Naomba ufafanuzi wa hili la kutoendelea na level nyingine ukiwa na supp

Allydasmartboy001

JF-Expert Member
Jul 14, 2018
599
206
Habari zenu mm ni mwanafunzi wa diploma medicine CMT. Kwa sasa nipo level 5 sem ya kwanza mwaka jana nilivyokuwa level 4 sem two nilipata supp ya pathology ambayo nilifanyia mtihan huu wa nacte ulioisha wa feb 2021 kama supplementary.

Kwahyo nilikuwa na soma level 5 huku nkiwa na supp moja ya pathology sasa nimesikia tetesi kuwa mtu yeyote yule hatarusiwa kufanya mtihan wa end mpaka atakapoweza kuchomoa masomo anayodaiwa yaan mfano kama mimi hapa nilivyofanya nacte ya pathology sitaweza endelea mbele au kufanya mtihani wangu wa mwisho wa level 5 mpaka matokeo ya wizara yatoke na ni pass ndio nitaruhusiwa kufanya mtihanio wa end.

Swali je hizi taarifa ni za ukweli? au kama kuna yeyote anayejua chochote kuhusu maswala ya supp?
 
Kama ndo unamaliza diploma huwezi kufanya mtihani ukiwa na supp.

Ila kama ni kumaliza mwaka hapo unafanya.

Hebu funguka kwanza ndo unamaliza kabisa diploma au unamaliza mwaka.
 
Kama ndo unamaliza diploma huwezi kufanya mtihani ukiwa na supp..
Jaman mm nipo level 5 simalizi diploma nipo kati kati kabisa na hii system na sikia inaanza mwakaa huu miaka ya nyuma watu walikuwa wanaendelea huku wakiwa na supp ila kwanzia mwaka wetu ambao mwaka huu kuna hat hat za kutoendelea ukiwa na supp.
 
Jaman mm nipo level 5 simalizi diploma nipo kati kati kabisa na hii system na sikia inaanza mwakaa huu miaka ya nyuma watu walikuwa wanaendelea huku wakiwa na supp ila kwanzia mwaka wetu ambao mwaka huu kuna hat hat za kutoendelea ukiwa na supp
Kwa ninavyo jua mimi huwezi hama mwaka ukiwa na supp.

Maana watu wanasuppua kabla ya kuhama mwaka.

Ila unauwezo wa kusoma mwaka mwingine ukiwa ume carry, kama somo siyo core unahama mwaka huku ukilifanyia mtihani.

Ila kama somo ni core unarudia kabisa mwaka.
 
Kwa ninavyo jua mimi huwezi hama mwaka ukiwa na supp.

Maana watu wanasuppua kabla ya kuhama mwaka.

Ila unauwezo wa kusoma mwaka mwingine ukiwa ume carry, kama somo siyo core unahama mwaka huku ukilifanyia mtihani.

Ila kama somo ni core unarudia kabisa mwaka.
bro hiyo ilikuwa zaman siku hz kwanzia sep 2020 utaratibu umebadilika upo mwingne hata mtu ukipata repeat module thrn ukafeli mo hata moja kwenye RM yako hiyo inakuwa disco
 
Sheria mpya ya nacte ndio inataka hivyo kwa sasa kama una sup na haujachomoa utaendelea na wenzako ila hautaingia NT levol 6. Mpk uchomoe kwanza halafu ndio uwasubiri wanaokufata nyuma yako ndio mtahitu nao..... Kikubwa kwa sasa nikupamba elimu ya zamani sio kama sasa... You have to do some thing

sent from HUAWEI
 
Mfumo wa kuenedelea kusoma level nyingine ukiwa na supp utaona ni mzuri sana endapo utachomoa sapp yako, ila ukishindwa kuchomoa kuna shida kubwa sio kidogo.
Itakubidi u-repeat module uliofel ile, na kweny kirepeat apo inamaana kile ulichosoma level ya juu pamoja na ada uloitoa vinakuwa vimeenda bure unakazi ya kulipia tena repeat module(maana huwezi kusoma level mbili kwa wakati mmoja). Hapo utakuwa umepoteza muda na pesa pia, walichokifanya nacte kwa namna fulan ni kizuri pia kuepusha miganganyiko. Nmesoma clinical medicine pia nnafahamu jinsi baadhi ya wanafunzi wenzangu walivopata shida, kuna wengine waliishilia level 5 japo walishafanya hadi mtihan wa level 6 1st semester na matokeo yao hayakupelekwa nacte maana walishindwa kuchomoa supp za level 5, walipochomoa repeat module wakaambiwa wasome upya level 6 kwa kulipa upya ada. Ilikuw ishu sio kidogo. We waelewe tu nacte
 
Pathology.

Mchawi wangu wa pathology a ni dr najeeb na video mbalimbali za youtube
 
Ipo hivyo, huwezi kuendelea level inayofuata mpaka umeclear level iliyopita, so km una supp ni hadi uchomoe ndo uendelee mbele.
 
Mfumo wa Elimu Marekani, una mambo mawili au matatu ya kuyaiga sisi Watanzania. Na wala hatuhitaji kuwa na mahela ili kutekeleza tutakayoyaiga.
 
gan kwe mtihan wa end of semester? Km end imepata 45 ila cat ulipiga fresh hautasup au utasup tu??
 
Back
Top Bottom