Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 19,605
- 59,481
Published on Aug 17, 2020
Kuelekea Uchaguzi mkuu 2020 Chama cha Mapinduzi kimezindua kituo maalum cha mawasiliano lengo kuu likiwa ni kuhakikisha wanakuwa na mawasiliano ya karibu na wanachama na watendaji wa chama icho Katika kipindi cha uchaguzi mkuu Akizingumza mapema leo jiji Dodoma katibu mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally amesema kuwa mfumo huu ni matokeo ya uboreshaji wa utendaji na kuwasiliana na wanachama ambapo mpango huu alishapitishwa na Kamati Kuu ya Chama hicho
Kuelekea Uchaguzi mkuu 2020 Chama cha Mapinduzi kimezindua kituo maalum cha mawasiliano lengo kuu likiwa ni kuhakikisha wanakuwa na mawasiliano ya karibu na wanachama na watendaji wa chama icho Katika kipindi cha uchaguzi mkuu Akizingumza mapema leo jiji Dodoma katibu mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally amesema kuwa mfumo huu ni matokeo ya uboreshaji wa utendaji na kuwasiliana na wanachama ambapo mpango huu alishapitishwa na Kamati Kuu ya Chama hicho