mpya

  1. Katiba mpya imeshindwa kuwapa Urais, sasa hawaitaki

    Hizi kelele zote za Katiba mpya na waliofanikiwa kuitengeneza tena kwa damu (2007/08) haikuwa na lengo la kumsaidia mwananchi ingawaje wananchi walidanganywa hivyo. Lengo lake lilikuwa ni power, kuna Wanasiasa waliotaka power sasa katiba iliyokuwepo ilishindwa kuwapa uongozi, wakaikataa kuleta...
  2. Tanzania yatangaza Hifadhi za Taifa mpya tatu na kufanya Hifadhi Taifa kufikia 22

    Sehemu ya Pori la Akiba la Selous lenye ukubwa wa Kilometa za mraba 30,893 limegeuzwa kuwa Hifadhi ya Taifa ya Nyerere kama alivyoagiza Rais Magufuli Hifadhi hiyo inaanza rasmi Novemba 19 baada ya Rais Magufuli kuweka saini kwenye Tangazo la kuanzisha Hifadhi hiyo na na Bunge kupitisha azimio...
  3. Kuelekea sikukuu ya Christmas na Mwaka Mpya, wanaoenda kuhesabiwa waguswa na TRA

    Habari kamili hii hapa. Je, maeneo yaliyotajwa hayana mameneja wa mikoa, kwanini Meneja wa Kilimanjaro ndiye awe msemaji wao?
  4. GE2020 Hii ndiyo fursa pekee kwa wapinzani kuidai Tume mpya ya uchaguzi iliyo huru hadi ipatikane

    Wakati dunia nzima ikishuhudia uhuni wa hali ya juu, unaofanywa na serikali ya CCM katika kuekekea uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika tarehe 24 mwezi huu, vyama vya upinzani nchini, wananchi walio wengi pamoja na viongozi wa dini, wameendelea kutoa mwito kwa Serikali...
  5. Natamani vyama vya upinzani viunde UKAWA mpya sasa mpaka katiba ipatikane

    Hayati mchungaji Mtikila wa DP aliwahi kuwahimiza sana wapinzani kupigania katiba mpya kwanza kabla ya kukimbilia kushiriki chaguzi mbali mbali kwa katiba iliyopo ambayo imeipa CCM meno ya kufinyanga matokeo ya uchaguzi na ama kuweka wasimamizi wa tume ya uchaguzi makada. Aliwahimiza wenzake...
  6. Shirika la mafuta la Iran limegundua hifadhi mpya yenye kiwango kikubwa cha mafuta

    Rais wa Iran, Hasan Ruhani, amesema kwamba kiwango cha mafuta kilichopo nchi hio kitaongezeka kwa takribani theluthi moja ya kiwango kilichopo hivi sasa kutokana na hifadhi mpya ya mafuta kugunduliwa nchini humo. Kituo cha runinga cha Iran kiliarifu kwamba Ruhani alikuwa akihutubia wananchi...
  7. B

    Rais wa Bolivia ajiuzulu na kutanganza uchaguzi mpya kutokana na machafuko nchini humo

    November 10, 2019 La Paz, Bolivia Jeshi lamlazimisha Rais kujiuzulu Bolivia Rais wa Bolivia Mhe. camarade Evo Morales ameachia ngazi bila kutegemea leo jumapili na kutangaza kujiuzulu kufuatia mbinyo wa kisiasa baada ya kudai kuwa ameshinda uchaguzi kwa kipindi cha nne, uchaguzi na matokeo yake...
  8. Madai ya Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi ndio mtihani uliobaki kwa upinzani nchini

    Baada ya CCM na Serikali yake kusalimu amri. Kilichobaki kwa upinzani sasa hivi ni kutoshiriki uchaguzi wa aina yoyote ile mpaka Serikali ikubali mchakato wa kupata tume huru ya uchaguzi na katiba mpya. Kama Wapinzani sio wasaliti wa watanzania mtayazingatia haya.
  9. Uteuzi: Chuo cha Kumbukumbu ta Mwalimu Nyerere chapata Mkuu mpya. Wenyeviti wa Bodi nne waendelea na nyadhifa zao

    Mhandisi Emmanuel Korosso anaendelea kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) Pia, Dkt. Alexander Lugatona Kyaruzi ameteuliwa kuwndelea kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Wakati huo huo, Joseph Odo Haule anaendelea...
  10. Napendekeza serikali ibadilishe noti zote na kuingiza design mpya kwenye mzunguko

    Nadhani ni wakati sasa wa kuflush noti zote zilizopo sasa na kudesign mpya zitakazoingizwa kwenye mzunguko kupitia mabenki. Hii itasaidia kuzifurumusha pesa zote chafu zilizo nje ya mfumo wa kibenki, kuna matrilioni ya pesa chafu yamefichwa chini ya uvungu wa vitanda, hii ndio njia rahisi ya...
  11. Wapi wanauza Battery Mpya za Laptop hapa Dar?

    Naomba tafadhali kama kuna mtu humu jukwaani anayejua sehemu ambayo wanauza Battery Mpya za Laptop hapa Dar, anijuze. Mubarikiwe na Bwana
  12. Profesa Assad amkabidhi ofisi CAG mpya, hakuona haja ya kupiga danadana

    Hiki ni kitendo kilichofanyika bila kuchelewa , hajataka kuleta longolongo ili waseme kuna mafaili yametoroshwa . Kila la heri Profesa Assad ****** Prof. Assad: "Hii ni taasisi na makabidhiano ya taasisi yanaenda kwa maandishi, kwa hiyo makabidhiano kwa maandishi yatafanyika Dodoma kwa sababu...
  13. Yaliyojiri Ikulu Dar: Rais Magufuli amtaka CAG Kichere kutojifanya Muhimili mwingine, amwambia anaweza kuondolewa hata akiwa na mwaka mmoja

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, leo Novemba 4, 2019 kuanzia majira ya saa tatu na nusu (3:30) asubuhi atawaapisha viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni Wanaoapishwa ni pamoja na; 1. Charles Edward Kichere kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za...
  14. Prof. Mussa Assad: Siwezi kusema chochote kwa sasa kwa sababu sina taarifa zozote juu ya uteuzi wa CAG mpya

    Siwezi kusema chochote kwa sasa kwa sababu sina taarifa zozote juu ya uteuzi wa CAG mpya. Nasubiri kupata taarifa rasmi ya termination kwa sababu niko safarini kikazi - Prof. Mussa Assad akizungumzia uteuzi wa CAG mpya Nilipoteuliwa nilipewa barua ya uteuzi iliyoeleza mambo kadhaa ya kisheria...
  15. CAG Prof. Assad astaafu, Charles Kichere ateuliwa kuwa CAG mpya

    Rais John Magufuli leo Novemba 3 amemteua Charles Kichere kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) akichukua nafasi ya Prof. Mussa Assad Prof. Assad aliteuliwa na Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete wakati wa utawala wake na kuapishwa Novemba 2014. BAADHI YA VIFUNGU VYA SHERIA/KATIBA...
  16. Kwanini Zitto anamuogopa CAG Mpya?

    Hofu hii kwa kiongozi wa Kudumu wa ACT sio ya kawaida na kilio chake kina kelele ya uchungu mkubwa. Tusubiri makubwa zaidi? Zitto hofu yako kwa Charles Kichere ni nini haswa?
  17. L

    Wapinzani waja na mbinu mpya ya kuiba kura uchaguzi wa serikali za mitaa

    Wapinzani wameona jinsi gani Rais MAGUFULI akipambana kuleta maendeleo ya kweli katika Nchi yetu ya Tanzania,Hata baadhi ya wapinzani wanamkubali sana Magufuli lakini kwa kuwa wao wameshaapa kuwa wapinzani hawana jinsi bali ni kuendelea kumwaga sumu kwa wananchi ili ionekane wao ndio watu...
  18. Muonekano wa Geita mpya

    Geita mpya inaonekana kupendeza kweli kweli kama inavyoonekana kwenye picha.Pongezi kwa Mhe, Rais Dr.John Pombe Magufuli kwa kusimamia vyema rasilimali za nchi yetu ili zituletee maendeleo vile vile pongezi kwa Mheshimiwa Contantine John Kanyasu mbunge wa Geita Mjini na naibu waziri Mali asili...
  19. Mradi wa ujenzi wa Meli mpya na Chelezo washika kasi

    Mkurugenzi wa Idara ya Habari – MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi alitembelea mradi wa ujenzi wa meli ya kisasa ambayo ni meli kubwa kuliko zote katika Ukanda wa Afrika Mashariki pamoja na ujenzi wa chelezo kwa ajili ya matengenezo na marekebisho ya meli mbalimbali ikiwa...
  20. Mfumo mpya ununuzi wa korosho kuvuna bil.720/

    MFUMO mpya wa ununuzi wa korosho kwa msimu wa mwaka 2019/2020, unatarajia kuwaingizia wakulima Sh bilioni 720. Tayari mfumo huo umeanza kwa mafanikio, baada ya minada ya kwanza iliyofanyika juzi katika Wilaya za Tandahimba na Masasi, ambapo vyama viwili vikuu vya Ushirika vya TANECU na MAMCU...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…