Naomba msaada au ushauri kwa haya yanayonisibu

Naomba msaada au ushauri kwa haya yanayonisibu

mbowa

Member
Joined
Dec 24, 2020
Posts
19
Reaction score
22
Mimi ni kijana wa miaka 33 sina mke wala mtoto mpaka dakika hii na kila jambo ninalopanga linayeyuka na sio kwa mahusiano tu hadi mipango yote ya kimaisha.

Kwa kweli naumia sana tafadhali naombeni ushauri wenu wa aina yoyote ule.
 
Haupo peke yako. Na itakutesa zaidi kama umesoma na wenzako waliosoma wameshafinikiwa.

Muda mwingine familia tunazotoka zinaongeza presh kwetu ila kitu chakufanya kabisa, Piga goti usiku mlimlie sana Mungu. Hakikisha Kila asubuhi unaongea na mama Yako Kwa furaha.

Kama yupo karibu mkumbatie ,mpende muoneshe upo japo huna kitu. Waone marafiki wambie wewe unapitia kipindi kigumu unawahitaji.

La mwisho,tafuta mwanamke anayejielewa na mwenye uwezo, Muombe akuzalie mtoto. Wanawake hao wapo unahitaji ujasir,hakuna sababu Tena ya wewe kuchelewa kuzaa. Wanawake wapo wa Kila aina wanaohitaji wanaume.

Mwisho ya yote,hakuna muda sahihi wa kufanikiwa,It is just a matter of time!!!
Ijumaa Kareem
Allah Ibaarik
 
Mimi ni kijana wa miaka 33 sina mke wala mtoto mpaka dak hii na kila jambo ninalo panga linayeyuka na sio kwa mahusiano tu hadi mipango yote ya kimaisha.

Kwa kweli naumia sana tafadhali naombeni wenu wa aina yoyote ule.
Hama mkoa au neenda nchi jirani, riziki yako ika mahara fulani rizki hutafutwa sio kukufuata, kwanini hamjifunzi kwa waislamu jinsi wanavo safiri kutafuta rizki.

Wewe endelea kukahapo hapo mwishoe utasingizia watu eti kuna mkono wao
 
Una kazi au laah tatizo nn


Nina bro wangu ana miaka 36 hana mtoto wala mke sema jamaa ni mtu wa kuumwa sana mpka leo yupo kwa wazazi katika life lake ameandamwa na misukosuko ya kuumwa mpaka maisha yanamzidi uwezo pesa anamaliza kwenye matibabu

Bro usilinganishe na wengine sote tutakufa kubwa kuwa na mke na watoto ni furaha ya dunia ila tutaviacha

Kumbuka rihann kama mwanamke tena kapta mtoto akiwa na miaka 33 ni swala la mungu tu
 
Una kazi au laah tatizo nn


Nina bro wangu ana miaka 36 hana mtoto wala mke sema jamaa ni mtu wa kuumwa sana mpka leo yupo kwa wazazi katika life lake ameandamwa na misukosuko ya kuumwa mpaka maisha yanamzidi uwezo pesa anamaliza kwenye matibabu

Bro usilinganishe na wengine sote tutakufa kubwa kuwa na mke na watoto ni furaha ya dunia ila tutaviacha

Kumbuka rihann kama mwanamke tena kapta mtoto akiwa na miaka 33 ni swala la mungu tu
Kazi ninayo Ndugu yangu lakini haidumu Mara hivi Mara hivi yani ilimradi tu.
 
Usiache kusali, Muombe sana Mungu.. atakufungulia milango ya baraka hadi wewe utashangaa, kikubwa fanya kazi kwa bidii..
Mpelekee Mungu mahitaji yako, amini nakwambia atakujibu.
Msaidie hapo kwenye suala la mke🤣🤣🤣🤣
 
Mimi ni kijana wa miaka 33 sina mke wala mtoto mpaka dakika hii na kila jambo ninalopanga linayeyuka na sio kwa mahusiano tu hadi mipango yote ya kimaisha.

Kwa kweli naumia sana tafadhali naombeni ushauri wenu wa aina yoyote ule.


Pole sana

Ongea na Mungu mwombe na umsikilize. Yeye ni mwingi wa rehema kwa wote wamatafutao

Zaburi 32:8
Nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayoiendea; Nitakushauri, jicho langu likikutazama.
 
Mungu keshakupa Akili Na Nguvu na Wewe Bado ni Kijana. Tafuta Kazi Yeyote Manaa Hauna Majukumu kwa Sasa kama Vile mke na Mtoto. Maana Ukishawapata Hao akili zinakuja Kwa Uharaka zaidi kuliko usipokuwa nao.

Jaribu kutafuta Kazi ila Kuwa na Malengo yako na Ujiangalie Mwenyewe Moyoni unataka Nini.

Kama Kusali pekee Kungekuwa kunaleta Mafanikio Walokole wangekuwa Mbali
 
Nenda kwenye nyumba za ibada uonane na kiongozi wa kiroho akusaidie maana wakati mwingine unahitaji ushauri na maombi pia jitahidi kutafuta marafiki sahihi utoke kwenye hali ya upweke pia kaa karibu na wazazi wako waeleze changamoto yako watakuombea na watakushauri pia

Mungu Akusaidie sana ndugu
 
Mimi ni kijana wa miaka 33 sina mke wala mtoto mpaka dakika hii na kila jambo ninalopanga linayeyuka na sio kwa mahusiano tu hadi mipango yote ya kimaisha.

Kwa kweli naumia sana tafadhali naombeni ushauri wenu wa aina yoyote ule.
Kwa hio? Kama una miaka 33 na hauko teari kiuchumi manake unaona bado unastahili kuwa na mke na familia. Tatizo lako unapoteza muda mwingi kutafuta mke badala ya muda huo utumie kujiendeleza kiuchumi.

Watu mmekariri lazima uowe tu hata kama iweje WaDada siku hizi hawataki mchovu kama ww amwoe ndio maana wanakukataa. Na ww unaona unakataliwa na haubadiliki, unaendelea tu kutafta mke.

Pambania uchumi binafsi kwanza. Hata kama una miaka 40, siku izi kama hauko sawa kiuchumi.. hawatakutaka.

Tafuta hela, ukifanikiwa utaona watakuja wenyewe tu.
 
Nenda kwenye nyumba za ibada uonane na kiongozi wa kiroho akusaidie maana wakati mwingine unahitaji ushauri na maombi pia jitahidi kutafuta marafiki sahihi utoke kwenye hali ya upweke pia kaa karibu na wazazi wako waeleze changamoto yako watakuombea na watakushauri pia Mungu Akusaidie sana ndugu
Watu mnaotoa ushauri wa namna hii, najaribu kufikiria hivi ww binafsi mambo yako ya kiuchumi yako vizuri? Huu sio ushauri kabisa wa kutoa. Samahani lakini mkuu. Ushauri ni kuchapa kazi tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom