EP cosmetics
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 2,468
- 3,838
Wakuu naomba kujua je, inawezekena au ninaweza kutumia leseni ya biashara nyingine kupata line ya uwakala kwenye mitandao ya simu?
Au kufanya uwakala huo ni lazima kuwa na leseni ya biashara inayohusiana na mambo ya uwakala kwanza?
Pia ninaomba kujua kwa makadirio ya kodi TRA huwa wanakadiria kodi kiasi gani kwa biashara ya kuwa wakala wa mitandao ya simu tu (kwa mtu ambae ndio kwanza anaanza)
Au kufanya uwakala huo ni lazima kuwa na leseni ya biashara inayohusiana na mambo ya uwakala kwanza?
Pia ninaomba kujua kwa makadirio ya kodi TRA huwa wanakadiria kodi kiasi gani kwa biashara ya kuwa wakala wa mitandao ya simu tu (kwa mtu ambae ndio kwanza anaanza)