Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,599
- 217,991
Kumbe sasa vinatakiwa kuanza saa 6 usiku badala ya saa 4 usiku , labda uchumi wa kati umesababisha watoto kuchelewa kulala .
Unaonaje masaa yote tukionyesha vipindi vya Tunatekeleza ?Hii Nchi ilifuga uchafu mwingi sana
Tcra imeturudisha kwenye maadili
Si mchezo Wacha waisome namba.Kumbe sasa vinatakiwa kuanza saa 6 usiku badala ya saa 4 usiku , labda uchumi wa kati umesababisha watoto kuchelewa kulala .
View attachment 1534526
Shetani hana rafikiSi mchezo Wacha waisome namba.
AfadhaliKumbe sasa vinatakiwa kuanza saa 6 usiku badala ya saa 4 usiku , labda uchumi wa kati umesababisha watoto kuchelewa kulala .
View attachment 1534526
Kunya anye kuku tu akinya Bata kaharisha sio?Mara mia kuliko kusikiliza porojo za yule mropkaji kutoka ubeligiji
Akili za kukaririshwaMwambieni mropokaji, Tanzania hatuwezi kuchagua pandikizi la Mabeberu
Afadhali ,sasa bado zile nyimbo za matusi za akina Domo & Co
Waifungie na online tv kutwa kuwarusha watu wenye asili ya kina delicious, Kuna wengine wasanii wanazungumxia mmbo ya kufamaniana, umbeeaa, mambo ya kurusha shuguli tu za harusi liveMara mia kuliko kusikiliza porojo za yule mropkaji kutoka ubeligiji
MkuuHii Nchi ilifuga uchafu mwingi sana
Tcra imeturudisha kwenye maadili
Anapoteza muda wake tu,watanzania weelewa kuliko yeye.Akaya seme hayo maneno kwenye umati wa watu.aone litakalo mkuta.Mkuu
Naona hii ya Bia yetu imerudi tena.... Natumai ya Kawe Alumni zamu yake itakuwa next month...
Vp mzigo kwaajili ya general election wameshawawekea nini?????
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzizi wa tatizo la msingi upo kwenye akili ndogo kuzidi kuaminiwa kuzitawala akili kubwa. Nobody cares about the essential inputs and throughputs, but only expectedly outputs.Kumbe sasa vinatakiwa kuanza saa 6 usiku badala ya saa 4 usiku , labda uchumi wa kati umesababisha watoto kuchelewa kulala .
Na hii ndo shida kuu hapa nchini kwetu... KILA MMOJA YUKO BIZE KUSEMA KAMA ULIVYOSEMA... Wengine utawasikia... nchi ilikuwa na wezi sana, nchi imeibiwa sana etc.. KATIKA HAO WANAOSEMA HAYO, HAKUNA HATA MMOJA ANAYEMTAJA MWIZI....!!!Hii Nchi ilifuga uchafu mwingi sana
Tcra imeturudisha kwenye maadili
Mkuu siasa imepigwa marufuku labda kusifu juhudi za awamu. Watu hawana pa kutolea malalamiko yao hasa ya dhidi ya serikali vinginevyo una risk mengi. Sehemu pekee iliyobakia kwa Wabongo ku release tension ni kwenye michezo. Ndio establishment ilipotufikishaWapige marufuku vipindi vya michezo asubuhi.
Asubuhi ni muda wa kufanya kazi na kuzalisha, aatu wakiamka ni kusikiliza micuezo toka asubuhi hadi sa 7, watafanya kazi sa ngapi?
Michezo ni burudani, burudani ina mchango wa kawaida kwenye pato la taifa, hata Marekani ambako wameendelea michezo na burudani mchango wake ni 15% lakini watu hawaamki sa 12 na vipindi vya michezo hadi sa 7 mchana.
Vipindi vya michezo kuwekwa asubuhi ni kuzidi kulemaza nguvu kazi. Michezo iwe jioni baada ya kazi, sio muda wa kazi.
Naunga mkono suala la kuvipangia muda wa usiku tena usiku mwingi vipindi vyenye maudhui ya ngono maana kwakweli imekua ni kero na kinyume na utamaduni wetu. Baadhi ya hivi vipindi huwezi kuvisikiliza ukiwa na mtu unayeheshimiana nae!Kumbe sasa vinatakiwa kuanza saa 6 usiku badala ya saa 4 usiku , labda uchumi wa kati umesababisha watoto kuchelewa kulala .
We binti hujawahi kuwa na akili kabisaHii Nchi ilifuga uchafu mwingi sana
Tcra imeturudisha kwenye maadili