Mkuu upo mkoa gani, IT umesoma kwa ngazi gani?Naombeni msaada wana JF nina cheti cha IT pamoja na mambo ya Clearing and Forwarding nina leseni ya udereva Class D naombeni msaada hata kwa kujitolea nijifunze kazi.
Mkuu kama kuna issues za ICT nipo hapa namba ya simu 0719723119 tunaweza kuwasilianaMkuu upo mkoa gani, IT umesoma kwa ngazi gani?
Umeulizwa upo mkoa gani.Mkuu kama kuna issues za ICT nipo hapa namba ya simu 0719723119 tunaweza kuwasiliana
Uko wapiNaombeni msaada wana JF nina cheti cha IT pamoja na mambo ya Clearing and Forwarding nina leseni ya udereva Class D naombeni msaada hata kwa kujitolea nijifunze kazi.
Ungesema ata mkoa uliopo mkuu kama kuna mtu ana nafasi awe rahisi kukufikiria.Uko wapi
Kazi aombe mwingine, uzi aandike mwingine...aonekane kuna mtu anataka kumsaidia..namba ya simu utoe ww.....pumbav sanaMkuu kama kuna issues za ICT nipo hapa namba ya simu 0719723119 tunaweza kuwasiliana
Tanzania Rural Empowrnment Organization-TAREO, Nia asasi isyo kuwa ya kiserikali yenye makao yakee makuu Moshi,Kilimanjaro.Naombeni msaada wana JF nina cheti cha IT pamoja na mambo ya Clearing and Forwarding nina leseni ya udereva Class D naombeni msaada hata kwa kujitolea nijifunze kazi.
kama una interest ya kujitolea kwa moshi kilimanjaro tuwasiliane 0717157640Naombeni msaada wana JF nina cheti cha IT pamoja na mambo ya Clearing and Forwarding nina leseni ya udereva Class D naombeni msaada hata kwa kujitolea nijifunze kazi.