Chris Mungoreme
Member
- Aug 10, 2011
- 72
- 14
Mdogo wangu kapata 2 ya 11 (DDC) anataka kusoma medical,is it possible?
=====
Habari wanaJF,
Leo Baraza la mitihani la Tanzania NECTA limeyatoa matokeo ya kidato cha sita, kwa uzoefu wangu nimeona ni vyema tuanzishe uzi huu maalumu ili tushauriane, tueleweshane, tuambiane nini cha kufanya na namna ya kuchagua vyuo.
Ikumbukwe TCU wana vigezo kwa ajili ya kujiunga na elimu ya juu.
Karibuni.
=====
Habari wanaJF,
Leo Baraza la mitihani la Tanzania NECTA limeyatoa matokeo ya kidato cha sita, kwa uzoefu wangu nimeona ni vyema tuanzishe uzi huu maalumu ili tushauriane, tueleweshane, tuambiane nini cha kufanya na namna ya kuchagua vyuo.
Ikumbukwe TCU wana vigezo kwa ajili ya kujiunga na elimu ya juu.
Karibuni.