Habari katika natumaini Tu wazima na wenye Nguvu,
Mimi kama Great God niliechagua kutumia jina la Mwenyezi MUNGU maana bila hatujui wengine tungekuwa vipi humu bali ni yeye ndo anajua,
Mimi kwangu naomba ijulikane tu kwamba uzi wowote ukianzishwa au nikianzisha basi nikireply basi kwangu huwa...
10 Julai 2020
Siasa za Tanzania na uchaguzi 2020. Kipindi cha Mwandishi wa habari mahiri, mwanadiplomasia na Mwanasheria wa Mahakama Kuu ndugu Jenerali Ulimwengu anazungumza na Bernard Membe.
Baada ya leo Halmashauri Kuu ya CCM ikiwa imeunga mkono kufukuzwa uanachama toka CCM siku ya...
Nimeamua ku-skip google kidogo maana ni kitu sikutegemea. Nimeshindwa kupata emoji iliyovaa headphones. Nikashtuka kidogo.
Naomba kuuliza kwa wenzangu kama nyie kwenu ipo?
Uzi Tayari.
KUHUSU KUNG’ATUKA KWA JPM
“ Iweje Rais Magufuli aende kinyume na wosia wa Baba wa Taifa na warithi wake. Hili la kuongeza muda, Rais Magufuli hawezi kukubali na hata CCM haiwezi kukubali…Rais Magufuli hata akishinda kwa 100%, baada ya muda wa muhula wa pili kuisha, hata ongeza hata siku moja. ”...
Kama Uzi unavyosema, natafuta paka kwa udi na uvumba. Yeyote mwenye paka mdogo ambaye ameacha kunyonya tuwasiliane kuanzia jukwaani hapa. Hata kwa Kibaha, Dar, hadi Mkuranga, na Kisarawe pia Bagamoyo maeneo yote hayo niko tayari kumfuata.
Karibuni.
Naishi Dar es Salaam.
Kumekucha uchaguzi mkuu 2020
Waziri wa Tamisemi Jaffo amesema Rais Magufuli hana sababu ya kwenda Kisarawe kufanya kampeni kwa sababu kazi zake ni kampeni tosha.
Jaffo amesema yeye si lolote si chochote lakini Rais Magufuli alimteua na kumkabidhi kwa maaskofu na viongozi wa dini wamuombee na...
Membe anasema:
Kuhusu kugombea ndani ya CCM:
Kuhusu kugombea ndani ya CCM, tukafikia mwafaka na Washauri, Tukafikia uwamuzi kwamba, sisi hatujamkosea mtu, sisi hatujawa waharifu, sisi hatuna uoga na tunaniamini, sisi tuna haki kabisa kabisa ya kugombea urais huu kwa sababu tunalindwa na Katiba...
Asubuhi ya leo hapa Ubungo (maeneo ya jirani kabisa na wanapojenga Ubungo Interchange) lilipita tangazo ambalo sikulisikia vizuri ila kitu nachokumbuka katika tangazo lile ni Wananchi wa eno hili kuhusishwa na shughuli ya kumpongeza mheshimiwa kuchukua form ya kugombea.
Nilitafakari na...
Natazama 360 Clouds naona Hassan Ngoma anambana Spika maswali mpaka anajichanganya kuhusu suala la Mbowe.
Kuhusu sheria ya habari analalamika lalamika tu kuwa wapinzani wanapendelewa na mitandao ya kijamii na waandishi wa habari.
=====
Katika Mahojiano ya Spika Job Ndungai na Clouds Media...
Rais wangu, hivi unajua kuwa pamoja na kukupinga sana ila ni miongoni mwa watendaji wako wasaidizi wakuu ndani ya serikali? Kwa taarifa yako ninasimamia moja ya taasisi ambazo kwa siku za hivi karibuni umeelekeza macho yako yote pale. Nipo na vijana wako unaowatuma kila siku na mambo yanaenda...
Filimbi ya uchaguzi mkuu imeshapulizwa kwenye vyama vya siasa hapa nchini. Walio wanasiasa na wanachama wa vyama husika, tayari wametingwa na harakati za uchaguzi ndani ya vyama vyao na hata wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Mijadala mingi mitaani na mitandaoni ni kuhusu hatma ya Wabunge wa...
Wakuu habari,
Nasikitishwa na ukiukwaji katiba na kanuni unaotaka kufanywa CCM.
Baba wa taifa alituasa kuwa yeye ndiye wa mwisho kutawala kwa muda mrefu kwenye nchi hii na asitokee yeyote mwenye tamaa kujaribu kutawala kwa muda mrefu.
Nimeshangazwa na mwanachama mwenzangu Mbunge Kessy wa...
Nimemsikia Mbunge mmoja akiongea Bungeni akitaka Bunge libadilishe Katiba ya Nchi ili kumfanya Rais Magufuli aendelee kutawala hata baada ya kumaliza kipindi chake cha kikatiba cha miaka 10. Kama hilo halitoshi, Spika Ndugai amesikika akimhakikishia Mbunge husika kuwa kazi hiyo ya kubadilisha...
Mwaka flani nikiwa sekondari likizo nlienda kwa babu.babu yangu ni mwindaji miaka mingi sana.anafahamika kijijini. Na zaidi zaidi ni mpenzi wa nyama ile mbaya. Huwa hatumii maharage hata kwa shida. Yeye ni nyama na anajua namna ya kuitunza hata mwezi akaila.
Nlikuwa form four mzee alinambia...
Habari za mida hii wana jukwaa,
Mimi ni mgeni wenu, Baada ya kukaa muda mrefu kama mchunguliaji tu hapa jukwaani; leo nimechukua hatua moja zaidi na kuamua kujiunga na kuwa sehemu ya wanachama wa jukwaa hili adhimu lililosheheni elimu na maarifa mbalimbali.
Wasalam.
Habari member wenzangu wa JF,
Mimi ninamtafuta baba yangu ambaye hata kwa sura simfahamu ila kwa maelezo ya mama jina la baba ni STANLEY JACOB FIFI na ni mwenyeji wa IRINGA lakini alikuwa anafanya kazi Dar na huko ndiko walikokutana na mama.
Mama hajawa muwazi kwangu nahisi pengine...
Katika sekta ya utalii nchini ambayo Rais Magufuli amesema itarejesha huduma zote wiki ijayo, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe amebainisha kuwa tayari baadhi ya watalii wameshaanza kuingia nchini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.