msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. KITAULO

    Msaada wa dawa nzuri ya mafua/kikohozi kwa mama mjamzito

    wadau, Ninaomba ushauri wa dawa nzuri za mafua au kikohozi kwa mama mjamzito wa mimba ya week 37-38. Dalili ni; kikohozi kikavu kubanwa na kifua pua kuziba natanguliza shukrani zangu. regards.
  2. R

    Naomba msaada wenu juu ya hili swali

    Naweza kusoma course ya Clinical kama nina hiz credit C-BIOLOGY C-CHEMISTRY D-MATH C-ENGLISH D-PHYSIC Naomba ushauri wenu kabla ya Deadline
  3. S

    Msaada tafadhali wa hili la ardhi

    Nina kipande cha ardhi. Ni unsurveyed nilinunua kwa mtu. Nikaenda kucheki status yake ardhi, nikakuta humo kuna ramani za open space, Msikiti, Kanisa, Soko etc. eti sehemu hizo zimeshakuwa marked for those activities. Mwenye eneo anasema hajawahi kupimiwa na hajui nani alifanya hayo. Nataka...
  4. U

    Msaada: Kati ya Bachelor Degree ya Air transportation and management operation na bachelor degree ya Air Craft and Maintanance Engineering

    Habari wakuu? Kati ya kozi ya Bachelor degree ya Air transportation and management operation na bachelor degree ya Air Craft and maintanance Engineering Hizo kozi naombeni ushauri zinatolewa bila shaka NIT, ni ipi kozi nzuri na isioumiza kichwa!
  5. S

    Msaada, Kufungua Accounts NETTELER, SKRILL na PAYPAL

    Wakuu kwema? Nina mpango wa kufungua akaunti kwenye kampuni tajwa hapo juu. Lengo ni kuweza kubet makampuni ya kubet ya nje. Nina sababu fulani muhimu za kuchagua makampuni hayo ya kubet. Kuna anaejua jinsi ya kusajili, funds transfer charges na chochote cha muhimu kujua juu ya haya makampuni...
  6. Sukari Yenu

    Msaada, nahitaji tiba ya meno

    Wakuu habari za weekend, Shida yangu kubwa ni meno yangu mawili ya mbele, meno ya tabasamu. Meno haya yameinuka kidogo kiasi ambacho yamezidi ule usawa wa meno ya chini. Yametengeza kitu kinachoitwa overbite. Jino moja la upande wa kulia limeanza kuinuka kabisa linatoka nje ya mstari. Kwa...
  7. Chizi Maarifa

    Nahitaji msaada kama umewahi kutana na changamoto hii

    Kuna tatizo linanisumbua ni week ya tatu sasa. Nmesafiri kikazi nipo sehemu ya mbali kidogo. Nlifanikiwa kusafiri na secretary ambaye tuna mahusiano ya kimapenzi. Huku tuliko tunatakiwa kukaa miezi 4 kuna training inafanyika nje ya nchi.huyu dada tulikubaliana ili kubana matumizi tu share room...
  8. Tanki

    Msaada wakuu hii simu ina mapepo au?

    Wakuu habari za muda huu. ninan shida hapa kwenye hiisimu yangu ambayo ni tecno W3. Hii simu sasa hivi nikiiweka tu betri inajiwasha yenyewe kabla hata sijaiwasha. Na ikijiwasha inaandika tu neno tecno arafu inaganda hivyo hivyo baada sekunde kama kumi hivi inajizima na kujiwasha tena...
  9. C

    Msaada kwa mliosoma/mnaosoma clearing and forwading.

    Hello jf. nina imani humu kuna wadau wanasoma au waliwahi kusoma clearing and forwading. naomba msaada wa notes nina shida nazo hasa za First year. Natanguliza shukran
  10. mankachara

    Msaada wa samsung smart tv

    Habari wanajamii na Skukuu ya Eid njema. Nimenunua Tv ya Samsung Smart tv used, nimeunganisha internet na simu yangu na imekubali vizuri tu na simu yangu ina Gb za kutosha za kuweza kuperuzi internet. Vilevile ninapojaribu kufungua internet kwenye web browser, mwanzo inafunguka vizuri na...
  11. C

    Msaada simu inapata joto

    Habari wakuu, Nina simu ya mtumba nilinunua kama wiki tatu Sasa ila ina mtindo wa kupata joto nikiwasha data kidogo au nikiunga Hotspot na pc au hata niwasha baadhi ya apps. Cha ajabu naweza play audio usiku kucha na isipate joto au naweza ongea na mtu Muda mrefu still isipate joto Aina ya...
  12. B

    Msaada wa Kiufundi kuezeka nyumba

    Habari ya mchana wadau wa JamiiForums. Naomba kusaidiwa kwa anayefahamu, kuna nyumba yenye urefu wa 15m kwa 16m inatakiwa kuezekwa kwa bati za msouth, Gharama yake ya kuezeka inaweza kuwa kiasi gani. Ahsanteni!
  13. A

    Ujio wa Tundu Lissu: Msaada tutani ndugu mawakili wasomi

    Jana tarehe 27. 0. 2020 ndugu yetu Tundu Lissu alifanikiwa kurejea salama nyumbani Tanzania. So haba, alipata mapokezi mazuri. Ni hukue fursa hii pia kulipongeza jeshi la polisi kwa kuhakikisha amani itawale muda wote. Aidha naomba tukumbuke kuwa hakuna mtu aliye juu ya sheria. Hali Halisi...
  14. Mkogoti

    Utapeli kama huu ukitapeliwa, utapata msaada wapi au ndio utalala nacho?

    Habari wakuu Mimi mzima kabisa wa afya Natumaini nawe pia huko mzima kabisa, bado Tunaendelea na maombelezo ya Rais wetu Mpendwa Mh. William B. Mkapa R.I.P 😞🙏 Ipo hivi wakuu, nipo nawaza kitu ambacho kipo ubongoni mwangu nimekifikiria tu ghafla. Ipo hivi Huku Maeneo ninapoishi jina (kapuni)...
  15. WENYELE

    Msaada: Shule ya wasichana Advanced Level inahitajika haraka

    Wakuu, naomba msaada kupata shule ya wasichana ya Bweni ya bei kawaida Advance, itakua nzuri ikipatikana kanda ya ziwa au sehemu nyingine Tanzania. Iko hivi, mimi ni mwenyeji wa kanda ya ziwa, jana nilipigiwa simu na binti wa pale kijijini kwetu kamaliza form 4 akapata DIV III ya 25 bahati...
  16. Eboo

    Msaada: Unawezaje kupata mkopo iwapo uli-discontinue chuo?

    Habari wanajamvi, Je, mnufaika wa mkopo katika mwaka uliopita na akadisco chuo, anawezaje kupata mkopo tena iwapo yupo kwenye chuo kingine kwa sasa? Kwa anayefahamu asaidie kushare tafadhali.
  17. U

    Msaada nimeongeza memory card nashindwa kupakuwa App

    Naomba msaada wa maelekezo nimeongeza memory kwenye simu yangu lakini ajabu siwezi kudownload app. Memory inayoonekana ni internal storage tu.
  18. B

    Msaada: Tatizo la picha kujirudia rudia (Multple photos) katika simu

    Habari waungwana, kuna changamoto ya kujirudia rudia kwa picha na ma file mengine katika simu hasa "Audio" na "Video". Msaada : 1. Naomba kujuzwa ni kitu husababisha kujirudia rudia (Multiple) kwa mafile katika simu, yaani audio zinakuwa mbili mbili, au folder za mapicha zinakuwa mbili mbili...
  19. No Escape2

    Msaada: Hii vita mimi na Wife

    Kwa kweli sijui niwalaumu hawa wamiliki wa TV Stations au sijui nifanyeje! Ninapokuwa home vita ni kali sana mpaka tunanuniana. Kwa akili ya remote. Wife yeye hachoki kuangalia Tamthilia mimi nataka Taarifa ya Habari, mbaya zaidi muda wa kipindi ni mmoja! Halafu nimegundua wanaongalia Tamthilia...
  20. M

    Naomba msaada hali yangu ishakuwa mbaya

    Habari zenu great thinkers, poleni kwa msiba mkubwa wa kiongozi wetu Mh. Benjamin Mkapa, Mimi ni kijana wenu mtanzania shida yangu kubwa nnaomba msaada kama yoyote anaweza kunisaidia nipate angalau kibarua niweze kujikimu maisha maana nimemaliza chuo level ya diploma tangu 2012. Tangu kipindi...
Back
Top Bottom