mimi

  1. T

    Nionavyo mimi: Miaka kumi ya Rais Magufuli umasikini utaongezeka sana

    Nimekaa nakutafakari sana pamoja na kuchambuwa sera na mikakati ya serikali y awamu ya tano ninachokiona huko mbeleni hali ya watanzani kwenye kipato itakuwa mbaya sana jambo pia litasababisha ukosekanaji wa ajira. Mkuu wa Taifa aka buludoza la mafisadi ataenda pia kuubuludoza uchumi kwakuwa...
  2. Fatma Abrahman1

    Nawashwa kwenye makalio, yametokea kama mashilingi naombeni ushauri

    Habari zenu jamani, Naombeni msaada mimi nawashwa kwenye makalio na nimefanya kama mashilingi ni mwezi wa 6 sasa nipo na hilo tatizo nmetumia dawa kibao za ngozi za kupaka na kunywa lakini hadi leo hamna nafuu naombeni mnisaidie.
  3. J

    Anataka mtoto na mimi

    Nina mpenzi tumependana vya kutosha yeye ni single mother na mimi nina ndoa na watoto. Alinishauri niishi naye nikazugazuga alivyoona hivyo akaniomba kuwa anataka mtoto na mimi. Nifanyage japo na mimi nimempenda Kiana tatizo ndoa yangu
  4. T

    Mimi napingana na BOT uchumi wetu haupo vizuri

    Mh Rais na viongoz wote wa Taifa hili mimi napingana na Prof Luoga eti uchumi wetu upo on Track na eti tuna hazina kubwa ya USD. Mimi nakataa nakataa kwa elimu hii hii mlionipa nawaambia no na mh Rais nakuomba usikubali majibu marahisi kwenye majibu magumu. Kwanza nilazima tukumbuke Bop ya...
  5. G

    Vita ya Corona: Nahodha wetu katelekeza chombo Baharini, tutaponaje?

    Hapa naandika kwa majonzi kwa kusikia jinsi Watanzania wenzetu wanavyougua Corona na wengine kupoteza maisha. Poleni nyote. Kinachoumiza zaidi ni namna baadhi yetu tunavyoteteana hata kunapokuwa na uzembe kwenye hatua zinazochukuliwa kutulinda na Corona. Kuna wanaosema Nahodha wetu ni shujaa...
  6. Mt Paulo

    Natafuta kiua gugu

    Habari wapendwa, mimi ni mkulima nilipenda kujua kuhusu kiua gugu ambacho kina nguvu zaidi. Dawa ya kuua majani
  7. CCM Music

    Nani yupo sahihi? Ni mimi ama jamaa?

    Jamaa kwake ana mtoto wa kike wa rafiki yake ile kisasa wanaitana 'family friend'. Mtoto huyu yupo Form 4. Aliletwa kwa jamaa ili aweze kusoma kwa sababu Kwa jamaa kidogo mazingira ni rafiki sana, na ni karibu sana na shule. Shule zetu hizi za kata. Binti akawa haraki kufuata utaratibu wa...
  8. M

    Mimi Ni Mtanzania ila Trump akishindwa uchaguzi wa November, nitafurahi na kushangilia kuliko hata Wamarekani wenyewe

    Kwa kweli Huyu Trump tokea aingie madarakani amekuwa tishio kwenye mradi unafadhiliwa na Marekani katika Taasisi ninayofanyia kazi kwa Sasa, na Mara kadhaa ametishia kusitisha mradi huo ingawa tumekuwa tukiponea chupuchupu Tena kwa kudra za Mwenyezi Mungu. Mimi Ni miongoni mwa watu...
  9. Witmak255

    Sitaki kuamini kama mimi ni kilaza namna hii

    Habari zenu wanajamvi, Nikiwa nipo mapumzikoni huku kanda ya ziwa nikijificha na hii hatari ya corona huko mjini, sasa kuna kadogo hapa kapo form 2, kakaniuliza "Brother wewe si ulisoma Sayansi Advance" Nikakajibu Yes. Akaendelea, Basi ngoja nikuletee maswalai ambayo nimemuuliza mwalimu wangu...
  10. cantona55

    Wataalamu wa graphcs design, tunadesign logo, posters stickers na vipeperushi kwa bei sawa na bure

    habari zenu wakuu, kwa wale wote wanaotaka LOGO kwa ajili ya makampuni, NGO's na mashirika mbal mbali, ukitaka LOGO ya 3D au 2D zote tunadesign kwa 50,000 tu unapata brand logo yako nzuri na yakuvutia... pia ukiitaji POSTERS zenye kuvutia wasomaji tunadesign kwa 20,000 tu...na pia ukiitaji...
  11. bafetimbi

    Wadau baharia mimi nimepata janga ambalo halikuwahi kunipata kabla

    Habari zenu waungwana. Poleni sana na mapambano dhidi ya COVID-19. Baada ya kuzichakata sana nyuchi za hawa dada zetu wazuri wiki iliyopita nimepatwa na jambo ambalo baharia mimi sina uzoefu nalo. Kwa kifupi nimepagawa vikali hadi jana nikasimama mbele ya kioo na kujiangalia juu mpaka chini...
  12. C

    Natafuta kazi au kibarua cha muda mimi ni fundi sanifu umeme (Electrical Technician)

    Habari wana jamvi nimatumaini yangu nyote mu wazima. Mimi nikijana umri miaka 25 natafuta kazi au kibarua cha muda katika kada ya umeme au nje ya umeme naweza kufanya kazi sehemu yoyote lakini kwa sasa niko Dar es salaam. Nina ordinary diploma katika umeme (OD in electrical engineering )...
  13. napenda movie

    Mimi siyo mlemavu na hii kauli sitaki kabisa kuisikia

    Kuna kauli nimekua naisikia toka nikiwa mtoto mdogo sana na nadhani inatumika maeneo mengi sana hapa duniani kama sio dunia mzima. Je, ni kwa sababu gani binadamu niliekamilika kiakili kimwili pia mkaniita mlemavu halafu mkaandaa hadi vitengo vinavyojidai eti vinalinda haki zetu ili tuishi na...
  14. Joseph Mathew

    Nimemaliza kidato cha nne mwaka 2018 natafuta kazi yoyote ya halali

    Hello wana JF, Mimi ni kijana nimemaliza form four 2018, natafuta kazi nina ujuzi wa kutumia computer, pia nafanya kazi yoyote YA HALALI , pia nafanya kazi yoyote inayohsu mambo ya computer. Msaada wenu wana JF niko Dar Gongo la Mboto
  15. Mzukulu

    Hivi kule Beijing wanawake waliafikiana hivi ndipo mimi nianze kuwaheshimu au ni matatizo yao tu ya asili na uumbaji?

    Kwahiyo kule Beijing Wanawake waliafikiana yafuatayo....? 1. Wawasiliti kila mara Wachumba na Waume zao? 2. Wawanyime Mapenzi ya Kitandani Wapenzi na Waume zao? 3. Wazunguke Tanzania nzima kwa Waganga wa Kienyeji Kuwaroga Wapenzi na Waume zao? 4. Wawe tayari Kuzungukana Wao kwa Wao na Kuibiana...
  16. Guacamole

    Hivi hii ni kwangu mimi tu ama ni kwetu sote?

    Huwa inanitokea na ni kawaida yangu kila ninapofanya vizuri au kufanikiwa katika jambo fulani, basi natafuta namna yeyote ile ya KUJIPONGEZA. Vile vile nikiwa nimeharibu au kukosea kwenye jambo lolote ambalo nahisi sikustahili kuharibu, basi huwa natafuta namna yeyote ya KUJIPOZA. Mfano...
  17. Sky Eclat

    Juma Lokole: Ningepata bahati ya kuwa na Diamond ningejijenga kwanza mimi na kusaidia ndugu zangu

    Juma Lokole "wanawake wanachezea nafasi wanayoipata kwa Diamond..Ingekuwa mimi Ningejijenga Kwanza Mimi na Kusaidia Ndugu zangu" wa Mitandao ya Kijamii JUMALOKOLE Anasema Kuwa Diamond hachezei wanawake bali wanajichezea wenyewe... Wanakimbilia kupata Mimba wakijua ndio Mondi Atawapenda Milele ...
  18. H

    Diva: Hakuna mtangazaji mwenye ushawishi kushinda mimi

    Mwanadada mwenye mvuto wa aina yake wenye kuwababaisha watu maarufu wengi ikiwemo hata vigogo wa mjengoni pale Dodoma. Diva Malinzi amefunguka kupitia insta story ya Instagram yake kwamba yeye ndie very expensive mtangazaji na mwenye ushawishi mkubwa kuliko mtangazaji yoyote hapa nchini.
  19. S

    Maagizo ya Magufuli kwa Halmashauri ya Kigamboni; "Jengeni ofisi ya CCM". Hivi ni mimi nisiyemuelewa Rais au kuna wengine pia?

    Kuna wakati najaribu kumwelewa Raisi wangu Magufuli ili angalau niendane na kasi yake, lakini karibu kila ninapojaribu kufanya hivyo, ninashindwa kwa 85%. La hivi karibuni ni haya magizo aliyotoa wakati wa uzinduzi wa wilaya ya Kigamboni. Kulingana na taarifa za IPP Magufuli ametoa maelekezo...
  20. J

    Mzee Mkapa awasilisha salamu za Rais Magufuli kumuaga Mzee Moi, asema alikuwa 'mentor' wake

    Rais mstaafu mzee Mkapa amesoma salamu za rambirambi kutoka kwa Rais Magufuli katika msiba wa Mzee Moi. Mzee Mkapa amesema yeye binafsi amefanya kazi na Mzee Moi kwa miaka 7, akiwa na Rais na mzee Kikwete aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje. Mkapa amesema Rais Magufuli amewatuma wao wawili kama...
Back
Top Bottom