifanya kazi hii tangu asubuhi mpaka mwisho wa zoezi la upigaji kura.
Naombeni kujua kama taratibu na sheria zinaruhusu.
N.B: Mimi siyo mgombea wala Mwanachama. Bali ni mfurukutwa wa mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA. Tundu Antipas Mughwai Lissu.
Lakini siipendi CCM kwa tambo zake za kujifanya wana hatimiliki ya nchi hii.
Kwahiyo nataka niwe sehemu ya historia inayokwenda kuandikwa.
"Tundu Lisu the rescuer. From the edge of the grave to the state house"
Nimeamua toka moyoni kujitolea kuwakusanya wapiga kura bure, kuwapeleka vituo vya kupigia kura bure na kuwarudisha majumbani mwao bure.
Niko tayari kulifanya kazi hii tangu asubuhi mpaka mwisho wa zoezi la upigaji kura.
Naombeni kujua kama taratibu na sheria zinaruhusu.
N.B: Mimi siyo mgombea wala Mwanachama. Bali ni mfurukutwa wa mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA. Tundu Antipas Mughwai Lissu.
Lakini siipendi CCM kwa tambo zake za kujifanya wana hatimiliki ya nchi hii.