Baby Nimah
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 700
- 745
Hey guys ! I hope mko powa,mm sipo pow sana afya yangu inamgogoro kidogo God is good all the time nitakaa sawa
Nina rafiki yangu yupo UK alikuwa anataka kunitumia pesa kidogo akaniuliza una account ya bank nikamwambia sina,akaniuliza kama kuna namna nyingine ya kutuma,
Jf kuna wa somi wengi na wajuzi wa mambo naombeni msaada wenu,natanguliza shukrani karibuni
😍Nikiipata hiyo hela nitawakumbuka jamani🤗
Nina rafiki yangu yupo UK alikuwa anataka kunitumia pesa kidogo akaniuliza una account ya bank nikamwambia sina,akaniuliza kama kuna namna nyingine ya kutuma,
Jf kuna wa somi wengi na wajuzi wa mambo naombeni msaada wenu,natanguliza shukrani karibuni
😍Nikiipata hiyo hela nitawakumbuka jamani🤗