mpya

  1. J

    Rais Magufuli amualika Sultan mpya wa Oman kutembelea Tanzania wakati wowote

    Rais Magufuli amemualika Sultan mpya wa Oman kuitembelea Tanzania wakati wowote. Salamu za Rais Magufuli zimetolewa na Waziri wa mambo ya nje Prof Kabudi aliyeko nchini Oman alikotumwa na Rais Magufuli kutoa salamu za pole kufuatia kifo cha Sultan wa nchi hiyo. Source: Channel ten
  2. FRANC THE GREAT

    Israel: Ujenzi wa mfumo mpya wa ulinzi wa chini ya ardhi

    Israel imeanza hii leo kuchimba eneo la mpaka wake na Lebanon kwa ajili ya kufunga mfumo wa kujilinda utakaopita chini ya ardhi hii ikiwa ni mujibu wa jeshi la nchi hiyo. Luteni kanali Jonathan Conrius amesema kwenye mfumo huo kutafungwa vifaa vya kutambua shughuli zozote za uchokozi. Amesema...
  3. matokeotz

    Naomba kujua bei ya Bajaji Tanzania

    Habari, Nafikiria kumfungulia mdogo wangu biashara ya Bajaji ili apate kitu cha kufanya ila sijui biashara hiyo sana. Je, biashara ya kuendesha Bajaji inalipa? Kwa siku mtu anaweza pata kiasi gani? Bei ya Bajaji mpya kiasi gani? Iliyo tumika kiasi gani? Kingi chochote nijue? Asante sana
  4. Kiburi si uungwana

    Una uhitaji wa laptop mpya na bajeti yako ni ndogo? Basi hapa ndio mahali pake

    DELL LATITUDE 3340 RAM 4GB HDD 500GB PENTUM TSH 420000 MAIL rafaijumba@gmail.com call; 0676949728
  5. Aysenem

    Msaada: Kati ya boda boda mpya 1 na used mbili ipi ninunue

    Wakuu za mwaka mpya, Mwenzangu anataka kufanya biashara ya boda boda sasa ameniomba ushauri anunue used 2 au mpya moja na ana 1.8 M. Mimi nimemwambia anipe muda ili nimshauri vizuri, kwa kuwa mimi sijui chochote kuhusiana na biashara hii nikaona nije huku wakuu. Naomba pia kujuzwa utaratibu wa...
  6. Analogia Malenga

    TCRA yafichua utapeli mpya wa fedha mitandaoni

    Angalizo hilo limetolewa baada ya kuibuka kwa kundi la watu waliobuni mbinu mpya kwa kutumia fursa hiyo kufanya utapeli jijini Mwanza kwa kuwashawishi kuwa usajili wa laini za simu kwa alama za vidole kwa kutumia kitambulisho cha taifa unaendana na uhakiki wa akaunti ya benki ya mhusika...
  7. Jakamoyo msoga

    Ili kuepuka usumbufu wa kufuatilia passport yangu iliyopotea mwaka jana, siwezi kuomba mpya?

    Habari, Mimi nilikuwa na Passport ya zamani ya kusafiria lakini kwa bahati mbaya Ikapotea mwaka jana, ilikuwa sio ya kielectroniki. Je kuna madhara yeyote nikijaza kuomba ya electronic upya kama mtu ambaye ni mara yake kwanza kuomba Passport ya kusafiria? Nisieleze kama nimewahi kuwa na...
  8. K

    Rais Magufuli na CCM mpya kwa Tanzania imara: Falsafa inayojenga mtazamo chanya kwa watanzania juu ya CCM

    Tukiwa tumeuanza mwaka 2020, mwaka wenye tukio muhimu la uchaguzi mkuu , uchaguzi unaotazamiwa na wengi kuwa ndio uchaguzi utakaoanzisha mwanzo wa mwisho wa siasa za upinzani hasa wa vyama vya uchaguzi kama Katibu Mkuu wa CCM ndg.Dkt. Bashiru anavyopenda kuviita na muendelezo wa falsafa wa CCM...
  9. funaku

    Nawatikia heri ya mwaka mpya 2020

    Najua mmenimiss kiasi kwa kuwa sijapost sana hasa hasa miezi ya mwisho wa mwaka 2019. Napenda kuwaambia nawapenda sana wanajukwaa wenzangu. Bado nipo Gado sana representing Team Magufuli kisayansi ...naamini mnanielewa sana moyoni ila huwa mnanipinga hadharani. Bado nitaendelea kuwaletea...
  10. N

    Tarehe 21/1/2020, mwanzo mpya wa Tanzania mbovu

    Zile tafiti zinasomega Tanzania ni mojawapo ya nchi ambayo wananchi wake hawana furaha ni za kweli kabisa, hata hizi sikukuu zime reflect ukweli,umaskini umeongezeka kwa kiasi kikubwa katika awamu ya tanao Watu wamekata tamaa,hela hakuna, ubabe wa wenye mamlaka hausimuliku, Rais wa nchi ana...
  11. maganjwa

    Kwanini kanisa linaadhimisha misa siku ya mwaka mpya?

    Hili suala linanipa taabu sana la mwaka mpya. Kwa mfano mimi Mkatoliki mwaka wa Kanisa unaanza mwezi wa kumi na moja lakini siku ya mwaka mpya wa tarehe moja January linasherekea pia usiku na asubuhi kuna misa. Kwanini lisifanye hilo kwenye mwaka wa kanisa ambao unaanza mwezi wa kumi na moja...
  12. Barbarosa

    Muongo Mpya 2020-2030 unaanza leo!

    Leo 01.01.2020, tunaanza Muongo mpya wa Mafanikio. Kila la Heri Tanzania yetu!
  13. Nakfa

    Kwanini waislamu hawasherehekei Krismasi ila husherekea mwaka mpya?

    Asilimia 99.9 ya waislamu wote wa Tanzania wamesherehekea mapokezi ya mwaka mpya wa 2020 na wamefanya countdown vizuri tu. . Je wanafahamu historia ya kuanzishwa kwa sherehe za mwaka mpya CE? Je wanafahamu kalenda yao inasema leo ni tarehe ngapi, mwezi gani na mwaka gani? . Waislamu...
  14. Erythrocyte

    Nawatakia heri ya Mwaka mpya wa 2020 Viongozi, wanachama na wapenzi wote wa Chadema nchi nzima. Mungu yuko pamoja nanyi

    Hakuna haja ya maneno mengi, kichwa cha habari kinajieleza. Nimeamua kwa moyo wa dhati kabisa uliojaa upendo mkuu kuwatakieni Heri ya: Viongozi , wanachama na wapenzi wote wa Chadema ikiwa ni pamoja vyama rafiki vyote tunavyoshirikiana navyo kwenye harakati za ukombozi wa nchi yetu ...
  15. Complicator

    Uzi maalumu wa kutuma salamu za mwaka mpya

    Huu ni uzi maalumu wa kutuma salamu za mwaka mpya,kwa yeyote nje na ndani ya nchi... Mimi natuma salamu kwa Rais wangu mpendwa Mheshimiwa John Pombe Magufuli,ninamtakia afya njema na aongezewe busara zaidi na weledi,akapate nguvu zaidi na aepushwe na hila zote za shetani. Mwaka 2020 ukawe...
  16. Zitto

    Salamu za kuukaribisha mwaka mpya wa 2020 kutoka kwa Mshauri Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad kwa Watanzania

    SALAMU ZA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA WA 2020 KUTOKA KWA MSHAURI MKUU WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO, MAALIM SEIF SHARIF HAMAD KWA WATANZANIA Nami nianze kwa kumshukuru Mola wetu Mtukufu kwa kutujaalia kuishuhudia siku ya leo ambapo tunauaga mwaka 2019 na kuukaribisha mwaka 2020. Lakini leo siyo tu...
  17. Zitto

    ACT Wazalendo iko tayari kuwaongoza Watanzania katika zama mpya

    Hotuba. Ndugu Watanzania, Nichukue nafasi hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujalia uzima na afya uliotupa nafasi ya kuzungumza leo. Mwaka uliomalizika ulikuwa na changamoto nyingi sana kwa ujumla ulikuwa mwaka mbaya kwa maeneo muhimu ya demokrasia, Utawala Bora, Uchumi na Maendeleo kwa...
  18. titho joel

    nauza laptop mpya aina ya dell latitude

    Nauza laptop aina ya dell Inter core i3 RAM GB 4 Internal storage GB 300 Generation ya 3 Charge masaa 4 Bei 350,000 Karibu kwa mawasiliano piga 0715796040 au follow WhatsApp
  19. X_INTELLIGENCE

    Tahadhari: Wizi mpya kwa wenye magari

    Kuna wizi mpya umeingia, mjini haswa kwa wenye magari yanayotumia remote control. Nadhani wataalamu wameshatengeneza remote yenye kuweza kuingiliana na remote nyingine hivyo kwa sasa remote za magari sio salama hata kidogo. Kinachofanyika haswa sehemu za parking za public, kwenye parking...
  20. F

    Kweli Siasa za CCM Mpya ya Magufuli si mchezo!

    Siasa za CCM Mpya ya Magufuli si mchezo ! Leo Comrade Mwigulu Lameck Nchemba amenywea na kupotea kabisa! Kiburi ,kujikweza na kuvaa maskafu ya Bendera ya Taifa hadi chooni kwisha kabisa! Timu yake ya Singida United inatupiwa virago nje na NHC na kupigwa mnada kwa kushindwa kulipa Tshs.3...
Back
Top Bottom