Habari zenu ndungu zanguni, Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu,naomba Daktari anisaidie kuhusu kitu kinacho itwa SAUNA.
Najua wengi tunafahamu kuhusu SAUNA,nimekua na uraibu wa sauna mda mrefu sana,nikiwa mapumzikoni jioni lazima niende nikatoke jasho.
Je, Madaktari mnasemaje kuhusu...
Habari za majukumu wakuu,
Kuna mzigo nataka kuingiza kupitia border ya Namanga, Arusha. Ombi langu ni kwa mtu anayejua kampuni au mtu ambaye ni Clearing and Forwarding Agent anayefanyia kazi pale border anipatie mawasiliano yake.
Nipo mbali na eneo hilo ndio maana nimeomba msaada huo...
Siku zote natamani sana sana nchi yetu ingekua na vitengo vya wanasihi, sio kila kitu kinahitaji polisi na kutumia nguvu. Mfaano mzuri ni huyu kijana ambaye kwa majibu wake ni kwamba Baba mkwe kavunja ndoa yake iliyodumu tangu 2012-2021. Miaka Tisa ya mahusiano si michache.
Katika kutafuta...
Nyota wa muziki miondoko ya Afrobeats Davido anasema atatoa naira milioni 250 ($608,000; £450,000) kwa mayatima nchini Nigeria baada ya mashabiki wake kumtumia pesa.
Mapema wiki hii, mwanamuziki huyo maarufu aliwaomba mashabiki wanaoamini kuwa "Aliwapa wimbo mzuri" kumtumia pesa kwenye akaunti...
Wakuu tafadhali mwenye kujua ABC about shiba coin namna ya kuji-regist; kununua...nimevutiwa na aina hii ya uwekezaji wa pesa ya kidigtal
Mwenye kujua steps by steps tafathali anielekeze, niko tayari hata nimpoze ya voucher kwa usumbufu na muda atakaokuwa amepoteza.
Nawasilisha.
Naomba kujua - kwa anayefahamu - mahali ninakoweza kununua chupa tupu
za glass
za robo lita,
nusu lita na
lita moja
kwa ajili ya kuhifadhia vitu mbalimbali.
Natanguliza shukrani.
Habari wana jf,
Naomba nisiwachoshe niende moja kwa moja kwenye mada.
Naomba mwenye mawasiliano ya shule tajwa hapo juu ya St Teresa of avila girls Secondary iliyopo MWANGA, KILIMANJARO.
Nimejaribu kutafuta address zao kwenye website nimepata namba ambazo hazitumiki kwa Sasa.
Naomba...
Ndugu, habari za wakati huu.
Bila kupoteza muda ningependa kuomba msaada kwa yeyote mwenye uelewa juu ya zile mashine ambazo zinatumiwa kwa ajili ya kubeti mfano, premier bet, pm bet n.k
Naomba kujua cost ya kuwa wakala au kununua.
Pia naomba kujua commission yake kwa mwezi, namna ya...
Discrediting Evidence in a Criminal Trial
Discrediting evidence can be the best line of defense.
By Deborah C. England
Types of Evidence
In general, three types of evidence will typically be offered at trial: testimonial evidence (statements of witnesses on the stand); physical evidence (such...
Habari za muda huu ndugu zangu.
Kwa muda mrefu nimegundua nina tatizo kitaalam linaitwa Deviated septum,hivyo nahitaji kwenda kufanyiwa operation yaani septoplasty,
Tatizo langu naona limekua severe sana mpk kufikia pua moja kuziba kea muda mrefu kabla ya kupokeazana na ingine.
Naomba kupata...
Wapendwa salaam! Amani ya Mungu baba muumba iwe juu yetu sote!
Jamani mwenzenu nilikuja humu ndani kuuliza biashara ya vyombo ila nasikitika sana sikufanikiwa katika biashara ile kwani nilipata mtihani wa maradhi! Pesa yote ikaisha!
Mimi naishi Dar, Nimevutiwa sana na biashara ya Vijora ila...
Wakuu salaam sana.
Nimepata kamtaji kidogo nataka nijiongeze nianzishe biashara ya kuagiza laptops used toka Uk.
Tayari nina contacts na suppliers kadhaa ambao wameonesha utayari wa kufanya nao biashara.
Tatizo langu kubwa na lilofanya niombe ushauri ni kuhusu kiwango cha kodi wanachotoza kama...
Nimekuwa nikikutana na hii kitu hapo juu marakwa mara. Ina maana gani.
Judge anaandika Order of the Court badala ya kuandika Judgement anaposikiliza pingamizi.
Naweka hii order muione . Halaf hiyo kesi ya tarehe 12 nai attach for convinience and quick reference...
Imekuwa kila kukicha tunaelezwa uzoefu wa mwalimu mpya wa klabu ya Simba kwamba ametokea katika kufundisha timu kubwa na kwamba anafahamiana na walimu wengi na wakubwa katika mataifa ya nje. Swali langu ni je; sifa na umaarufu wa mwalimu huyo unamchango gani kwa klabu ya Simba?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.