Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,757
"Msininyanyase, mimi si mpinzani," alisikika kada wa CCM wakati polisi wakimbembeleza kama mwana mtukutu apande gari wamsindikize kwenye tawi lao mjini Dodoma baada ya kufanya maandamano wakilalamikia uteuzi wa wagombea wao.
Bila shaka angekuwa mpinzani hicho kipigo ambacho angekipata kutoka mikononi mwa polisi angekuja kuwasimulia wajukuu zake lakini badala yake polisi wanaonekana wakimsihi apande gari na kutoa maelekezo kama vile ni makada wa CCM.
Sasa si ajabu tukashuhudia haya:
Pia soma > Uchaguzi 2020 - Vurugu zatawala ofisi za CCM baada ya walioshinda kura za maoni Udiwani kukatwa
Bila shaka angekuwa mpinzani hicho kipigo ambacho angekipata kutoka mikononi mwa polisi angekuja kuwasimulia wajukuu zake lakini badala yake polisi wanaonekana wakimsihi apande gari na kutoa maelekezo kama vile ni makada wa CCM.
Sasa si ajabu tukashuhudia haya:
- Msemaji wa Polisi kimyaaa!
- Msemaji wa Msajili wa vyama kimyaaa!
- Msemaji wa Tume ya uchaguzi kimyaaa!
- Msemaji wa vyombo vya dini kimyaaa!
- Msemaji wa serikali ya Mkoa kimyaaa!
- Msemaji wa serikali kuu kimyaaa!
Pia soma > Uchaguzi 2020 - Vurugu zatawala ofisi za CCM baada ya walioshinda kura za maoni Udiwani kukatwa