2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 2,982
- 4,457
Mimi sio mwanasiasa wala sina chama nimempenda sana Magufuli kwa kiasi chake. Katika kasoro kubwa katika utawala huu ni mamlaka ya kukusanya kodi yani TRA.
Kwanza unakadiriwa kodi au kupandishiwa muda wanaotaka wao,kama una biff na afisa utakayemkuta ndio atakuangamiza kabisa.
Kuna watu wanalipa kodi na kuna wengine hawalipi kodi inategemea na mtawala katoka eneo lenu.
Swali ambalo huwez pata jibu lake
NI KIGEZO GANI KINATUMIKA KUTAMBUA HUYU MTU NI MLIPA KODI NA HUYU SIO MLIPA KODI?
Mana waliofilifika wengi sasa hivi wanapiga hela kuliko kipindi wakiwa walipa kodi. Akili kichwani.
TRA inatakiwa ifumuliwe isukwe upya
Kwanza unakadiriwa kodi au kupandishiwa muda wanaotaka wao,kama una biff na afisa utakayemkuta ndio atakuangamiza kabisa.
Kuna watu wanalipa kodi na kuna wengine hawalipi kodi inategemea na mtawala katoka eneo lenu.
Swali ambalo huwez pata jibu lake
NI KIGEZO GANI KINATUMIKA KUTAMBUA HUYU MTU NI MLIPA KODI NA HUYU SIO MLIPA KODI?
Mana waliofilifika wengi sasa hivi wanapiga hela kuliko kipindi wakiwa walipa kodi. Akili kichwani.
TRA inatakiwa ifumuliwe isukwe upya