Msaada wa dawa ya kuzuia magugu: Rilo R500

dmketo

JF-Expert Member
Aug 10, 2015
584
932
Habari wanajamvi. Kama kichwa cha bandiko langu linavyosomeka. Mimi ni mkulima wa Mpunga bonde la Usangu, nina uhitaji wa dawa ya kusindika magugu iitwayo Rilo R500.

Naomba msaada mwenye kujua wapi naweza kupata dawa hii. Natanguliza shukrani zangu za dhati.
 
Habari wanajamvi. Kama kichwa cha bandiko langu linavyosomeka. Mimi ni mkulima wa Mpunga bonde la Usangu, nina uhitaji wa dawa ya kusindika magugu iitwayo Rilo R500.

Naomba msaada mwenye kujua wapi naweza kupata dawa hii. Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Mkuu hii kitu Sasa hivi imeadimika balaa Mimi mwenyewe nipo huku Morogoro nimetafuta balaa
 
Back
Top Bottom