Aisee naomba msaada wa dawa gani nimpe mama yangu maana anakohoa Sana Tena kwa muda mrefu huu ni mwaka wa tatu.
Ila sio korona maana hamuambukizi mtu na kazi anafanya Kama kawaida ila kwakweli amekohoa muda mrefu mpaka namuonea huruma.
Nimejaribu kuulizia Kuna wanaosema ana kikohozi Cha moyo...
Habari yako, mimi ni kijana wa miaka 20s ni mhitimu wa chuo 2020(Bachelor Degree in Tax Management).
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu, kwa kipindi kirefu sasa nimekuwa napokea maoni mbalimbali haswa hapa mtaani wakinishauri kuwa niende nikaigize maana naonesha kuwa ninakipaji hiko...
Habari zenu wakuu,
Naomba msaada kwa ambao walikuwa ndani ya utumishi wakaomba likizo bila malipo utaratibu wake upoje. Kwa maana kwamba naanzia wapi ili nipate na huwa wanatoaga muda gani? (miaka)
Habari za humu Watanzania? Samahani nimeingia kikuu ili kuona kama kuna kitu naweza kuchukua ila kuna vitu sijavielewa vizuri ni kuhusu hizo voucher sijaelewa kabisa zinakuwaje kuwaje?
msaada tafadhali
1. Kama wewe umesomea Bachelor of Engineering (B.Eng) kwa mfano umesomea Bachelor of Engineering in Mechanical Engineering/Electrical Engineering kama nafasi imetangazwa na imetaja inahitaji mtu mwenye Bachelor of Science in respective coarse my dear uki apply inagoma, and vice versa.
2. Mfumo...
Juz nilienda marangu na gari sasa usiku wakat narudi kulikuwa na baridi gari ikawa inaweka ukungu kwa nje nimejaribu kuwasha heater ta kioo haikubali ilichosaidia ni wiper inafuta kidogo but inarudi palepale, ukikutana na gari inayokuja imewasha taa huoni vizuri kabisa nimeenda nayo hadi sehem...
Wakuu, naomba kuelekezwa pahala ambapo naweza kununua mashine ya kupasua mbao. Hii iwe ni ya kuhamisha na kwa vyovyote vile isiwe inatumia umeme. Isiwe chainsaw maana inaharibu mbao.
Katika kipindi hiki ambacho Tanzania tumeweza kuidhibiti Corona kwa kiwango cha lami au standard gauge. Sasa nadhani tuna haja ya kutoa misaada kwa nchi nyingine za Ulaya na Marekani katika kudhibiti tatizo hili.
Kuna haja ya kuwafundisha namna ya ku deal na mambo kama haya lakini pia kwa...
Habari zenu wakuu, Maguru wa I.T
Nilikuwa yahoo group na wenzangu, ambapo december 15 2020 .Yahoo wamefunga groups. Nawezaje ona (kupata) emails za wale members niwatumie jumbe mmoja mmoja?
Nicheki kwa 0713-039875 , kama ushauri mrefu, tupange wikiend ,ntakulipa kwa usumbufu mkuu
Wadau,
Heri ya mwaka mpya, Bila shaka humu wapo watu mbali mbali,
Naombeni msaada wa kujitoa kwenye hili JINI nyonyaji CWT
Nataka kujitoa kwasababu zifuatazo:
1. Chama hakina msaada wote kwangu zaidi ya kukata %2
2. Mwaka wa 7 huu hakuna daraja wala nyongeza chama lipo tuu.
3. Mapato na...
Habari.
Kwa kipindi cha karibuni nimeanza biashara ya udalali wa magari pikipiki simu vitanda na vitu vingine used hapa Dar.
Nimekutana na changamoto ya kupakua picha zilipostiwa FB ili niweze kupost kwingine
Naomba msaada ni njia gani nitumie
Shukran, Dalali Solo. 0744033555__ TABATA BIMA DAR
Wakuu salaam kwenu!
Naomba kujua Sheria inasemaje ikiwa Mme katika familia anataka kuuza Mali za familia pasipokushirikisha familia yake na familia haijaafiki uuzwaji wa Mali hizo!
Tatizo lipo hivi Baba wa familia anataka kuhama eneo wanapoishi na kuhamia eneo jingine,ila tatizo linakuja...
Jamani mm Nina tatizo la kusikia kidogo japokuwa namshukuru mungu pia kwa sababu nawaza je ningekuwa sisikii kabisa sijui ingekuwaje kwangu hii Hali imenifanya niwe natumia nguvu Sana katika baadhi ya mambo yangu Mimi Niko chuo first year kwa mfano lecture Kama anafundisha bila Mike napata...
Habari za mida wana Jukwaa
Mimi ni Mhitimu (2020) Bachelor of Laws, Kutoka Chuo kimoja hapa Tanzania.
Naomba nafasi ya Intership au Volunteer iwe ni Law Firms au sehemu yoyote wanapoweza nipa nafasi nikapata experience Zaidi.
Natanguliza Shukurani 🙏
NB: Kama kuna nafasi ya kazi na ukahisi...
Nimefikia stage ya kuchimba choo lakini maji yako karibu ft 4. Na ni maji mengi , je nisimamishe ujenzi wa choo mpaka kiangazi au kuna njia mbadala?
Mbona sasa nakwama kuhamia kwangu jamani?
Location: Mwanza
Msaada Please.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.