mpya

  1. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania EWURA yatangaza bei kikomo mpya ya mafuta ya Petroli

    KUMB: PPR/2020 - 06/1 TAARIFA KWA UMMA KUHUSU BEI KIKOMO ZA BIDHAA ZA MAFUTA YA PETROLI KUANZIA JUMATANO, TAREHE 3 JUNI 2020 Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), inatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini. Bei hizi zitaanza kutumika kuanzia Jumatano...
  2. MrsPablo1

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Bajaji mpya iliyosajiliwa inauzwa million 6

    Ilianza kazi tarehe moja mwezi wa tatu, ikafanya kazi miezi 2 dereva akazingua, so imepaki toka mwezi wa 5 , mwenyewe hataki tena biashara ya bajaji 📞 0758851175, 0713220021
  3. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Imetosha, hakuna haja ya silaha mpya maana za sasa tu zikitumika dunia itafubaa

    Hapa nazungumzia weapons of mass destruction Kwa sasa silaha zilizopo zinatishia hali ya usalama wa dunia nzima endapo zikitumika hasa na watu wenye nia ovu. Silaha zikiendelea kuzinduliwa nahisi siku ikitokea hata ugomvi wa russia na china basi bara lote la asia linaweza kumeguka
  4. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Wana Yanga SC Wenzangu sasa tushindwe Wenyewe Kubeba Kombe la VPL kwani kwa ' Fixture ' hii mpya Simba SC hachukui Ubingwa tena!

    Kama Mabosi wa GSM wakiweza Kuongea vyema na Marefarii wa Kibongo na hivi wengi sasa wana Njaa kutokana na CORONA hii basi Yanga SC yetu itashinda Mechi zetu zote zilizobaki na Kuiduwaza Timu nisiyoipenda kabisa duniani ya Simba SC. Tuwaombe akina GSM, La Liga na Klabu ya Sevilla waje watusaidie...
  5. Trubarg

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Nauza bati Mpya

    Migongo mipana Kampuni: Ando Gauge28 Rangi carrot Mahali Dodoma Vipimo Upana cm 190 Urefu 6.0m lipo 1 4.8m Zipo 3 na 3.6m ipo 2 Jumla mita 27 Bei 13000 kwa mita Mwenye interest tuonane
  6. Superbug

    JamiiForums Tanzania Nimesikitishwa na CHADEMA kutoisifu Serikali kujenga Ikulu mpya maana kimsingi wao ndio wapangaji wajao

    Naona CHADEMA haikufanya sawa kumpongeza mh Rais Magufuli kwa kujenga Ikulu mpya. Ni Jambo lililowazi binadamu akifikisha miaka 60 jua limeshakuchwa anajiandaa kukusanywa na ndugu zake yani kuaga Dunia. Sasa hapo vijana ndio wanakuwà warithi wa nyumba na mali za baba. Kwa umri wa CCM ile Ikulu...
  7. J Mbungi

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba mpya ya kisasa inauzwa DSM Madale Mwisho 21,000 (48,000,000)

    NYUMBA MPYA YA KISASA INAUZWA DSM-MADALE MWISHO $21,000 (48,000,000) Karibu wadau "Hii ni nyumba mpya kama inavyoonekana kwenye picha Ipo Dar es salaam - Madale mwisho..barabara ya kuelekea MBOPO (Njia panda ya Msumi-Mbezi). Bei ni dola $21,000 au Milioni 48 za kitanzania )..(Maongezi kidogo...
  8. Malaika Gabrieli

    JamiiForums Tanzania Member mpya ndani ya JAMIIFORUMS

    Habari zenu member wa JamiiForums. binafsi nina furaha sana kujiunga katika mtandao huu wa kijamii (JamiiForums), naomba kukaribishwa.
  9. Influenza

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya Uchunguzi wa Maabara: Mashine moja ilikuwa na hitilafu. Upimaji wa COVID19 umehamishiwa katika Maabara mpya iliyopo Mabibo

    Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ametoa ripoti ya Uchunguzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii na kueleza mambo kadhaa yaliyogunduliwa na Kamati teule ya Uchunguzi Amebainisha kuwa Kamati imegundua uwepo wa Mapungufu katika mfumo wa kimuundo, kiutendaji na uendeshaji wa kitaaluma katika upimaji wa...
  10. TODAYS

    JamiiForums Tanzania Hii ndege za ATCL ni mpya au ni sababu ya covid-19?

    Wadau nimekutana na hizi picha kwenye moja ya ukurasa wao na sijapata jibu mujarabu kama hii ni moja kati ya zile ndege zilizopo so wamebuni njia mpya ya kuingiza amafaranga au ni mpya na ndiyo maana viti bado vina nylon? Wataalam tujuzane...
  11. A

    JamiiForums Tanzania Mimi mgeni humu, ushirikiano wenu niwa thamani sana

    Mimi ni mgeni humu ni mara ya kwanza kabisa kutembelea jami F naombeni mnipokee
  12. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Burundi kuchagua Rais mpya leo, Mei 20 baada ya Nkurunziza kuongoza kwa miaka 15

    HATIMAYE Uchaguzi Mkuu wa Burundi uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu na jumuiya ya kimataifa, utafanyika kesho, huku ukielezwa kuwa ni mwanzo mpya wa demokrasia katika nchi hiyo iliyokubwa na changamoto mbalimbali za kukosekana utulivu wa kisiasa na kijamii. Wakati uchaguzi huo ukifanyika...
  13. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa mpya unaohusianishwa na Covid19 wawashambulia watoto

    Watoto wengi nchini Uingereza na Marekani wameathirika na ugonjwa usio wa kawaida unaosababisha uvimbe wenye kuhusishwa na #CoronaVirus Watoto 100 nchini Uingereza wameathirika na utafiti unaonesha kwamba dalili kama hizo zimeonekana kwa watoto wa sehemu nyengine barani Ulaya Dkt Mike Ryna...
  14. Richard

    JamiiForums Tanzania Serikali Mseto nchini Israeli chini ya Benjamin Netanyahu na Benny Gantz kuapishwa Alhamisi. Mike Pompeo yupo Jerusalem kuhakikisha utulivu unakuwepo

    Serikali mpya ya dharura ya umoja wa kitaifa inatarajiwa kuapishwa rasmi nchini Israeli mapema kesho. Serikali hiyo itaundwa na vyama vya Likud, Blue and White, Shas,United Torah Judaism, Labor na chama cha Derech Eretz. Waziri mkuu Benjamin Netanyahu anatarajiwa kutangaza ajenda ya Marekani...
  15. Dr Top Manyota

    JamiiForums Tanzania Ajira mpya za Madakitari nje nje

    Wizara ya Afya imetoa majina ya Madakitari daraja la pili walio ajiriwa wapya
  16. F

    JamiiForums Tanzania Msemo mpya kabisa waibuka kwenye mitandao ya kijamii unaujua?

    Ukisoma mitandao mingi ya kijamii watu siku hizi wana kamsemo ka kumalizia hoja zao. Utakuta mtu anatiririka hoja zake wee mwisho anafunga kwa; Tulikosea mahali 2015. Wanamaanisha nini?
  17. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri kuhusu mahusiano haya ya mama yangu na huyu mwanaume

    Habari zenu, Nimekuja na ID mpya ili kuficha utambulisho wangu wa awali ni kuomba msaada wa ushauri. Naombeni ushauri na njia za kutatua tatizo hili.Ipo hivi kwenye tumbo la Mama yetu tulikuwa watoto 7 hadi Leo hii tupo 4. Katika watoto 7 tumezaliwa na Baba tofautitofauti 4. Katika hao baba...
  18. M

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Tunauza bidhaa mbalimbali, Tunapatikana Kariakoo Ndanda st

    Machine mpya kabisa kwa ajili ya kukatia nyama,samaki na mifupa Ni imara na haikati misumeno Ina watts 550 Ina sehemu ya kusagia nyama Ina warranty mwaka mmoja Bei 1,350,000 tu Tunapatikana kariakoo ndanda st Tunadeliver free kwa dar pia. Call/text/WhatsApp 0656666662.
  19. chakii

    JamiiForums Tanzania Waziri Ummy: Serikali haitoi taarifa za COVID-19 kutokana na zoezi la uhakiki wa maabara ya Taifa

    Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu amesema sababu ya kutotangaza mwenendo wa ugonjwa wa Corona ni kutokana na maboresho yanayofanyika kwenye Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii, ambapo kuna marekebisho yanafanyika na ndani ya siku chache marekebisho...
  20. JAYJAY

    JamiiForums Tanzania Ufisadi mpya Tanzania ni wa madaraka?

    Kwa sasa kelele zimekuwa nyingi sana nchini. Hapo kabla kelele nyingi za ufisadi wa kifedha na mali ulipigiwa sana kelele. Sasa sijui ule ulimalizwa au umezidiwa kelele na huu ufisadi mpya wa madaraka ambao unawza pia kuitwa ulevi wa madaraka? Ni nini hasa kinaendelea maana kelele zimekuwa...
Back
Top Bottom