mpya

  1. Bonde la Baraka

    Mjadala: Leseni inapokwisha muda wake ni sahihi dereva kuilipia kisha kupewa mpya bila kupewa mafunzo tena?

    Kuna vitu mtu unashindwa kujua lengo la serikali zetu hizi, dereva anapewa leseni, anaendesha gari kwa miaka fulani kisha inachuja (expire). Inampasa alipie kiasi fulani kisha apewe kadi (leseni) nyingine. Lengo ni kudhibiti ajali barabarani au kuongeza mapato? Kama lengo ni kuongeza mapato...
  2. Analogia Malenga

    Uuzaji wa silaha waongezeka kote duniani yasema ripoti mpya ya SIPRI

    Ripoti mpya ya Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa Amani mjini Stockholm SIPRI, inasema uuzaji wa silaha uliongezeka kwa asilimia tano kote duniani mwaka elfu mbili kumi na nane. Ripoti hiyo inasema Marekani ndiyo nchi inayoongoza katika biashara hiyo na kwamba kutokana na soko lake, mapato ya...
  3. crome20

    Naomba kujuzwa kuhusu aina mpya ya POP

    Kama kuna mwenye kuelewa kuhusu matumizi, faida, gharama za aina mpya za P.O.P wanasema ni za fibre glass na nyepesi. Je unaweza kuitumia zaidi ya mara moja baada ya kuifungua/kuitoa? Gharama za kufunga na kununua zikoze? Msaada please maana hii POP niliyofungwa aka "Mhogo" ni kama kilo 3 yaani...
  4. Mwl.RCT

    Mwanza: Uwekaji Jiwe la Msingi miradi ya Ujenzi wa Meli Mpya , Chelezo na Ukarabati wa M.V Victoria na M.V Butiama katika Ziwa Victoria

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli anaweka Jiwe la Msingi miradi ya Ujenzi wa Meli Mpya , Chelezo na Ukarabati wa M.V Victoria na M.V Butiama katika Ziwa Victoria Jijini Mwanza. Sherehe zinazofanyika Katika Bandari ya Igogo Jijini Mwanza.
  5. Mr Why

    Audio Mpya

    Hello nimewaletea Audio Mpya hebu tusikilize alafu mtoe mawaidha yenu.
  6. CalvinKimaro

    Sakata la mawaziri wakuu wastaafu linahitaji tafakuri mpya

    Nijuavyo ofisi ya kiongozi mkuu mstaafu ni ofisi ya umma. Yaani public office. Na kwa mujibu wa katiba yetu public office ni mali ya serikali iliyo madarakani. Haiwezekani pawe na ofisi ya umma ambayo Mtendaji mkuu wake ni mpinzani wa serikali iliyo madarakani! Tumeshuhudia mawaziri wakuu...
  7. Slowly

    Wimbo wa Rayvany mpya unaoitwa naogopa ni moto

    Nipende Kwa kusema Tu , kuwa huyu kijana ana kipaji cha pekee hasa kwenye utunzi wa nyimbo za kubembeleza ,... Katika series ya nyimbo alizotoa hvi karbuni , huu wimbo wa naogopa nimeuelewa, bonge moja la pini, nauweka group moja na Mbeleko, pamoja na i love you Npo hapa nainjoy na hili pini
  8. J

    CHADEMA kupoteza halmashauri zote inazoziongoza kabla ya mkesha wa mwaka mpya mamia ya madiwani wake kuhamia CCM

    Nimetaarifiwa na kada mkongwe wa CCM aliyeko Zanzibar kuwa mwezi wa December 2019 madiwani zaidi ya 100 wa Chadema na ACT wazalendo watahamia CCM katika kuunga mkono juhudi za mh Rais Magufuli. Inaelezwa kuwa Chadema itapoteza halmashauri zote inazoziongoza zikiwemo zile za majiji, manispaa na...
  9. Jakamoyo msoga

    Offer ya haraka, photocopy machine ya 1,000,000 inauzwa 700,000 ni mpya

    ofisini machinga Complex Wasiliana na 0747 668 944
  10. Barbarosa

    Katiba mpya imeshindwa kuwapa Urais, sasa hawaitaki

    Hizi kelele zote za Katiba mpya na waliofanikiwa kuitengeneza tena kwa damu (2007/08) haikuwa na lengo la kumsaidia mwananchi ingawaje wananchi walidanganywa hivyo. Lengo lake lilikuwa ni power, kuna Wanasiasa waliotaka power sasa katiba iliyokuwepo ilishindwa kuwapa uongozi, wakaikataa kuleta...
  11. Influenza

    Tanzania yatangaza Hifadhi za Taifa mpya tatu na kufanya Hifadhi Taifa kufikia 22

    Sehemu ya Pori la Akiba la Selous lenye ukubwa wa Kilometa za mraba 30,893 limegeuzwa kuwa Hifadhi ya Taifa ya Nyerere kama alivyoagiza Rais Magufuli Hifadhi hiyo inaanza rasmi Novemba 19 baada ya Rais Magufuli kuweka saini kwenye Tangazo la kuanzisha Hifadhi hiyo na na Bunge kupitisha azimio...
  12. Erythrocyte

    Kuelekea sikukuu ya Christmas na Mwaka Mpya, wanaoenda kuhesabiwa waguswa na TRA

    Habari kamili hii hapa. Je, maeneo yaliyotajwa hayana mameneja wa mikoa, kwanini Meneja wa Kilimanjaro ndiye awe msemaji wao?
  13. Mystery

    GE2020 Hii ndiyo fursa pekee kwa wapinzani kuidai Tume mpya ya uchaguzi iliyo huru hadi ipatikane

    Wakati dunia nzima ikishuhudia uhuni wa hali ya juu, unaofanywa na serikali ya CCM katika kuekekea uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika tarehe 24 mwezi huu, vyama vya upinzani nchini, wananchi walio wengi pamoja na viongozi wa dini, wameendelea kutoa mwito kwa Serikali...
  14. battawi

    Natamani vyama vya upinzani viunde UKAWA mpya sasa mpaka katiba ipatikane

    Hayati mchungaji Mtikila wa DP aliwahi kuwahimiza sana wapinzani kupigania katiba mpya kwanza kabla ya kukimbilia kushiriki chaguzi mbali mbali kwa katiba iliyopo ambayo imeipa CCM meno ya kufinyanga matokeo ya uchaguzi na ama kuweka wasimamizi wa tume ya uchaguzi makada. Aliwahimiza wenzake...
  15. Miss Zomboko

    Shirika la mafuta la Iran limegundua hifadhi mpya yenye kiwango kikubwa cha mafuta

    Rais wa Iran, Hasan Ruhani, amesema kwamba kiwango cha mafuta kilichopo nchi hio kitaongezeka kwa takribani theluthi moja ya kiwango kilichopo hivi sasa kutokana na hifadhi mpya ya mafuta kugunduliwa nchini humo. Kituo cha runinga cha Iran kiliarifu kwamba Ruhani alikuwa akihutubia wananchi...
  16. B

    Rais wa Bolivia ajiuzulu na kutanganza uchaguzi mpya kutokana na machafuko nchini humo

    November 10, 2019 La Paz, Bolivia Jeshi lamlazimisha Rais kujiuzulu Bolivia Rais wa Bolivia Mhe. camarade Evo Morales ameachia ngazi bila kutegemea leo jumapili na kutangaza kujiuzulu kufuatia mbinyo wa kisiasa baada ya kudai kuwa ameshinda uchaguzi kwa kipindi cha nne, uchaguzi na matokeo yake...
  17. Chief Kabikula

    Madai ya Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi ndio mtihani uliobaki kwa upinzani nchini

    Baada ya CCM na Serikali yake kusalimu amri. Kilichobaki kwa upinzani sasa hivi ni kutoshiriki uchaguzi wa aina yoyote ile mpaka Serikali ikubali mchakato wa kupata tume huru ya uchaguzi na katiba mpya. Kama Wapinzani sio wasaliti wa watanzania mtayazingatia haya.
  18. Boniphace Kichonge

    Uteuzi: Chuo cha Kumbukumbu ta Mwalimu Nyerere chapata Mkuu mpya. Wenyeviti wa Bodi nne waendelea na nyadhifa zao

    Mhandisi Emmanuel Korosso anaendelea kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) Pia, Dkt. Alexander Lugatona Kyaruzi ameteuliwa kuwndelea kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Wakati huo huo, Joseph Odo Haule anaendelea...
  19. FRANCIS DA DON

    Napendekeza serikali ibadilishe noti zote na kuingiza design mpya kwenye mzunguko

    Nadhani ni wakati sasa wa kuflush noti zote zilizopo sasa na kudesign mpya zitakazoingizwa kwenye mzunguko kupitia mabenki. Hii itasaidia kuzifurumusha pesa zote chafu zilizo nje ya mfumo wa kibenki, kuna matrilioni ya pesa chafu yamefichwa chini ya uvungu wa vitanda, hii ndio njia rahisi ya...
  20. Makanyaga

    Wapi wanauza Battery Mpya za Laptop hapa Dar?

    Naomba tafadhali kama kuna mtu humu jukwaani anayejua sehemu ambayo wanauza Battery Mpya za Laptop hapa Dar, anijuze. Mubarikiwe na Bwana
Back
Top Bottom